6/13/18

JUMUWATA

Ndugu msomaji wa blogu hii, Jumuiya ya Wanablogu Tanzania (JUMUWATA) inakaribisha mchango wa mawazo yako wa namna ya kuiboresha.
Mchango wako unahitajika sana wewe mwenye blogu na hata usiye na blogu ilikujenga muelekeo uliochangiwa na wengi na sio kikundi cha watu wachache.Karibu uchangie, kosoa,kemea,shauri, ondoa, .... ilikupata muelekeo na jumuiya ya wanablogu Tanzania unayoweza kujivunia.Kama unablogu tunaomba uweke tangazo la kuwafahamisha watu kuhusu ombi la mchango wao wa mawazo hapa ili liwezekuwafikia watu wengi.
KARIBUNI WOTE!
Imetolewa na,
Uongozi wa JUMUWATA

1 comment:

luihamu said...

Mzee karibu sana.

nuff nuff respect. jah bless.