6/13/18

NIMERUDI JAMVINI

Ndugu wanablogu wenzangu, majukumu ya kila siku ya kikazi yalikuwa yamenizidi mno, kiasi kwamba iliniwia vigumu kuweza kusoma na kuandaa makala za kujadiliana nayi hapa jamvini. Hata hivyo 'Ubize' haujaisha, ila umepungua kiasi, kwa hiyo nitajitahidi sana kuja na makala kadhaa za nishati na mazingira, ambazo ndio fani ninazojitahidi kubobea nazo kwa sasa.
Nimekuwa nikipita katika blogu zenu kujifunza hili na lile kila ninapopata nafasi na kuacha ujumbe kwamba nimepita. Lakini pia nafarijika kwamba baadhi ya makala na picha ninazobandika hapa zinatumika mahali pengine na huwa wanakumbuka kushukuru chanzo hiki, kwa hiyo ujumbe wetu huwa unafika mahali pengi zaidi na unasomwa.
Bila shaka tutaendelea kuwa pamoja kuendeleza mijadala kwa ajili ya maendeleo yetu.

Asanteni kwa uvumilivu!

Mwalyoyo

3 comments:

Unknown said...

Napenda kuuliza je nikihitaji kutengeneza biogas ya (BOG) kinyesi cha binadamu mita 3-4 au wa samadi ya wanyama au mabaki ya chakula nifanyeje, nitumie kwenye Email yangu ya sylvesterdyamba33@gmail.com

Unknown said...

1 – 1 of 1
Blogger Unknown said...
Napenda kuuliza je nikihitaji kutengeneza biogas ya (BOG) kinyesi cha binadamu mita 3-4 au wa samadi ya wanyama au mabaki ya chakula nifanyeje, nitumie kwenye Email yangu ya sylvesterdyamba33@gmail.com

Unknown said...

Habari,, mimi nimependezwa na hii nakala yenu napenda kujua kwa mtambo wa kuzalisha bayogesi wa "Plastic Bag Biogas digester" kwa hapa kwetu Tanzania unagharimu kiasi gani cha fedha gmail yangu ni mdoyaibra421@gmail.com ,,, kwa ufafanuzi zaidi 0627464412