6/13/18

BARAFU YA MLIMA KILIMANJARO

Mlima Kilimanjaro ni mrefu kuliko mlima wowote ule hapa barani Afrika ukiwa na urefu wa meta 5895 juu ya usawa wa bahari. Juu ya mlima huu pamefunikwa na barafu. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tafiti mbali mbali zikieleza namna barafu hiyo inavyoyeyuka kwa kasi kutokana na ongezeko la joto duniani (nimewahi kuliongelea kwa kina suala hili katika makala zilizopita). Kwa sasa kumekuwa na juhudi mbali za makusudi za kupunguza athari hizi, huenda kukawa kuna mafanikio siku za baadaye kama tutashirikiana kutunza mazingira kuzunguka mlima huu.
Kibo na Mawenzi
Kilele cha Mawenzi
Kilele cha Kibo

No comments: