6/13/18

NAFASI ZA MASOMO YA NISHATI

NAFASI YA MASOMO ya MTANDAONI- BURE
Ndugu msomaji wa makala katika blogu hii, kama wewe unajishughulisha na masuala ya nishati na mazingira unakaribishwa kusoma kozi ya masuala hayo ambayo inaitwa "Energy for Sustainable Development (E4SD)" au kwa Kiswahili "Nishati kwa Maendeleo Endelevu", kwa njia ya mtandao (e-learning), hivyo huhitaji kusafiri kwenda popote kusoma zaidi ya kuwa na mtandao wa intaneti karibu nawe. kozi hii ya masuala ya nishati na mazingira imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya 'International Institute for Industrial Environmental Economics' (IIIEE), United Nations Development Programme (UNDP), United Nations Development Programme (UNEP)na the Global
Network on Energy for Sustainable Development (GNESD).

MALENGO YA KOZI
Malengo ya kozi hii ni kutoa elimu kwa upana zaidi juu ya uhusiano uliopo kati ya masuala ya nishati na maendeleo endelevu kwa nchi zinazoendelea.

MUDA WA KOZI
Kozi hii itaendeshwa mtandaoni kuanzia tarehe 20/04/2009 hadi tarehe 14/06/2009 na maombi yatumwe katika anuani itakayotolewa hapa chini kabla ya tarehe 06/04/2009.

MAOMBI
Tuma Maombi yako ya Kushiriki kwa kutumia barua pepe iliyopo hapa chini kwa:
Project coordinator E4SD Online Course
International Institute for Industrial Environmental Economics (IIIEE)
Lund University, Sweden
Phone: 0046 46 222 02 55
Fax: 0046 46 222 02 10
Post: P.O. Box 196, 221 00 Lund, Sweden
E-mail: katsiaryna.paulavets@e4sd.org
Web: http://www.iiiee.lu.se
Web: http://www.e4sd.org

Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti yao katika www.e4sd.org

No comments: