6/13/18

MKUTANO WA WALIOSOMA MALANGALI SEKONDARI - IRINGA

Kuna baadhi ya wenzetu waliona ni vema kuwa tuliosoma shule ya Sekondari ya Malangali tukutane mnamo tarehe 5/2/2011 saa tisa alasiri pale Chonya Bar Riverside, Ubungo Dar Es Salaam. Mfahamishe kila mmoja ambaye atakuwa na fursa.


Kwa mawasiliano:-


Faraja 0787 525 396


Mawazo Kibamba 0713 555 725




Karibuni sana




Picha: John Mwaipopo na mimi, tukifurahia jambo pembeni ya ukumbi wa mikutano wa shule, enzi tukisoma Malangali Sekondari. Picha hii ilipigwa mwaka 1997 .

No comments: