<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683</id><updated>2012-02-17T07:05:47.390+03:00</updated><category term='Maisha Mbadala'/><category term='Usafi wa Mazingira'/><category term='nishati'/><category term='Usambara'/><category term='Mawe ya Ilula'/><category term='Bioanuwai'/><category term='Blogu'/><title type='text'>TANGANYIKA YETU</title><subtitle type='html'>Blogu hii ipo kwa ajili ya kuelimisha jamii kuhusu masuala mbali mbali ndani ya jamii hii pana, hasa masuala ya mazingira, nishati na maendeleo endelevu. Ingawa taarifa zilizo katika tovuti hii zinatolewa bure kwa ajili ya kuongeza uelewa katika jamii,si vibaya kama utataka kunakili ama kuzitumia, ila ni vyema na ni ustaarabu kama utataja kuwa umezitoa hapa. Asante</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>51</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-799524642843098979</id><published>2011-10-12T10:43:00.003+03:00</published><updated>2011-10-12T10:54:52.840+03:00</updated><title type='text'>Jiunge na Harakati za Siku ya Blogu Duniani</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Siku ya Blogu ni ipi?&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Utangulizi&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Ni tukio ambalo linawakutanisha waandishi na wamiliki wa blogu duniani kujadili kuhusu mada moja ambayo huwa imechaguliwa na kisha kuweka mada hiyo katika blogu zao anuwai. Siku hii ni tarehe 15 Oktoba ya kila mwaka na imekuwa ikiadhimishwa tangu mwaka 2007. Matukio ya siku hii huratibiwa na mtandao uitwao ‘Blog Action Day’ (http://blogactionday.org) .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mada za Siku ya Blogu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa miaka ya nyuma, mada zilizowahi kujadiliwa ni umasikini (ufukara), maji na mabadiliko ya tabianchi. Mwaka jana 2010 mada iliyokuwa imechaguliwa ilihusu maji, kwa hiyo wanablogu duniani kote tulishiriki katika majadiliano kwa njia ya mtandao kuhusu suala la maji, kwa upana wake. Binafsi, nimeandika mada anuwai kuhusu maji na mazingi (kwa kuwa ndiyo taaluma yangu ilikoegemea). Mwaka huu, siku ya blogu duniani imesogezwa mbele kwa siku moja ili kushabihiana na siku ya chakula duniani (tarehe 16 Oktoba), kwa hiyo mada kuu ya mwaka huu inahusu CHAKULA! Kwa maana hiyo basi, wanablogu mbalimbali duniani wataandika mada mbali mbali kuhusu chakula, iwe ni upatikanaji wake, uhifadhi, uandaaji, matumizi, uharibifu, maadili katika usindikaji, ulafi, uhaba na namna tunavyowezesha upatikanaji wa chakula kwa jamii zote duniani na kadhalika.&lt;br /&gt;Unakaribishwa kushiriki katika majadiliano haya, pia unaweza kujisajili katika mtanda wa Blog Action Day katika anuani niliyoiweka hapo juu!&lt;br /&gt;Ahsante sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-799524642843098979?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/799524642843098979/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=799524642843098979&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/799524642843098979'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/799524642843098979'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2011/10/jiunge-na-harakati-za-siku-ya-blogu.html' title='Jiunge na Harakati za Siku ya Blogu Duniani'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-7373582018324020379</id><published>2011-02-24T12:15:00.002+03:00</published><updated>2011-10-12T14:31:25.658+03:00</updated><title type='text'>Mgao wa Umeme, utaishaje?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Mgao wa umeme&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Historia inaonesha kwamba mgao usio wa kawaida wa umeme kwa nchi yetu kwa miaka ya karibuni ulianza mwaka 1992, kufuatia ukame wa muda mrefu ambao uliikabili nchi kwa sehemu kubwa, ukizingatia kwamba kwa kipindi hicho, sehemu kubwa ya umeme uliokuwa ukitumika hapa nchini ilitokana na nguvu ya maji (hydropower) na mafuta mazito (Heavy Fuel Oil – HFO). Kwa kipindi hicho, umeme utokanao na gesi asilia ulikuwa bado haujaanza kuzalishwa kwa kuwa miundombinu ya uzalishaji na usafirishaji wa gesi ilikuwa haijajengwa.&lt;br /&gt;Mahitaji makubwa ya umeme kwa sasa hayaendani kabisa na kasi ya uwekezaji katika miundombinu ya uzalishaji wa umeme, suala hili limesababisha kiwango kidogo cha umeme unaozalishwa kugawiwa kwa wateja wachache kwa muda fulani, hivyo kuleta kitu kinachoitwa mgao wa umeme. Kabla hatujaingia katika mjadala wa namna ya kuondokana na mgao, ni vema tukaangalia historia 'fupi' ya mgao wa umeme tulionao.&lt;br /&gt;Nilichoandika hapa chini nimechukua kutoka katika vyanzo mbali mbali, ikiwemo katika machapisho ya shirika la Tanesco, makala za magazeti, makala za mtandaoni na mahojiano binafsi na watendaji wa shirika hilo na mahojiano na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati.&lt;br /&gt;**************************************************************************&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Historia Kidogo&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kati ya mwaka 1996 na 2006 kilikuwa ni kipindi cha ubinafishaji wa mashirika ya umma kwa nchi yetu. Katika kipindi hiki mashirika mbali mbali ya umma yaibinafsishwa kwa wawekezaji mabepari ili kuyaendeleza. Katika orodha ya mashirika ya kubinafsishwa, Tanesco ilikuwemo. Ili kuiandaa Tanesco kubinafsishwa, serikali 'Haikuwekeza' rasilimali katika shirika hili, hivyo vitu vya msingi kama vile miundombinu ya uzalishaji umeme, usafirishaji na usambazaji, kuajiri nguvukazi mpya kila mara havikufanyika. Vitu hivi ni vya msingi sana katika suala zima la uhai wa shirika.&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa katika kipindi hicho, uchumi wa nchi ulikua kwa kiwango cha asilimia 7 kwa mwaka na kiwango hicho kiliendana na uwekezaji mkubwa katika migodi, kampuni za simu, kukua kwa sekta ya ujenzi (wa majengo ya kibiashara), kufunguliwa kwa mashamba makuwa yenye viwanda vya kusindika mazao, na kukua kwa sekta ndogo na za kati kiuchumi (small and medium sized enterprises). Sekta hizi ni watumiaji wakubwa wa umeme, hivyo waliongeza idadi ya wateja wakubwa wa umeme. Hadi kufikia mwaka 2002, shirika hili lilikuwa halijabinafsishwa, na kama nilivyotaja hapo awali hakukuwa na uwekezaji mkubwa tangu mwaka 1996.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ujio wa Net Group Solutions&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mnamo mwaka 2002 serikali iliamua kuliweka shirika hili chini ya menejimenti kutoka nchini Afrika Kusini (Net Group Solutions) ili kukusanya mapato ya wadaiwa wakubwa na kuliandaa shirika na kubinafsishwa. Kampuni hii ilifanya kazi katika shirika hili hadi mwaka 2006 ya kukusanya madeni kutoka kwa wadaiwa wakubwa kama vile taasisi za serikali, jeshi, serikali ya Zanzibar na viwanda vikubwa. Ufanisi wa utendaji wa kampuni hii bado unatiliwa mashaka na wadau wengi, kwani haikusaidia kuondoa matatizo yaliyokuwa yakikabili shirika la umeme. Hatimaye mnamo mwaka 2006, serikali iliamua kutolibinafisha shirika lake. Mpaka hapo ikawa miaka 10 imeshapotea, ndani ya kigugumizi cha ugumu wa maamuzi ya &lt;strong&gt;'Tubinafsishe'&lt;/strong&gt; ama &lt;strong&gt;'Tusibinafsishe'?&lt;/strong&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Uwekezaji mpya kwenye umeme&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Baada ya mwaka 2006 ndipo zikaanza juhudi za uwekezaji katika miundombinu ya umeme, mpaka sasa. Kwa mujibu wa ripoti ya mwezi Januari ya Tanesco, mahitaji ya umeme ni kiasi cha megawati 833, na mpaka mwezi huo shirika lililikuwa likizalisha kiasi cha megawati 1006 kutoka vyanzo mbali mbali kama vile maji, gesi na mafuta mazito. Katika kiwango hicho cha uzalishaji, umeme unaopatikana muda mwingi ni megawati 650 tu, hivyo hautoshelezi mahitaji. Ongezeko la mahitaji kila mwaka ni kati ya megawati 100 na 120. Hadi mwezi Juni mwaka 2011 ni megawati 145 tu ndizo ambazo zimeingizwa katika gridi ya taifa, hivyo suala la upungufu wa nishati hii bado ni kitendawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Hatua za dharura za uzalishaji umeme &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kimbilio kubwa la serikali katika kutatua janga la mgao imekuwa ni suluhisho la muda mfupi, la kutumia mitambo ya dharura ya kukodi ili kuzalisha umeme. Mitambo hii ambayo hutumia mafuta mazito na/au gesi na hutugharimu pesa nyingi kama taifa hivyo kuzorotesha uchumi. Hili ni pigo kwa uchumi wetu ambao bado ni mdogo. Suluhisho hili la muda mfupi la uhaba wa nishati haliwezi kutupeleka mbali, zaidi ya kutuongeezea umasikini. Kiwango cha gesi kinachopatikana sasa kwa ajili ya uzalishaji umeme ni kidogo, kwa sababu ya ufinyu wa miundombinu ya usafirishaji wa gesi kutoka mahali inapozalishwa kisiwani Songosongo hadi mahali inapotumika, Dar Es Salaam. Hivyo, hata kama mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi itanunuliwa na kufungwa leo, bado hatuwezi kupata umeme kwa sababu tuna upungufu wa gesi ya kuendeshea mitambo hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;Tufanyeje kuepukana na mgao?&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Utashi wa kisiasa&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa hili, kwa mtazamo wangu, kwanza kabisa kunahitajika utashi wa kisiasa (political will) wa wale tuliowakabidhi jukumu la kutuondolea umasikini. Utashi wa kisiasa ndio unaofanya kuwe na kigugumizi au maamuzi ya wapi tuweke rasilimali nyingi na wapi tuweke chache kulingana na vipaumbele vyetu vya taifa. Hatujawekeza rasilimali za kutosha katika utatuzi wa muda mrefu wa janga la upungufu wa nishati, hasa umeme. Kwa ulimwengu wa dijitali tulio nao, suala la upatikanaji toshelevu wa nishati linatakiwa kuwa ni kipaumbele namba moja. Huwezi kuongelea kilimo cha kisasa cha kuongeza thamani ya mazao kupitia usindikaji, iwapo huna umeme wa kuaminika. Huwezi kuongelea suala la kukuza sekta ya madini iwapo huna umeme wa kuaminika. Huwezi kukuza viwanda iwapo huna uhakika na umeme. Hakuna mwekezaji atakayekubali kupoteza rasilimali zake kwa kuwekeza mahali ambapo umeme si wa uhakika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Uwekezaji mkubwa katika sekta ya nishati&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Binafsi, sijaona mipango &lt;strong&gt;MADHUBUTI&lt;/strong&gt; na &lt;strong&gt;INAYOTEKELEZEKA&lt;/strong&gt; kwa rasilimali tulizonazo, ya kufanya uwekezaji mkubwa katika suala la nishati, hasa kwenye nishati jadidifu. Mpango wa serikali wa hadi mwaka 2015 ni kuzalisha megawati karibia 3000 na kuingiza katika mfumo wa gridi ya taifa. Mipango hii inategemea sana hisani ya wafadhili na mikopo. Binafsi sio mchumi, lakini natilia shaka sana mpango huu, kwa sababu kama taifa hatujaweka jitihada za kutosha kutoka vyanzo vya ndani vya mapato kugharamia miradi hii. Nimesoma bajeti za serikali kwa mwaka 2010/2011 na 2011/2012, bado hakuna mipango madhubuti ya uwekezaji mkubwa kutoka vyanzo vya ndani, kwenye nishati. Kwa miaka ya hivi karibuni, uchumi wa dunia umeyumba sana, na bado mpaka sasa katika nchi za Ulaya zinazotumia sarafu ya Euro uchumi haujatulia. Umoja wa Ulaya pamoja na serikali ya Marekani ndio wafadhili wakubwa wa miradi mingi ya nishati nchini kwa sasa, hivyo mtikisiko katika uchumi wao unaweza kubadili mwelekeo wa sera zao, kutoka kufadhili miradi na kutoa mikopo kwa nchi zinazoendelea na kupelekea kuinuana wao kwa wao kiuchumi, kama wanavyofanya kwa uchumi wa nchi ya Ugiriki unaoyumba. Hili linawezekana. Iwapo hili la kubadili sera litatokea, basi uwekezaji katika miradi ya nishati kwa hapa nchini utayumba na hivyo kuathiri utekelezaji wa mpango wa megawati 3000. Lisemwalo lipo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Kudhibiti Upotevu na wizi wa umeme &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa takwimu za Tanesco kwa mwaka 2010, zilizochapwa katika ripoti iliyofadhiliwa na Benki ya Dunia (Electricity loss Reduction Study, June 2011) , upotevu wa umeme huligharimu shirika kiasi cha dola za Kimarekani milioni 72. Katika umeme wote unaozalishwa, asilimia 20 ya umeme wote haufiki kwa wateja (kwa mfano, kama zinazalishwa megawati 850, ina maana megawati 170 zinapotea kabla ya kufika kwa wateja). Hiki ni kiwango kikubwa sana cha upotevu. Katika upotevu huu, asilimia 25 inatokana na ubovu na/au uchakavu wa miundombinu na asilimia 75 inatokana na upotevu kwenye mauzo. Takwimu hizi zinasikitisha kwa sababu shida kubwa ya upotevu haiko kwenye miundombinu kama wengi tunavyotarajia, ila kwenye mauzo (udanganyifu na ukosefu wa uadilifu). Iwapo kuna utashi wa kisiasa, asilimia hizo 75 ambazo zinatokana na (mkono wa mtu) zinaweza kudhibitiwa kabisa. Hasara hiyo ya dola milioni 72 inaweza kudhibitiwa na kuongeza kipato katika bajeti ya taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Udhibiti wa mikataba tata ya uzalishaji umeme&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na matatizo kwenye mikataba ya uzalishaji umeme inayosainiwa kati ya serikali na kampuni binafsi. Mikataba mingi imetokana na mpango wa dharura wa uzalishaji umeme, hasa kunapokuwa na shida ya mgao. Mikataba hii imetokana na maamuzi mabovu ya makusudi ya watendaji waliopewa dhamana ya kusaini mikataba hii kwa niaba yetu. Udhibiti wa mikataba mibovu unahitaji utashi wa kisiasa pia, kwa wale tuliowapa dhamana ya kudhibiti utendaji mbovu. Napendekeza kwamba kutungwe sheria (kama haipo), kwamba mikataba mikubwa, kama ile ya uchimbaji wa madini na uzalishaji mkubwa wa nishati, ipitie kwanza bungeni, na iwapo ina maslahi kwa nchi basi iidhinishwe na bunge kabla serikali haijatia saini kwa niaba yetu! Kwa mbinu hii, tutaweza kuwa na uzalishaji mkubwa wa umeme usio na mawaa, kwa kuwa kila kitu kitafanyika kwa uwazi kupitia wawakilishi wetu bungeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Hitimisho&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Suala la umeme lina maslahi mapana kwa taifa, kiuchumi, kiusalama na kijamii, si la kulifanyia maamuzi ya mzaha na pupa. Uhaba wa umeme unaathiri uchumi wa nchi, kwani uzalishaji katika ofisi, mashamba na viwanda unategemea umeme. Mgao unaathiri sekta nyingine kama vile maji, ambayo husukuwa kwa pampu zitumiazo umeme, kutoka pale yanapotekwa kwenda pale yanapotumika. Tuchukue hatua madhubuti za kuepuka janga hili, kwa maendeleo ya taifa! Tutimize wajibu wetu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimefungua mjadala, tuendelee kuelimishana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-7373582018324020379?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/7373582018324020379/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=7373582018324020379&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/7373582018324020379'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/7373582018324020379'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2011/02/mgao-wa-umeme-utaishaje.html' title='Mgao wa Umeme, utaishaje?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-3719134093639216319</id><published>2011-02-02T09:40:00.004+03:00</published><updated>2011-02-02T10:02:01.468+03:00</updated><title type='text'>MKUTANO WA WALIOSOMA MALANGALI SEKONDARI - IRINGA</title><content type='html'>&lt;div&gt;Kuna baadhi ya wenzetu waliona ni vema kuwa tuliosoma shule ya Sekondari ya Malangali tukutane mnamo tarehe 5/2/2011 saa tisa alasiri pale Chonya Bar Riverside, Ubu&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/TUj-0mQZWfI/AAAAAAAAAJo/4Fomi5s8QIo/s1600/Malangali.bmp"&gt;&lt;/a&gt;ngo Dar Es Salaam. Mfahamishe kila mmoja ambaye atakuwa na fursa. &lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Kwa mawasiliano:-&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Faraja 0787 525 396&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Mawazo Kibamba 0713 555 725&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Karibuni sana&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/TUkBNnkZBdI/AAAAAAAAAJw/Tb-OAZuf54E/s1600/Malangali.bmp"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5568983747691873746" style="WIDTH: 240px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/TUkBNnkZBdI/AAAAAAAAAJw/Tb-OAZuf54E/s320/Malangali.bmp" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt; &lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Picha: John Mwaipopo na mimi, tukifurahia jambo pembeni ya ukumbi wa mikutano wa shule, enzi tukisoma Malangali Sekondari. Picha hii ilipigwa mwaka 1997 .&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;/p&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-3719134093639216319?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/3719134093639216319/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=3719134093639216319&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3719134093639216319'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3719134093639216319'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2011/02/mkutano-wa-waliosoma-malangali.html' title='MKUTANO WA WALIOSOMA MALANGALI SEKONDARI - IRINGA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/TUkBNnkZBdI/AAAAAAAAAJw/Tb-OAZuf54E/s72-c/Malangali.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-5676144206999073057</id><published>2010-05-20T16:16:00.010+03:00</published><updated>2011-10-17T11:12:28.985+03:00</updated><title type='text'>FAHAMU BAYOGESI</title><content type='html'>&lt;b&gt;Utangulizi&lt;?xml:namespace prefix = o /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/b&gt; &lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal"&gt;&lt;b&gt;Bayogesi (biogas) ni kitu gani?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Bayogesi ni mchanganyiko wa gesi inayoundwa na viasilia mbalimbali vinavyotengenezwa katika mazingira ya kutokuwepo hewa (oksijeni) ambayo asilimia kubwa ni gesi ya methane (CH&lt;sub&gt;4&lt;/sub&gt;). Bayogesi ambayo aghalabu hutokana na kinyesi cha wanyama, masalia ya mimea na kinyesi cha binadamu inaweza kuzalishwa na kutumika kupikia na hata matumizi mengine kama vile kuendeshea mitambo mbalimbali. Matumizi ya gesi hii kwa mtu ambaye ana mifugo kama vile nguruwe, ng’ombe yanaweza kusaidia kuondokana na gharama za kununua nishati ya kuni, mkaa, umeme na hata gesi asilia inayochimbwa ardhini. Gesi hii inapunguza gharama za watumiaji wa vyanzo vingine vya nishati. Mfano, gharama za nishati ya umeme na gesi asilia ni ghali sana hasa kwa mtumiaji atakayedhamiria kutumia jiko la um&lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;eme au jiko la gesi lakini kwa gesi hii ya samadi mtumiaji itamgharimu muda wake tu kujaza samadi na maji kila siku na atakuwa hana malipo ya pesa kila mwezi kama itakavyomlazimu kulipia umeme na gesi asilia kila mwezi, na hata kuni ambazo watumiaji wengine hununua. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Mnyambulisho wa viambata Vya bayogesi &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Kimsingi, bayogesi huwa na mchanganyiko wa gesi za aina mbalimbali, lakini inayopatikana kwa kiwango kikubwa ni gesi ya methane. Mgawanyiko huo kwa asilimia ni kama ifuatavyo:-&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Methane (50%)&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Carbondioxide (25%) &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Naitrojeni&lt;span style="font-size:+0;"&gt; &lt;/span&gt;(10%)&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Sulphur dioxide ( 5%)&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Haidrojeni (1%)&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Gesi nyingine (9%)&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Zingatia kwamba asilimia zilizooneshwa katika mabano zinaweza kubadilika kutokana na malighafi inayotumika kutengeneza bayogesi (samadi, majani, masalia ya chakula n.k.) na hali ya unyevunyevu wa malighafi hizo. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Uzalishaji wa bayogesi &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Samadi ghafi inayotokana na kinyesi cha wanyama (kama vile kuku, nguruwe, ng’ombe na punda) kinaundwa na viasili vya Kaboni, Haidrojeni, Oksijeni Naitrojeni na Salfa. Viasili hivi hutengeneza sukari, mafuta na protini. Kinyesi au samadi humeng&lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;’enywa na bakteria ambao huvunjavunja kinyesi hicho kutoka katika hali ya protini, mafuta na sukari na kutengeneza muunganiko wa viasili ulio rahisi zaidi. Mmeng’enyo wa samadi (kinyesi) kwa kutokuwepo wa gesi ya oksijeni hutengeneza hewa ya ukaa (carbóndioxide). Mmengenyo wa samadi bila ya uwepo wa oksijeni huzalisha gesi ya methane (CH&lt;sub&gt;4&lt;/sub&gt;) ambayo ndio inayowaka hasa. Gesi hii itokanayo na kinyesi huzalisha kilojuli 5,200 hadi 5,800 kwa meta moja ya ujazo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Bayogesi huweza pia kuzalishwa kutokana na masalia ya mimea, kama vile masalia ya zao la mkonge, masalia ya kakao au masalia ya kahawa baada ya kutolewa ganda na nje. Malighafi hizi zote huweza kuzalisha bayogesi iwapo zitachachushwa katika mazingira yasiyo na hewa (anaerobic condition). &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Aina za Mitambo ya Kuzalishia Bayogesi&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Kuna aina kadhaa za mitambo ya kuzalishia bayogesi, ambayo inapatikana Tanzania. Aina hizi ni kama ifuatavyo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoListParagraph" style="TEXT-INDENT: -0.25in; TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;!-&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Fixed Dome Biogas Digester (CAMARTEC/Hydraulic/Chinese)&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Mitambo ya aina hii ilianza kutengenezwa nchini China kuanzia mwaka 1936 na ikasamabaa India mnamo mwaka 1937. Aina hii ya mitambo ya bayogesi hujengwa katika maumbo ya mviringo wa nusu duara, na huwa na sehemu kuu tano. Sehemu ya kwanza huwa ni sehemu ya kuchanganyia samadi na maji, sehemu ya pili ni ya kuchachushia, sehemu ya tatu huwa ya kuhifadhia gesi, sehemu ya nne ni ya kuhifadhia samadi ambayo imeshatumika kuzalisha gesi. Sehemu ya tano ni ile ya matumizi, yaani jiko au oveni, au jenereta. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Aina hii ya mitambo hujulikana sana kama CAMARTEC (kufuatia kusambazwa kwa wingi na kituo hiki cha kuhawilisha teknolojia za kilimo kwa ajili ya matumizi vijijini, kituo hiki kipo mkoani Arusha). Lakini pia, mpango wa serikali wa Miradi ya Gesi ya Samadi Dodoma (MIGESADO) ulijenga kw&lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;a wingi sana aina hii ya mitambo katika mkoa wa Dodoma. Shirika lingine linalohusika na ujenzi wa mitambo ya aina hii ni Shirika la Maendeleo na Uholanzi (SNV), lenye tawi lake mkoani Arusha. Nao wanajenga kwa wingi sana mitambo ya aina hii. &lt;span style="font-size:+0;"&gt;&lt;/span&gt;Chanzo cha malighafi kwa mitambo hii ni samadi ya wanyama na kinyesi cha wanadamu. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoListParagraph" style="TEXT-INDENT: -0.25in; TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;!-&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Floating Drum/Gobar Biogas Digester &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Aina hii ya mitambo sio maarufu sana kwa hapa kwetu Tanzania.&lt;span style="font-size:+0;"&gt; &lt;/span&gt;Mitamb&lt;/span&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U3KuovnII/AAAAAAAAAI0/Ba5DeE0GkMs/s1600/CIMG3405.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473341579595848834" style="FLOAT: right; MARGIN: 0pt 0pt 10px 10px; WIDTH: 282px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 213px" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U3KuovnII/AAAAAAAAAI0/Ba5DeE0GkMs/s320/CIMG3405.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span lang="ES"&gt;o hii hutengenezwa kwa kutumia matanki makubwa ya plastiki (ya kuanzia ukubwa wa lita 1000), yanayobebana. Ta&lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;nk&lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;i &lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;kubwa huwa linatangulia chini na ndilo ambalo huwa na malighafi kwa ajili ya kutengenezea gesi. Tanki dogo hubebwa na hili kubwa, na huwa jepesi kwa sababu linakuwa linabeba gesi, kwa hiyo huwa linaelea juu ya hili kubwa. Tanki hili dogo huwa na kitu kizito cha kulikandamiza kwa juu yake, ili lisiweze kutumbishwa &lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;na upepo uvum&lt;/span&gt;&lt;span lang="ES"&gt;ao. Malighafi inayotumika kuzalishia gesi kwa mitambo ya aina hii ni masalia ya chakula yatokayo majumbani na mahotelini&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span lang="ES"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoListParagraph" style="TEXT-INDENT: -0.25in; TEXT-ALIGN: justify"&gt;&amp;lt; 3.&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Vacvina Biogas Digester &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Asili ya mtambo huu ni nchini Vietnam, na inapatikana nchini Tanzania. Aina hii ya mitambo huwa na sehemu kuu nne ambazo ni tanki la kuchanganyia samadi na maji, tanki la kuchachushia samadi na kuzalishia gesi, tanki la kuhifadhia samadi iliyokwishatumia, mirija ya kusafirishia gesi kwenda katika vihifadhio, vihifdahio vya gesi (karatasi za nailoni ngumu) na sehemu ya kutumia gesi (jiko, oveni au jenereta). Matanki ya mtambo huu hujengwa kwa matofali ya kuchoma na saruji au matofali ya mchanga na saruji. Vitako vyaa matanki haya hujengwa kwa zege, ili kuongeza uimara na kuhimili uzito wa mchanganyiko wa samadi na maji.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;&lt;span style="FONT-STYLE: italic"&gt;Picha hiyo hapo juu inaonesha matanki ya kuchachushia masalia ya mkonge kwa ajili ya kuzalishia bayogesi, katika kiwanda cha mkonge kilicho Hale mkoani Tanga &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoListParagraph" style="TEXT-INDENT: -0.25in; TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;!-&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;&lt;span style="font-size:+0;"&gt;4.&lt;span style="FONT: 7pt 'Times New Roman'"&gt; &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Plastic Bag Biogas digester &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Hii ni aina nyingine ya mitambo ya bayogesi ambayo inapatikana Tanzania. Uchachushaji wa malighafi kwa ajili ya kuzalisha gesi kwa kutumia mtambo huu hufanyika kwenye mfuko mgumu sana wa plastiki, ambao huwa na sehemu ya kuingizia mchanganyiko wa samadi&lt;span style="font-size:+0;"&gt; &lt;/span&gt;na maji, na sehemu ya kutolea gesi kwwenda kwenye matumizi. Mfuko huu mgumu wa plastiki aghalabu hufukiwa ardhini ili kuulinda dhidi ya jua kali na kutoboka kutokana na shughuli za kibinadamu. Kwa aina hii ya mtambo, gesi huhifadhiwa katika sehemu ya juu ya mfuko huu, kabla haijasafirishwa kwenda kwenye matumizi. Mtambo huu ni wa gharama rahisi kidogo ukilinganisha na mingine ambayo imeorodheshwa hapo juu, kutokana na kutohitaji ujenzi unaohusisha matofali, zege ama saruji. Lakini shida yake ni kwamba mifuko hii haipatikani kwa urahisi hapa Tanzania, mara nyingi huagizwa kutoka nje ya nchi.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U41ZI2FvI/AAAAAAAAAI8/JViSQP7KHQk/s1600/CIMG4586.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473343412070913778" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 251px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 188px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U41ZI2FvI/AAAAAAAAAI8/JViSQP7KHQk/s320/CIMG4586.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="FONT-STYLE: italic"&gt;Picha: Vihifadhio vya bayogesi, kutoka katika mtambo wa Vacvina &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Matumizi ya Bayogesi &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Nishati katika Majiko &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Bayogesi kutumika kama nishati katika majiko, kuendeshea mitambo kama vile magari na jenereta za kuzalishia umeme. Kwa Tanzania, bayogesi imekuwa ikitumika katika majiko maalum ya gesi kwa kupikia aghalabu na watu wenye mifugo ambao wana uhakika na upatikanaji wa samadi.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U5rwRNy-I/AAAAAAAAAJE/8fbVAeqNiqM/s1600/CIMG3432.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473344345992973282" style="WIDTH: 320px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 240px" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U5rwRNy-I/AAAAAAAAAJE/8fbVAeqNiqM/s320/CIMG3432.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U61IRYifI/AAAAAAAAAJM/W7oVlgmgQ3M/s1600/Copy+of+IMG_1003.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473345606566578674" style="WIDTH: 320px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 240px" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U61IRYifI/AAAAAAAAAJM/W7oVlgmgQ3M/s320/Copy+of+IMG_1003.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span style="FONT-STYLE: italic"&gt;Picha: Majiko yanayotumia bayogesi&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Nishati ya Kuendeshea Mitambo (mashine, magari, jenereta za kuzalishia umeme)&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Bayogesi hutumika kuzalisha umeme. Mfano mzuri ni mtambo wa kuzalisha umeme ulio katika mashamba ya Katani Limited yaliyo katika mji wa Hale mkoani Tanga. Mahali hapo kuna jenereta ya ukubwa wa kilowati 150 kwa ajili ya kuzalisha umeme, ambayo huendeshwa kwa kutumia bayogesi. Kabla ya gesi kutumika katika mitambo, kwanza huchujwa kwanza katika chujio maalum lililo na kemikali za madini ya chuma, ili kuondoa gesi ya ‘hydrogen sulphide’ (H2S) ambayo huathiri sana mitambo kwa kusababisha kutu. Hali kadhalika, hewa ukaa (CO2) nayo huondolewa katika mfumo huu wa uchujaji huu, ili kufanya gesi ya methane iwe safi kabla ya kutumika katika mitambo husika. Kwa gesi inayotumika kuendeshea magari, yenyewe hupozwa kabisa na kuwa katika mfumo wa kimiminika, ili iwe rahisi kuhifadhiwa na kutumika. Magari ya namna hii yanapatikana nchini Sweden.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U7U-j1ZDI/AAAAAAAAAJU/xu8qJei_AYo/s1600/CIMG3399.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473346153715426354" style="WIDTH: 320px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 240px" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U7U-j1ZDI/AAAAAAAAAJU/xu8qJei_AYo/s320/CIMG3399.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="FONT-STYLE: italic"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span style="FONT-STYLE: italic"&gt;Picha: Jenereta ya kuzalisha umeme, inayoendeshwa kwa kutumia bayogesi. Ina ukubwa wa kilowati 150 na inapatika katika kiwanda cha mkonge cha Katani Limited, kichopo Hale Mkoani Tanga. Aliyesimama hapo kwenye jenereta ni Mhandisi Gilead Kissaka, meneja wa kiwanda .&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Mbolea Itokanayo na Samadi Iliyokwishameng’enywa &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;Baada ya bayogesi kuzalishwa, masalia ya samadi ambayo huwa imemeng’enywa hutolewa nje ya tanki la kuchachushia mara samadi mpya inapowekwa katika tanki, kupitia chemba maalum ya kuingizia mchamganyiko wa samadi. Samadi iliyomeng’enywa hutumika kama mbolea ya kukuzia mimea. Inafaa sana kwa kustawisha mimea ya aina mbalimbali.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal" style="TEXT-ALIGN: justify"&gt;&lt;span lang="ES"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p class="MsoNormal"&gt;&lt;?xml:namespace prefix = v /&gt;&lt;v:shapetype id="_x0000_t202" path="m,l,21600r21600,l21600,xe" spt="202" coordsize="21600,21600"&gt;&lt;v:stroke joinstyle="miter"&gt;&lt;v:path connecttype="rect" gradientshapeok="t"&gt;&lt;/v:shapetype&gt;&lt;v:shape id="_x0000_s1029" strokeweight="2.25pt" stroked="f" filled="f" type="#_x0000_t202"&gt;&lt;v:textbox&gt;&lt;br /&gt;&lt;table cellspacing="0" cellpadding="0" width="100%"&gt;&lt;br /&gt;&lt;tbody&gt;&lt;br /&gt;&lt;tr&gt;&lt;br /&gt;&lt;td&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/td&gt;&lt;/tr&gt;&lt;/tbody&gt;&lt;/table&gt;&lt;/v:textbox&gt;&lt;?xml:namespace prefix = w /&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;/v:shape&gt;Kwa makala zaidi, &lt;a href="http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/7/24/habari43.php"&gt;&lt;span style="FONT-WEIGHT: bold"&gt;bonyeza hapa &lt;/span&gt;&lt;/a&gt;na &lt;span style="FONT-WEIGHT: bold"&gt;hapa&lt;/span&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;/p&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/v:path&gt;&lt;/v:stroke&gt;&lt;br /&gt;&lt;v:stroke joinstyle="miter"&gt;&lt;v:path connecttype="rect" gradientshapeok="t"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;w:wrap type="square"&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/w:wrap&gt;&lt;/v:path&gt;&lt;/v:stroke&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-5676144206999073057?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/5676144206999073057/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=5676144206999073057&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/5676144206999073057'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/5676144206999073057'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2010/05/fahamu-bayogesi.html' title='FAHAMU BAYOGESI'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/S_U3KuovnII/AAAAAAAAAI0/Ba5DeE0GkMs/s72-c/CIMG3405.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-6617981673816696840</id><published>2010-05-18T12:38:00.000+03:00</published><updated>2010-05-20T16:15:59.421+03:00</updated><title type='text'>NIMERUDI JAMVINI</title><content type='html'>Ndugu wanablogu wenzangu, majukumu ya kila siku ya kikazi yalikuwa yamenizidi mno, kiasi kwamba iliniwia vigumu kuweza kusoma na kuandaa makala za kujadiliana nayi hapa jamvini. Hata hivyo 'Ubize' haujaisha, ila umepungua kiasi, kwa hiyo nitajitahidi sana kuja na makala kadhaa za nishati na mazingira, ambazo ndio fani ninazojitahidi kubobea nazo kwa sasa.&lt;br /&gt;Nimekuwa nikipita katika blogu zenu kujifunza hili na lile kila ninapopata nafasi na kuacha ujumbe kwamba nimepita. Lakini pia nafarijika kwamba baadhi ya makala na picha ninazobandika hapa zinatumika mahali pengine na huwa wanakumbuka kushukuru chanzo hiki, kwa hiyo ujumbe wetu huwa unafika mahali pengi zaidi na unasomwa.&lt;br /&gt;Bila shaka tutaendelea kuwa pamoja kuendeleza mijadala kwa ajili ya maendeleo yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Asanteni kwa uvumilivu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalyoyo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-6617981673816696840?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/6617981673816696840/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=6617981673816696840&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/6617981673816696840'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/6617981673816696840'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2010/05/nimerudi-jamvini.html' title='NIMERUDI JAMVINI'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-7756123465348258732</id><published>2009-10-13T15:00:00.003+03:00</published><updated>2009-10-13T15:12:01.138+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>JIUNGE KATIKA SIKU YA BLOGU</title><content type='html'>Tarehe 15/10/2009 ni siku ya blogu duniani, ambapo mwaka huu mjadala unahusu mabadiliko ya tabianchi (Climate Change).&lt;br /&gt;Katika blogu hii nimekuwa nikiandika mada mbalimbali kuhusu masuala ya mazingira, mabadiliko ya tabia nchi na matumizi ya nishati mbadala, kwa hiyo siku hii ni mwafaka sana katika kupigia debe suala na kupambana na mabadiliko ya tabia nchi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa habari zaidi unaweza kutembelea &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;a href="http://www.blogactionday.org/"&gt;hapa&lt;/a&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-7756123465348258732?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/7756123465348258732/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=7756123465348258732&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/7756123465348258732'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/7756123465348258732'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2009/10/jiunge-siku-ya-blogu.html' title='JIUNGE KATIKA SIKU YA BLOGU'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-8454012105560840174</id><published>2009-02-23T16:52:00.002+03:00</published><updated>2009-02-23T17:12:16.200+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='nishati'/><title type='text'>NAFASI ZA MASOMO YA NISHATI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NAFASI YA MASOMO ya MTANDAONI- BURE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ndugu msomaji wa makala  katika blogu hii, kama wewe unajishughulisha na masuala ya nishati na mazingira unakaribishwa kusoma kozi ya masuala hayo ambayo inaitwa "Energy for Sustainable Development (E4SD)" au kwa Kiswahili "Nishati kwa Maendeleo Endelevu", kwa njia ya mtandao (e-learning), hivyo huhitaji kusafiri kwenda popote kusoma zaidi ya kuwa na mtandao wa intaneti karibu nawe. kozi hii ya masuala ya nishati na mazingira imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya 'International Institute for Industrial Environmental Economics' (IIIEE), United Nations Development Programme (UNDP), United Nations Development Programme (UNEP)na  the Global&lt;br /&gt;Network on Energy for Sustainable Development (GNESD). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MALENGO YA KOZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Malengo ya kozi hii ni kutoa elimu kwa upana zaidi juu ya uhusiano uliopo kati ya  masuala ya nishati na maendeleo endelevu kwa nchi zinazoendelea. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MUDA WA KOZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kozi hii itaendeshwa mtandaoni kuanzia tarehe 20/04/2009 hadi tarehe 14/06/2009 na maombi yatumwe katika anuani itakayotolewa hapa chini kabla ya tarehe 06/04/2009.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAOMBI&lt;/strong&gt; &lt;br /&gt;Tuma Maombi yako ya Kushiriki kwa kutumia barua pepe iliyopo hapa chini kwa:&lt;br /&gt;Project coordinator E4SD Online Course&lt;br /&gt;International Institute for Industrial Environmental Economics (IIIEE)&lt;br /&gt;Lund University, Sweden&lt;br /&gt;Phone: 0046 46 222 02 55&lt;br /&gt;Fax: 0046 46 222 02 10&lt;br /&gt;Post: P.O. Box 196, 221 00 Lund, Sweden&lt;br /&gt;E-mail: katsiaryna.paulavets@e4sd.org&lt;br /&gt;Web: http://www.iiiee.lu.se&lt;br /&gt;Web: http://www.e4sd.org&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti yao katika &lt;strong&gt;www.e4sd.org &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-8454012105560840174?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/8454012105560840174/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=8454012105560840174&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/8454012105560840174'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/8454012105560840174'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2009/02/nafasi-za-masomo-ya-nishati.html' title='NAFASI ZA MASOMO YA NISHATI'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-2874115963432817631</id><published>2008-07-09T19:25:00.001+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:10.563+03:00</updated><title type='text'>MMOMONYOKO KATIKA DARAJA</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SHToPu8TLGI/AAAAAAAAAFQ/-NPhtiju4P0/s1600-h/CIMG2303.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SHToPu8TLGI/AAAAAAAAAFQ/-NPhtiju4P0/s320/CIMG2303.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5221053225025875042" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SHTnd92sPlI/AAAAAAAAAFI/q8WmeMIB_MI/s1600-h/CIMG2301.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SHTnd92sPlI/AAAAAAAAAFI/q8WmeMIB_MI/s320/CIMG2301.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5221052370035424850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Picha zikionyesha mmomonyoko wa udongo katika daraja, eneo la Interchick katika barabara ya Bagamoyo, Dar Es Salaam. Mmomonyoko huu usipodhibitiwa unaweza kuleta athari katika daraja hili na barabara kwa ujumla.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-2874115963432817631?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/2874115963432817631/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=2874115963432817631&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2874115963432817631'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2874115963432817631'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2008/07/mmomonyoko-katika-daraja.html' title='MMOMONYOKO KATIKA DARAJA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SHToPu8TLGI/AAAAAAAAAFQ/-NPhtiju4P0/s72-c/CIMG2303.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-1243523824529840724</id><published>2008-07-08T22:59:00.000+03:00</published><updated>2008-07-09T19:39:04.170+03:00</updated><title type='text'>UTETEZI WA MRADI WA MAGADI UNAENDELEA...</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Magadi ya Ziwa Natron changamoto ya uchumi&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Na Amana Nyembo&lt;br /&gt;MRADI wa uchimbaji magadi katika Ziwa Natroni, mkoani Arusha, ni moja ya miradi ya viwanda ambayo serikali imeipa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) jukumu la kuuendeleza kwa ubia na sekta binafsi.&lt;br /&gt;Mbali na uchimbaji wa magadi, miradi mingine ni uchimbaji wa makaa ya mawe, umeme wa Mchuchuma na chuma cha Liganga - yote ikiwa Arusha.&lt;br /&gt;Akizungumza hivi karibuni Dar es Salaam, Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC, Gideon Nasari, anasema mradi huo utakuwa na faida kwa Watanzania, kinyume kabisa na madai ya wanaharakati kuwa utaharibu korongo (flamingoes), ndege maarufu waishio huko.&lt;br /&gt;Nasari anasema mradi huo utasaidia kuvutia utalii na kuwafanya wananchi wa eneo hilo kufaidika zaidi na baadhi ya miundombinu itakayotengenezwa, kwani hauwezi kuharibu mazalia ya korongo. Wamelichunguza hilo baada ya kutathmini na kutilia maanani mawazo na hofu za wadau.&lt;br /&gt;Kwa sababu waendelezaji wa mradi wameamua kuhamisha eneo la kiwanda lililopangwa kwenda kilometa 32 kutoka Natron na eneo oevu (ramsar site) upande wa mashariki wa ziwa hilo.&lt;br /&gt;Kiwanda kitakuwa mbali na Natron, kwani mazalio ya korongo yapo upande wa kaskazini na kusini sehemu ambayo ndege hao hawatajua nini kinafanyika upande mwingine.&lt;br /&gt;“Hakutakuwa na njia yoyote ya usumbufu kwa korongo hao muhimu na wazuri…si hivyo tu, lakini kuwapo kwa shughuli za wanadamu eneo hilo kutasaidia kuwafukuza wanyama wengine wanyemeleaji,” anasema.&lt;br /&gt;Akizungumzia mfumo wa kemikali katika ziwa hilo, Nasari anasema magadi kutoka ziwani yatavutwa kwa pampu kilometa 32 hadi kwenye mtambo ambako asilimia 23 ya magadi itatolewa na yanayobaki yatarudishwa ziwani.&lt;br /&gt;“Kiwango cha malighafi ya magadi (brine) kitakachovunwa kwa mwaka ni sawa asilimia 0.12 ya jumla ya magadi yote yatakayoingia ziwani kwa mwaka, na hakutakuwa na mabadiliko makubwa yatakayoharibu viumbe hai (cyanobackeria) ziwani humo.&lt;br /&gt;Hata hivyo, anaeleza kuwa mradi huo katika kiwanda hautachukua maji kutoka vyanzo vyovyote vinavyopeleka maji ziwani, kwani mradi una mpango wa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu vyanzo vingine vya maji safi na salama kwa ajili matumizi ya binadamu na kiwandani.&lt;br /&gt;“Inatarajiwa kwamba kitachimbwa kisima chenye kina cha mita 100 umbali wa kilometa 30 kutoka ziwani bila kuharibu mfumo wa mazingira…ujenzi wa kiwanda hicho utawahakikishia wananchi maji safi na salama kwa matumizi yao na mifugo,” anasema.&lt;br /&gt;Hata hivyo, mradi wa Ziwa Natron unakisiwa kugharimu dola milioni 450 za Kimarekani, gharama ambazo zinajumuisha kiwanda cha kusindika magadi, pia kijiji cha wafanyakazi wa kiwanda hicho na uimarishaji wa miundombinu na mifumo yake.&lt;br /&gt;Anaeleza miundombinu hiyo ni pamoja na ujenzi wa barabara ya Longido hadi Natron na reli ya Arusha kupitia Natron sehemu ya kiwanda.&lt;br /&gt;“Kutakuwa pia na njia ya kusafirisha umeme kutoka Arusha hadi eneo la kiwanda, lakini pia upanuzi wa Bandari ya Tanga na uimarishaji wa reli ya Tanga hadi Arusha utafanyika,” anasisistiza.&lt;br /&gt;Mradi wa magadi kwa kuanzia utazalisha tani 50,000 za magadi na baadaye kuongezeka hadi tani 100,000 kwa mwaka. Kutokana na kuwapo kwa kiwanda hicho, nafasi za ajira ya kudumu zinatarajiwa kupatikana 500 na nyingine ambazo si za kudumu ni nafasi 2,000.&lt;br /&gt;Anasema mradi huo unatarajiwa kuingiza faida ya dola 300 kwa mwaka kutokana na mauzo ya magadi yanayotoka katika Ziwa Natron.&lt;br /&gt;Kuhusu uharibifu wa mazingira katika eneo hilo, anasema shughuli zote zitakazofanyika kwenye mradi zitaongozwa kwa mapendekezo na maelekezo ya taarifa za tathmini ya kimazingira na kijamii (environmental and social Impact assessment) kama ilivyopitishwa na serikali ya Tanzania.&lt;br /&gt;Anasema hiyo ina maana kila tahadhari itachukuliwa kuhakikisha hakuna uharibifu wowote wa mfumo mpana wa mazingira.&lt;br /&gt;Nasari anafafanua kwamba wananchi waishio katika eneo la mradi watapata nishati ya umeme na hivyo kupunguza kasi ya ukataji miti, vilevile umeme utasaidia usambazaji wa maji safi na salama kwa wananchi wengi. Teknolojia itakayotumika kusamabaza maji pia itadhibiti uchafu wa maji taka, kwani itakuwa ya kisasa na wala haitachafua mazingira na kuhakikisha usalama watu.&lt;br /&gt;Anasema NDC na Tata Chemicals Limited, kutoka India na waendelezaji wa mradi huo kwa makini wanazingatia umuhimu wa kuhifadhi mfumo mpana wa mazingira katika sehemu ya mradi, ndiyo sababu walipokea na kujumuisha mawazo na malalamiko ya wadau kuhusu taarifa ya mazingira &lt;br /&gt;Mwandishi wa makala hii anapatikana kwa simu 0784 846907&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima, 8/7/2008&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-1243523824529840724?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/1243523824529840724/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=1243523824529840724&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1243523824529840724'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1243523824529840724'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2008/06/utetezi-wa-mradi-wa-magadi-magadi.html' title='UTETEZI WA MRADI WA MAGADI UNAENDELEA...'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-984890074813326924</id><published>2008-05-26T10:53:00.003+03:00</published><updated>2008-05-31T10:37:55.924+03:00</updated><title type='text'>INDIAN FIRM HALTS PLAN FOR SODA ASH PROJECT</title><content type='html'>&lt;strong&gt;By Orton Kiishweko &lt;br /&gt;THE CITIZEN&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;An Indian company that was keen to invest $500 million (about Sh600 billion) in a soda ash project along Lake Natron in Manyara district has reportedly pulled out. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The firm, Tata Chemicals, announced it was putting on hold its plans for a soda ash extraction and processing plant at Lake Natron due to intense pressure by environmental lobbyists. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mr Homi Khusrokhan, the firm's managing director, said his company has suspended the investment and will wait results of the final Ramsar Management Plan currently under preparation for Lake Natron. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;We still wait for a report that is meant to put the investors and environmentalists concerns into consideration, he said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;However, a report published in the Hindustan Times, one of India's leading newspapers, quoted Mr Khusrokhan as saying the project was also facing a tricky situation that has something to do with a tedious environmental convention. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Environmentalists all over the world have opposed the project, saying Lake Natron, which is an important breeding ground for flamingos, would be destroyed if the company set up a factory. Their campaign forced the shelving of the first environmental impact assessment report that had cleared the Indian firm to invest. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yesterday, Tanzanian authorities were, however, unaware of the planned suspension with Environment Minister Dr Batilda Burian and Tanzania Investment Centre (TIC) chief executive Mr Emmanuel ole Naiko saying they were yet to receive official information from the company. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mr Ole Naiko said the suspension of the project may not be conclusive as an assessment report that will consider the interests of investors and conservationists was still being awaited. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The merits and demerits of the project are still being debated and a common understanding has not yet been reached as far as I know, Mr ole Naiko said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dr Burian told The Citizen that the Government has not approved the project, and was still assessing it to determine whether to endorse it or not. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;As the Government, we are obliged to bring about sustainable social, economic and environmental development. This means that we can allow the project only after the merits and demerits of the whole scheme, she said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mr Khusrokhan, a key spokesperson for the project, admitted that it was clear now that the plant could not be sited at the lakeside because of the risks to the environment. Therefore, the original Environment and Social Impact Assessment should be treated as withdrawn, he said. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;But Mr Gideon Nasari, managing director of the state-run National Development Corporation (NDC), has in the past said that they plan to shift the plant 35km (22 miles) from the lakeshore to help preserve flamingos, which are a major tourist attraction. &lt;br /&gt;However, a UK-based environment group, Birdlife International and the Royal Society for the Protection of Birds, opposed this saying that shifting the project 35km from the lake would not mitigate the negative impact the project is likely to pose to lesser flamingos and the local community. &lt;br /&gt;Twenty-four conservationists from East African countries, under the banner of Lake Natron Consultative Group recently , called on the Tanzanian government to halt the project, saying its a recipe for destruction of the lake and it inhabitants. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Conservationists also argued that the economic benefits of the plant are insignificant, compared with its long-term negative effects on the environment and the country's struggling tourism sector. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Their reports have indicated that Lake Natron is by far the most significant of only five sites in the world where lesser flamingos breed regularly and successfully. The breeding at Lake Natron accounts for 75% of all the world's lesser flamingos. &lt;br /&gt;Their reports also say, that based on flamingo tourism alone, Lake Natron has a value of close to $12 million a year. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: The Citizen, 23/05/2008&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-984890074813326924?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/984890074813326924/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=984890074813326924&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/984890074813326924'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/984890074813326924'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2008/05/indian-firm-halts-plan-for-soda-ash.html' title='INDIAN FIRM HALTS PLAN FOR SODA ASH PROJECT'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-2702014510008355919</id><published>2008-04-30T23:00:00.004+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:11.166+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>BARAFU YA MLIMA KILIMANJARO</title><content type='html'>Mlima Kilimanjaro ni mrefu kuliko mlima wowote ule hapa barani Afrika ukiwa na urefu wa meta 5895 juu ya usawa wa bahari. Juu ya mlima huu pamefunikwa na barafu. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tafiti mbali mbali zikieleza namna barafu hiyo inavyoyeyuka kwa kasi kutokana na ongezeko la joto duniani (nimewahi kuliongelea kwa kina suala hili katika makala zilizopita). Kwa sasa kumekuwa na juhudi mbali za makusudi za kupunguza athari hizi, huenda kukawa kuna mafanikio siku za baadaye kama tutashirikiana kutunza mazingira kuzunguka mlima huu.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEBm8zi9VI/AAAAAAAAAEg/HhE32Y_BtbE/s1600-h/CIMG1269.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEBm8zi9VI/AAAAAAAAAEg/HhE32Y_BtbE/s320/CIMG1269.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5206444412885988690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;em&gt;Kibo na Mawenzi&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEBDczi9UI/AAAAAAAAAEY/Krs8EDYaM1I/s1600-h/CIMG1266.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEBDczi9UI/AAAAAAAAAEY/Krs8EDYaM1I/s320/CIMG1266.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5206443803000632642" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;em&gt;Kilele cha Mawenzi&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SD10A8zi9TI/AAAAAAAAAEQ/TWYD2CTegPg/s1600-h/CIMG1263.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SD10A8zi9TI/AAAAAAAAAEQ/TWYD2CTegPg/s320/CIMG1263.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5205444303981311282" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;em&gt;Kilele cha Kibo&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-2702014510008355919?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/2702014510008355919/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=2702014510008355919&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2702014510008355919'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2702014510008355919'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/04/barafu-ya-mlima-kilimanjaro.html' title='BARAFU YA MLIMA KILIMANJARO'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEBm8zi9VI/AAAAAAAAAEg/HhE32Y_BtbE/s72-c/CIMG1269.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-5543404720688255018</id><published>2008-02-26T10:22:00.001+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:11.624+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>WAPINGA KUCHIMBA MAGADI ZIWA NATRON</title><content type='html'>&lt;strong&gt;na Salehe Mohamed&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;LICHA ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Professa Jumanne Maghembe, kusisitiza dhamira ya serikali kuchimba magadi katika Ziwa Natron, wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi wameupinga mradi huo.&lt;br /&gt;Wadau hao walitoa maoni yao jana jijini Dar es Salaam katika mdahalo wa kupata maoni kuhusu uanzishwaji wa mradi huo, ulioandaliwa na Baraza la Mazingira (NEMC), likihusisha Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC).&lt;br /&gt;Wadau hao walisema athari za mradi huo ni nyingi kwa binadamu, ndege, wanyama na upo uwezekano mkubwa wa kukauka kwa ziwa hilo, kama ilivyotokea kwa wananchi wa Kenya, hivyo hawaoni sababu ya kuukubali mradi huo.&lt;br /&gt;Mradi huo utatekelezwa na Kampuni ya TATA Chemical ya nchini India, ambapo kila mwaka watakuwa wakichimba tani 500,000 na watajenga kiwanda cha kuandaa magadi kwa ajili ya kusafirishwa.&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Engaresero, ambapo mradi huo utajengwa, Christopher Ndurway, alisema wakazi wa kijiji hicho zaidi ya 5,000 na mifugo yao hawatakuwa na sehemu ya kwenda iwapo mradi utaanza kazi.&lt;br /&gt;“Sisi hatukubaliani na uamuzi wa serikali wa kutaka kuchimba magadi, kwani kuna athari kubwa za kimazingira pamoja na sisi na mifugo yetu,” alisema Ndurway.&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), Deodatus Mfugale, alisema mradi huo utaharibu mazalia ya ndege aina ya Lesser Flamingo ambao wapo hatarini kutoweka.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEG3Mzi9YI/AAAAAAAAAE4/fmHOlN78oF0/s1600-h/images%5B1%5D.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEG3Mzi9YI/AAAAAAAAAE4/fmHOlN78oF0/s320/images%5B1%5D.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5206450189617001858" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEHQczi9ZI/AAAAAAAAAFA/etJDHVJP8VE/s1600-h/ourwork_wild_fact_lf%5B1%5D.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEHQczi9ZI/AAAAAAAAAFA/etJDHVJP8VE/s320/ourwork_wild_fact_lf%5B1%5D.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5206450623408698770" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;em&gt;Korongo Wadogo&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuanzishwa kwa mradi huo kunakiuka makubaliano ya kimataifa ambayo yanatamka eneo hilo ni tengefu kwa ajili ya viumbe hivyo.&lt;br /&gt;Mdahalo huo ulitawaliwa zaidi na ubishani mkali baada ya mwakilishi wa NDC, Abdalah Mndwanga, kusema kuwa mwekezaji alibadili eneo la kujenga kiwanda na kusogea umbali wa kilometa 30 zaidi ya eneo la awali.&lt;br /&gt;Mwakilishi huyo alikuwa katika wakati mgumu zaidi pale alipotakiwa kutoa ufafanuzi wa athari za kimazingira zitakazopatikana baada ya mradi, huku yeye akijibu kuwa alielekezwa kutoa takwimu za kiufundi na si vinginevyo.&lt;br /&gt;Joseph Ng’ida, alisema serikali inapaswa ifanye upya tathmini ya mradi huo badala ya kukurupuka, hatua ambayo inaweza kusababisha majuto siku za usoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;WAZIRI KITUKO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kaimu Mkurugenzi wa NEMC, Ana Maembe, alisema maoni ya wananchi hao yatafikishwa kwa Waziri Maghembe ambaye ndiye atakayetoa kibali cha kuruhusu mradi huo.&lt;br /&gt;Maghembe ameshawahi kunukuliwa akisema kuwa watu wanaopinga mradi huo wana sababu binafsi na kama wanataka serikali iachane na mradi huo ni vema wakatoa fedha itakazopata serikali katika kipindi chote cha mradi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima 24/01/2008&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-5543404720688255018?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/5543404720688255018/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=5543404720688255018&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/5543404720688255018'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/5543404720688255018'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2008/02/wapinga-kuchimba-magadi-ziwa-natron.html' title='WAPINGA KUCHIMBA MAGADI ZIWA NATRON'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEG3Mzi9YI/AAAAAAAAAE4/fmHOlN78oF0/s72-c/images%5B1%5D.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-1018521553973013002</id><published>2008-01-29T16:00:00.001+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:11.801+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>MAGADI YA ZIWA NATRON NA MAZINGIRA -1</title><content type='html'>&lt;strong&gt;‘WANAOPINGA UCHIMBAJI MAGADI WANATUMIWA’&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;na Salehe Mohamed&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SIKU chache baada ya wadau wa mazingira kupinga mpango wa Serikali kuchimba magadi katika Ziwa Natron, kumeibuka tetesi kuwa wadau wanaopinga mradi huo wanatumiwa na wafanyabiashara wa bidhaa hiyo waliopo nchini Kenya.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari, vinaeleza kuwa wafanyabiashara hao wanahofia endapo Tanzania itaanza kuchimba magadi kuna kila dalili watu wa Kenya nao wakaanza kudai eneo lao lenye madini hayo linalomilikiwa na Waingereza.&lt;br /&gt;Wadau hao inaelezwa kuwa waligharamiwa safari ya kuja Dar es Salaam kupinga uanzishwaji wa mradi wa kuchimba magadi kwenye mdahalo ulioandaliwa na Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC), uliokuwa ukilenga kupata maoni ya wadau kabla ya kuanzishwa kwa mradi huo.&lt;br /&gt;Vyanzo hivyo vinasema fedha zitakazopatikana kutokana na uchimbaji wa magadi ni zaidi ya zile zinazopatikana katika sekata ya madini hivi sasa na Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani.&lt;br /&gt;Viliendelea kubainisha kuwa watu wanaopinga uanzishwaji wa mradi huo kwa madai kuwa utasababisha mazalia ya ndege aina ya Lesser Flamingo (Korongo Wadogo) kupotea, hiyo ni danganya toto kwani nchini Kenya wanachimba na bila kuharibu mazingira ya ndege husika.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEEPMzi9WI/AAAAAAAAAEo/sahHs4_XYnM/s1600-h/180px-Lesser-flamingos%5B1%5D.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEEPMzi9WI/AAAAAAAAAEo/sahHs4_XYnM/s320/180px-Lesser-flamingos%5B1%5D.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5206447303398978914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;em&gt;Korongo wadogo&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa wataalamu wa mazingira ambao wanapenda kuona mradi huo ukitekelezwa hapa nchini ni Dk. Boniface Mbiyu, ambaye alisema nchi za Kiafrika zimekuwa maskini kwa sababu ya kuwasikiliza wahisani ambao wana lengo la kuzinufaisha nchi zao.&lt;br /&gt;Alisema kama Tanzania itaweza kuchimba madini hayo inakadiriwa kupata zaidi ya sh bilioni 600 ambazo ni zaidi ya fedha wanazozipata katika sekta ya madini na itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani.&lt;br /&gt;Alisema Kenya ilianza kuchimba magadi tangu mwaka 1910 na hakuna madhara makubwa ya kimazingira kama ambavyo watu wamekuwa wakipewa taarifa tofauti kuhusu uanzishwaji wa mradi huo.&lt;br /&gt;Kenya ni miongoni mwa makoloni yaliyokuwa yakitawaliwa na Uingereza na mpaka hivi sasa Waingereza bado wanamiliki eneo linatoa magadi hayo na wameweka vikosi vya kijeshi eneo hilo kwa kushirikiana na askari wa Kenya.&lt;br /&gt;“Huu mradi utakuwa na thamani kubwa sana kwa Watanzania na itakuwa mkombozi wa kiuchumi kwani fedha zitakazopatikana ni zaidi ya zile za dhahabu, makaa ya mawe na almasi,” alisema Mbiyu.&lt;br /&gt;Alisema ni vema Watanzania hasa watu wanaoishi katika eneo la jirani ambalo linatarajiwa kuchimbwa magadi wakawa makini na kuepuka ahadi ndogo ndogo pamoja na maneno ya watu wasiopenda maendeleo ya Tanzania kiuchumi.&lt;br /&gt;Kauli hiyo ya Dk. Mbiyu inaungana na ile aliyoitoa Waziri wa Malisili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe kuwa serikali haitasitisha mpango wake wa kuchimba magadi katika Ziwa Natron lililopo katika Mkoa wa Manyara pamoja na kelele kutoka kwa watu mbalimbali wakitaka mradi huo usitishwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAGADI YA ZIWA NATRON, MKOMBOZI WA UCHUMI TANZANIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Salehe Mohamed&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TANZANIA ni moja ya nchi zilizobarikiwa duniani kuwa na rasilimali nyingi lakini pia ni moja ya nchi zinazoongoza kwa umaskini, kwa sababu ya kutokuzisimamia vema.&lt;br /&gt;Dhahabu, tanzanite, almasi, makaa ya mawe, mbuga za wanyama na vivutio vingi ambavyo kama vingetumika ipasavyo vingeweza kuiweka Tanzania kuwa miongoni mwa nchi tajiri zaidi duniani.&lt;br /&gt;Madini ni miongoni mwa sekta ambazo kila kukicha imekuwa ikipigiwa kelele kuwa inawanufaisha zaidi wageni kuliko wazawa kutokana na mikataba iliyoingiwa na wazawa wasio kuwa na uchungu na rasilimali za nchi yao.&lt;br /&gt;Hivi karibuni kumezuka mashindano ya hali ya juu kati ya watunza mazingira, jumuiya za kimataifa na Serikali ya Tanzania kuhusu azima ya Tanzania kutaka kuchimba magadi yaliyopo katika Ziwa Natron lililopo mkoani manyara.&lt;br /&gt;Wadau wa mazingira na jumuiya ya kimataifa wanasema eneo hilo ni tengefu kwa ajili ya kuhifadhi ndege aina ya lesser flamingo ambao hupatikana katika maeneo machache hapa duniani na wapo hatarini kutoweka.&lt;br /&gt;Wakati wahisani na wadau wa mazingira wakisema hayo, Tanzania imesema itaendelea na mradi huo kwani utasaidia kupunguza umaskini kwa wakazi wa eneo hilo na kukuza uchumi wa nchi.&lt;br /&gt;Mpango wa Serikali ni kuchimba tani 500,000 kwa mwaka kwa muda wa miaka 200 na tayari Kampuni ya Tata Chemical ya nchini India inakamilisha taratibu za mwisho kabla ya kuanza kwa mradi husika.&lt;br /&gt;Zaidi ya dola za Marekani milioni 800,000 zinakadiriwa kupatikana endapo mradi huo utafanya kazi vizuri kama ilivyopangwa pamoja na kutengeneza ajira nyingi zaidi kwa watu wanaofanya kazi katika mradi husika.&lt;br /&gt;Kampuni ya Tata Chemical ndiyo ambayo hivi sasa inaendesha mradi kama huo katika Ziwa Magadi lililopo nchini Kenya na kwa kiasi kikubwa wametambua faida ipatikanayo na magadi ndiyo maana wameamua kuja kuwekeza Tanzania.&lt;br /&gt;Kampuni hiyo imeahidi kuajiri zaidi ya watu 500 katika ajira ya kudumu na zaidi ya watu 2,000 watapata vibarua huku nyumba zaidi zikitarajiwa kujengwa kwa ajili ya wafanyakazi.&lt;br /&gt;Reli ya kutoka eneo la mradi mpaka Tanga kwa ajili ya usafirishaji tayari ipo katika mchakato wa ujenzi, umeme nao utafika mradini pamoja na barabara itakayopitika kipindi chote cha majira.&lt;br /&gt;Kimsingi mradi huu utawanufaisha watu wengi zaidi kuliko ilivyo hivi sasa ambapo ni watu wachache hunufaika na fedha zinazopatikana kutokana na utalii.&lt;br /&gt;Magadi ni aina ya madini ambayo yanapatikana kwa wingi katika Ziwa Natron na asili yake ni kulipuka kwa Volcano hai ya Mlima Oldonyo Lengai uliopo katika Mkoa wa Manyara.&lt;br /&gt;Magadi yana matumizi mengi kwa binadamu, yakiwemo kutengenezea karatasi, viwanda vya ngozi, kusafisha maji, dawa, vitu vya kulipuka na vingine vingi.&lt;br /&gt;Inakadiriwa kuwa nishati ya petroli, madini ya tanzanite, makaa ya mawe na madini mengine yakijumuishwa pamoja hayawezi kufikia fedha itakayopatikana kutokana na uchimbaji wa magadi.&lt;br /&gt;Kimsingi magadi kama yakitumika ipasavyo yanaweza kuiletea Tanzania faida kubwa zaidi kuliko inavyofikiriwa na watu wengi ambao kwa namna moja au nyingine wamekosa uelewa wa kutosha kuhusu umuhimu wa madini haya kwa uchumi wa Tanzania.&lt;br /&gt;Kenya ina eneo linalojulikana kama nchi ya magadi, ambayo yalianza kuchimbwa mwaka 1910 na hutoa zaidi ya tani 600,000 kwa mwaka na inakadiriwa hupata zaidi ya dola milioni 41, fedha ambazo huwafaidisha zaidi Waingereza.&lt;br /&gt;Eneo yanapopatikana madini hayo hulindwa na vikosi vya Kenya na Uingereza, ambayo wakati ikitoa uhuru kwa watu wa Kenya iligoma kutoa eneo hilo kutokana na umuhimu wake.&lt;br /&gt;Mwaka 2001 jumuiya ya kimataifa, hasa wanaojiita wana mazingira walipitisha makubaliano ya kulinda maeneo chepechepe na yenye viumbe ambavyo vinaweza kutoweka ikiwemo eneo hilo la Ziwa Natron.&lt;br /&gt;Lesser flamingo ndio ndege ambao jamiii ya kimataifa inataka wasipotee katika eneo husika ilhali jumuiya hiyo haitazami namna Tanzania inavyoathirika kiuchumi kama haitachimba madini hayo.&lt;br /&gt;Jumuiya hiyo inaonyesha nia ya kutoa shinikizo la kutoipatia Tanzania misaada ya kifedha kama Tanzania itaendelea na mradi wake wa kuvuna magadi katika Ziwa Natron.&lt;br /&gt;Inataka ilete masharti kama ya Mto Nile ambapo nchi zinazozunguka mto huo hutakiwa kuwasiliana na Misri ndipo ziweze kuyatumia maji ya mto huo.&lt;br /&gt;Mtaalamu wa mazingira, Dk. Boniface Mbiyu alielezea umuhimu wa Tanzania kuchimba madini hayo kwa kipindi hiki ni mkubwa zaidi kuliko vipindi vilivyotangulia kwani nchi haiwezi kuendeshwa kwa kutegemea misaada ya wahisani.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa mtaalamu huyo, ili nchi ifaidike zaidi ni lazima kuwapo na mgawanyo mzuri wa rasilimali hiyo kabla ya kuingia mkataba na wawekezaji ili yasije yakatokea yale ya madini.&lt;br /&gt;Alisema mwekezaji na Serikali wanapaswa wapate asilimia 40 katika mradi huo huku asilimia 20 ikienda kwa wakazi wa eneo la mradi ambao wana hofu ya kupoteza fedha wanazozipata kutoka kwa watalii.&lt;br /&gt;Kuwapo kwa ndege hao kumekuwa kivutio kikubwa zaidi kwa watalii ambapo inakadiriwa zaidi ya dola za Marekani 500,000 hupatikana sambamba na wananchi wa Kijiji cha Ngarisero kunufaika kwa kuwatembeza watalii.&lt;br /&gt;Marekani ni nchi ambayo magadi hupatikana lakini ni lazima yachimbwe mita 400/600 kwenda chini, tofauti na Tanzania ambapo hata jembe la mkono linamtosha mtu kuchimba magadi.&lt;br /&gt;Urahisi wa uchimbaji magadi katika Ziwa Natron utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara hiyo ambayo inaweza kuwa kichocheo kikubwa cha kukua kwa uchumi wa Tanzania.&lt;br /&gt;Uchimbaji wa magadi katika ziwa hilo ndiyo mwelekeo mwema wa kufanikisha malengo ya kukuza uchumi wa Tanzania na kutimiza azima ya serikali ya kuboresha maisha ya wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo cha habari hii:&lt;/strong&gt; &lt;strong&gt;Gazeti la Tanzania Daima, 29/01/2008&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitazijadili hoja hizi kwa undani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-1018521553973013002?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/1018521553973013002/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=1018521553973013002&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1018521553973013002'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1018521553973013002'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2008/01/matokeo-eia-yaheshimiwe.html' title='MAGADI YA ZIWA NATRON NA MAZINGIRA -1'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEEPMzi9WI/AAAAAAAAAEo/sahHs4_XYnM/s72-c/180px-Lesser-flamingos%5B1%5D.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-2157804258582651406</id><published>2008-01-28T23:30:00.002+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:12.005+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>MAGADI YA ZIWA NATRON NA MAZINGIRA -2</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Utangulizi&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Mnamo mwezi Juni mwaka 2006, niliwahi kuandika makala katika blogu hii kuhusu maeneo tengefu ya RAMSAR. Katika makala hiyo niliandika hivi :&lt;br /&gt;”Maeneo ya Ramsar ni sehemu ya ardhi oevu duniani, (wetlands) ambayo yana umuhimu wa pekee duniani katika suala zima la uhifadhi wa mazingira. Ardhi oevu ni ile ardhi ambayo kwa msimu wote wa mwaka huwa na unyevunyevu. Jina hili "&lt;a href="http://www.ramsar.org/"&gt;Ramsar&lt;/a&gt;" linatokana na mji wa Ramsar nchini Iran ambapo ndipo mkataba wa kutunza maeneo ya ardhi oevu duniani ulisainiwa, mnamo mwaka 1971. Kwa hiyo basi, mwaka 1971 ndipo yalipofanyika maamuzi ya kulinda maeneo ya ardhi oevu dhidi ya uharibifu, ili yaweze kutumika katika shughuli endelevu, kama vile vyanzo vya maji. Mpaka sasa, kuna mataifa 152 duniani yaliyotia sahihi mkataba huu wa kulinda ardhi oevu, ikiwemo Tanzania. Kuna maeneo tengefu 1608 ya Ramsar duniani yanayochukua ukubwa wa hekta milioni 140, kati ya haya Tanzania tuna maeneo manne tu. Maeneo haya ni ardhi oevu ya Muyovozi katika mto Malagarasi-Kigoma (13/04/2000), ardhi oevu ya bonde la Ziwa Natron-Manyara (04/07/2001), bonde la mto Kilombero-Morogoro (25/04/2002) na bonde la Rufiji-Mafia hadi Kilwa-Pwani (29/10/2004). Katika mabano ni tarehe ambazo maeneo hayo yaliingizwa katika orodha ya maeneo tengefu ya Ramsar. Kwa hiyo, maeneo haya yanalindwa na mikataba ya kimataifa, ambapo hairuhusiwi kufanya shughuli zozote za kiuchumi kama vile kilimo, ufugaji, uvuvi, uwindaji na ukataji miti.”&lt;br /&gt;Makala nzima inapatikana katika kiungo hiki: &lt;strong&gt;http://jadili.blogspot.com/2006_06_01_archive.html&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEFd8zi9XI/AAAAAAAAAEw/PZ6Z3qeQLVw/s1600-h/190px-Lightmatter_flamingo%5B1%5D.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEFd8zi9XI/AAAAAAAAAEw/PZ6Z3qeQLVw/s320/190px-Lightmatter_flamingo%5B1%5D.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5206448656313677170" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/strong&gt;&lt;strong&gt;HOJA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Katika makala hii najibu hoja za mwandishi wa makala katika gazeti la Tanzania Daima la tarehe 29/01/2008 kama nilivyonukuu katika makala tangulizi hapo chini.&lt;br /&gt;Katika miezi ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imekuwa na mazungumzo na kampuni ya Tata Chemicals ya India kuhusu uanzishwaji wa kiwanda cha usindikaji magadi katika eneo la Ziwa Natron, ambalo linalindwa na mikataba ya kimataifa, ambayo inazuia shughuli zozote za kiuchumi (ukiondoa utalii) ambazo zina athari kwa mazingira katika maeneo haya. Serikali ya Tanzania imeridhia mkataba wa Ramsar kuhusu ulinzi wa maeneo oevu, hivyo kutaka kulitibua eneo la ziwa Natron kwa kujenga kiwanda ni kukiuka mkataba huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HOJA YA MANUFAA YA MADINI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi wa makala anasema kwamba madini ya nchi yetu hayajatunufaisha vya kutosha, kwa hiyo tunahitaji kuchimba magadi ili kujinufaisha kiuchumi. Sijaelewa mwandishi alimaanisha nini anapotaja ’madini’ na kuondoa magadi katika kundi la madini. Mimi nasema kwamba, hata magadi ni madini (sodium) ambayo huwepo katika mchanganyiko (compounds and mixtures) mbali mbali ambapo katika taaluma ya kemia yana alama (Na). Sasa basi magadi haya ya ziwa Natron yaweza kuwa ”Sodium Sulphate” (NaSO4), ”Sodium Carbonate” (NaCO3) , ”Sodium Chloride” (NaCl), Sodium Bisulphate NaH(SO3)2 ama Sodium Bicarbonate NaH(CO3)2, na kadhalika. Kwa hiyo aelewe kwamba kama kuna malalamiko ya kimazingira ama ya kipato kidogo kutokana na madini basi magadi hayawezi kabisa kuwekwa kando, kwa sababu nayo ni madini kama nilivyoonyesha hapo juu. Sodium Chloride (chumvi tunayotumia), huchimbwa kule Uvinza Kigoma kwa wingi, je yamenufaishaje taifa kimapato? Anaweza kuanzia hapo kufanya upembuzi, ili kuweza kufikia mwafaka wa manufaa ya madini kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HOJA YA KIPATO&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kwamba tunachimba magadi ili kukuza kipato cha taifa sio hoja sana kwa sababu Tanzania inaweza kutafuta vyanzo vingine vya mapato kufidia kile ambacho tutapoteza kutokana na kutochimba madini haya. Suala la mazingira lazima lipewe kipaumbele Iwapo tungekuwa tunaangalia suala la kipato, basi ule mradi wa kamba (prawns) wa kule Rufiji nadhani ungeendelezwa kwa sababu nao likuwa na kipato kizuri tu. Tusisubiri kupigiwa kelele na mataifa makubwa na kushtuka kwamba kweli mradi una athari. Mwandishi wa makala anasema kwamba iwapo tutachimba magadi hayo tunatarajia kuingiza dola milioni 800,000 kwa muda wote wa mradi huo. Hata kama itakuwa ni kwa mwaka, sidhani kwamba itakuwa busara kuchuuza mazingira kwa pesa ndogo namna hiyo. Ambacho haelewi hapa huyu mwandishi ni kwamba ukokotoaji wa mahesabu ya mradi huu hufanywa na mwombaji ama mwendelezaji wa mradi, kwa hiyo lazima avutie kwake ili kutupendezesha na kutushawishi. Katika mfano wake, anasema kwamba Kenya inazalisha magadi kwa wingi sana tangu mwaka 1910, ila fedha ziotokanazo na magadi hayo huwafaidisha Waingereza zaidi kuliko Wakenya! Lahaula! Sasa kama fedha za Wakenya zinawafaidisha Waingereza, je tuna uhakika gani kama hizi za kwetu ambazo tunatarajia kuzipata kutokana na kuchimba magadi hazitaishia kuwafaidisha Wahindi? Ni nani katika serikali kakaa kupiga mahesabu na kupata jibu kwamba ni kweli tutaingiza kipato hicho katika mfuko wetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HOJA YA AJIRA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kwamba mradi huu utaleta ajira 500 za moja kwa moja na nyingine 2000 zisizo za moja kwa moja sio hoja yenye mshiko ambayo inaweza kusimama na kuhalalisha utoaji kafara wa eneo la ziwa Natron. Suala ni kwamba kuna vyanzo vingine vingi tu vya ajira ambavyo vikipewa kipaumbele vinaweza kuajiri watu zaidi ya hao 2500 kwa muda mrefu ambao watatokana na mradi huu. Kilimo hakijapewa kipaumbele, ingawa kinadaiwa kwamba ni uti wa mgongo wa uchumi wetu. Karibu kila mkoa katika Tanzania unalima zao fulani, je tumechukua hatua gani kuona kwamba kila mkoa unafaidika na kilimo hiki? Iwapo kila mkoa unalima, na chukulia kwamba kila mkoa unatoa wakulima bora 1000 tu katika maelfu ya wakulima wote, tutakuwa na jumla ya wakulima 26,000, yaani mara kumi ya waajiriwa wa huo mradi. Sasa kwa nini tusiendeleze hapa penye ajira nyingi zaidi? Uvuvi nao umesahauliwa. Ni chanzo kizuri sana cha mapato yenye uhakika kwa nchi yetu Tanzania ambayo imejaa maji yanayoruhusu uvuvi kila kona. Kuna Ziwa Nyasa, Tanganyika, Viktoria, Rukwa na kadhalika. Je tumechukua hatua gani kuhakikisha kwamba maji haya yanaajiri watu wa kutosha? Tuna bandari ngapi za kujivunia ambazo zinafanya kazi kwa kiwango cha kuridhisha? Hatujayatumia maji haya vya kutosha katika uvuvi,usafirishaji na matumizi mengine, kwa nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KANUNI ZA TATHMINI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA (EIA&lt;/strong&gt;)&lt;br /&gt;Ufafanuzi wa Mradi&lt;br /&gt;Mpaka sasa, kwa mujibu wa taarifa za serikali, kampuni ya Tata Chemicals bado haijakamilisha suala zima la upembuzi yakinifu kuhusu mradi huu kuangalia kama una madhara ama la, kwa hiyo basi bado kufikia hatua ya kuuweka mradi huu wa magadi ya Ziwa Natron katika miradi salama kimazingira. Taarifa hiyo inapatikana katika tovuti ya baraza la Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC) katika kiungo hiki, Tangazo la NEMC. &lt;strong&gt;”http://www.nemctan.org/publichearinglnatorn.doc”.&lt;/strong&gt; Na kwa mujibu wa kanuni za EIA, iwapo mradi husika unazua ”kelele na manung’uniko” toka kwa jamii, basi hicho ni kiashiria kwamba mambo siyo sawia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;RIPOTI YA ”EIA”&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Binafsi nikiri kwamba, kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu sijaipata na sijaipitia ripoti ya tathimini ya athari za kimazingira ambayo imefanywa na kampuni husika inayoomba kibali cha kuchimba magadi. Pamoja na hayo kama eneo husika linalindwa na sheria za kimataifa, ripoti hii haitakuwa na maana sana kwa sababu tayari eneo la Ziwa Natron haliruhusiwi kuendelezwa kwa shughuli za kiuchumi kwa mujibu wa mkataba wa Ramsar, kwa sababu ya umuhimu wake kwa bioanuwai. Kwamba eneo hili lina ndege aina ya korongo wadogo ”Lesser Flamingo” ambao huishi maeneo hayo na kutegemea eneo hilo kwa maisha yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa habari zaidi pitia&lt;a href="http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2007/10/11/100206.html"&gt; hapa&lt;/a&gt;, &lt;a href="http://www.freemedia.co.tz/daima/2008/1/24/habari23.php"&gt;hapa&lt;/a&gt; na &lt;a href="http://www.parliament.go.tz/bunge/Qs_Ls.asp?Menu=qsLs&amp;amp;PTerm=2005-2010&amp;amp;vpkey=1374&amp;amp;page=10"&gt;hapa&lt;br /&gt;&lt;/a&gt;Huo ndio msimamo wangu kama mtaalamu wa mazingira.&lt;a href="http://jadili.blogspot.com/2006_06_01_archive.html"&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-2157804258582651406?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/2157804258582651406/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=2157804258582651406&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2157804258582651406'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2157804258582651406'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2008/01/magadi-ya-ziwa-natron-na-mazingira-2.html' title='MAGADI YA ZIWA NATRON NA MAZINGIRA -2'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/SEEFd8zi9XI/AAAAAAAAAEw/PZ6Z3qeQLVw/s72-c/190px-Lightmatter_flamingo%5B1%5D.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-6085344356279784670</id><published>2007-12-31T20:21:00.000+03:00</published><updated>2007-12-31T20:51:54.730+03:00</updated><title type='text'>HERI YA MWAKA MPYA 2008!</title><content type='html'>Nawatakia wasomaji wa blog hii Heri ya Mwaka mpya wa 2008.&lt;br /&gt;Kila la heri kwa mwaka ujao, tuendelee kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi daima.&lt;br /&gt;Maoni yenu nayaheshimu na nitayafanyia kazi ipasavyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Happy New Year"&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-6085344356279784670?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/6085344356279784670/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=6085344356279784670&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/6085344356279784670'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/6085344356279784670'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/12/heri-ya-mwaka-mpya-2008.html' title='HERI YA MWAKA MPYA 2008!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-4417437258071574939</id><published>2007-12-31T19:32:00.000+03:00</published><updated>2007-12-31T20:18:49.821+03:00</updated><title type='text'>KADHIA YA ONGEZEKO LA JOTO</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Utangulizi&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na matukio mbali mbali yanayotokea mahali mbali mbali duniani kama kiashirio cha mabadiliko ya hali ya hewa katika uso wa dunia, ikiwemo vimbunga, mafuriko, ukame, kuongezeka kwa kina cha maji baharini, upotevu wa jamii za mimea na wanyama na kuyeyuka kwa barafu katika mzingo wa Aktiki ulio kaskazini mwa dunia. Haya ni baadhi tu ya matukio ambayo ni viashiria, kwamba inatupasa kucukua hatua za makusudi kukabili hali hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MADA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa huku upande wa kaskazini mwa dunia, kumekuwa na malalamiko ya ukosefu wa theluji katika msimu mwafaka. Kwa kawaida, kwa tropiki ya Kansa msimu wa baridi huanza mwezi Novemba. Wenyeji wa huku huwa wanapenda sana kuteleza katika theluji na imezoeleka kila mara kwamba kila ifikapo mwezi Desemba basi kila mahali huwa na theluji ya kutosha kwa sababu joto huwa chini ya nyuzi sifuri, na kila mtu hufurahia hali hii. Lakini kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mabadiliko yasiyo ya kawaida katika hali hii, kwamba kwa sasa inatokea kwamba ifikapo Desemba kunakuwa hakuna theluji kabisa na joto linakwa liko juu ya nyuzi sifuri. Kwa maana hiyo, msimu wa baridi umekuwa mfupi sana ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Wenyeji wanasema kuwa mabadiliko haya hasi yameanza hasa kuonekana kuanzia mwaka 1986 na kuendelea, na hali inazidi kuwa mbaya kadri miaka inavyozidi.&lt;br /&gt;Kwa upande wa tropiki ya Kaprikoni, chini ya Ikweta, huku ndio huwa na ukame uliokithiri, kutokana na mabadiliko haya. Ikumbukwe kwamba mnamo mwaka 2005 kulikuwa na ukame ambao uliathiri sana upatikanaji wa maji, kiasi cha kusababisha matatizo katika uzalishaji wa umeme. Kwa mujibu wa baadhi ya tafiti za kitaalamu, hali hii huenda ikawa ni matukio ya kawaida iwapo nchi zinazoongoza kwa uchafuzi wa hali ya hewa hazitafanya juhudi za makusudi katika kupunguza hewa ya kaboni dayoksaidi itokayo katika viwanda vyao.&lt;br /&gt;Inapaswa kila mtu ajivike majukumu ya kukabiliana na hali hii kwa kufanya yafuatayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;1.&lt;/strong&gt; &lt;strong&gt;Utunzaji wa Nishati&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuzima vifaa vya umeme kama vile taa, pasi, runinga, majiko na feni ama viyoyozi iwapo kwa muda huo vinakuwa havihitajiki. Hii husaidia kupunguza matumizi ya nishati yasiyo ya lazima, hivyo kupunguza pia uzalishaji wa nishati husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;2. Kutumia Usafiri wa Jumuiya&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Iwapo kunakuwa hakuna ulazima wa kutumia usafiri binafsi, basi ni vyema kama tutatumia usafiri wa jumuiya kama vile mabasi, treni na meli kwa safari zetu mbali mbali. Kitendo hiki kitapunguza kiwango cha nishati kitumikacho na mitambo hii. Kitendo hiki kiende sambamba na matumizi ya baiskeli kwa safari fupi fupi ambazo hazimlazimu mtu kutumia gari ama pikipiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;3. Utunzaji wa Maji&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Tutumie maji tuliyonayo kwa kujibana. Hii itasaidia sana kupunguza matumizi yake, kiasi kwamba yale machache tuliyo nayo yanaweza kabisa kututosha. Pia ni vyema kama tutakuwa na utaratibu wa kusafisha maji yaliyokwisha kutumika, ili yatumike tena kwa matumizi mengine kama vile umwagiliaji wa mashamba na ujenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana, tutimize wajibu wetu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-4417437258071574939?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/4417437258071574939/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=4417437258071574939&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/4417437258071574939'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/4417437258071574939'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/12/kadhia-ya-ongezeko-la-joto.html' title='KADHIA YA ONGEZEKO LA JOTO'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-8329779683973007913</id><published>2007-11-20T02:45:00.000+03:00</published><updated>2007-12-25T02:49:46.199+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Blogu'/><title type='text'>JUMUWATA</title><content type='html'>Ndugu msomaji wa blogu hii, Jumuiya ya Wanablogu Tanzania (JUMUWATA) inakaribisha mchango wa mawazo yako wa namna ya kuiboresha.&lt;br /&gt;Mchango wako unahitajika sana wewe mwenye blogu na hata usiye na blogu ilikujenga muelekeo uliochangiwa na wengi na sio kikundi cha watu wachache.Karibu uchangie, kosoa,kemea,shauri, ondoa, .... ilikupata muelekeo na jumuiya ya wanablogu Tanzania unayoweza kujivunia.Kama unablogu tunaomba uweke tangazo la kuwafahamisha watu kuhusu ombi la mchango wao wa mawazo hapa ili liwezekuwafikia watu wengi.&lt;br /&gt;KARIBUNI WOTE!&lt;br /&gt;Imetolewa na,&lt;br /&gt;Uongozi wa JUMUWATA&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-8329779683973007913?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/8329779683973007913/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=8329779683973007913&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/8329779683973007913'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/8329779683973007913'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/11/jumuwata.html' title='JUMUWATA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-4881125762606274926</id><published>2007-10-31T02:33:00.000+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:12.705+03:00</updated><title type='text'>FAHAMU MBEGU ZA NYONYO/MBARIKA</title><content type='html'>&lt;span style="FONT-WEIGHT: bold"&gt;Utangulizi&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbarika ama nyonyo (&lt;em&gt;castor seeds&lt;/em&gt;) ni mbegu za daikotiledoni ambazo zipo katika kundi la mbegu zitoazo mafuta, kundi moja na mbono kaburi (jatropha). Mmea wa nyonyo kitaalamu hujulikana kama &lt;strong&gt;&lt;em&gt;'ricinus communis'&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;. Katika jamii nyingi za Kiafrika, mbegu za mmea huu zimekuwa zikitumika kutengeneza mafuta kwa ajili ya kulainisha ngozi za wanyama na kuwashia taa.&lt;br /&gt;Mimea ya nyonyo ni sumu, kwa hivyo hailiwi na wanyama na husitawi maeneo mengi, hata yale yaliyo na ukame.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RyfGdq90Y0I/AAAAAAAAADY/8VkoJaJACE8/s1600-h/S5000415.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5127284913836680002" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 443px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 332px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RyfGdq90Y0I/AAAAAAAAADY/8VkoJaJACE8/s400/S5000415.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;Picha: &lt;span style="FONT-WEIGHT: bold; FONT-STYLE: italic"&gt;Mmea wa nyonyo/mbarika&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RyfFN690YzI/AAAAAAAAADQ/rCzWsav0vqA/s1600-h/S5000414.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5127283543742112562" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 450px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 322px; TEXT-ALIGN: center" height="316" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RyfFN690YzI/AAAAAAAAADQ/rCzWsav0vqA/s400/S5000414.JPG" width="442" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RyfILa90Y1I/AAAAAAAAADg/ZWfEKbIllAk/s1600-h/S5000413.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5127286799327322962" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 444px; CURSOR: pointer; HEIGHT: 332px; TEXT-ALIGN: center" height="315" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RyfILa90Y1I/AAAAAAAAADg/ZWfEKbIllAk/s400/S5000413.JPG" width="429" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;Picha: &lt;span style="FONT-WEIGHT: bold; FONT-STYLE: italic"&gt;Mbegu za nyonyo/mbarika, kabla hazijakomaa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="FONT-WEIGHT: bold"&gt;&lt;br /&gt;MATUMIZI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mmea wenyewe hutumika kama uzio hai (live fence)&lt;br /&gt;Katika baadhi ya jamii, majani ya mmea huu hutumika kukanda (massage) na kutibu maumivu yatokanayo na kuteguka.&lt;br /&gt;Mbegu za nyonyo husagwa, huchemshwa na kuenguliwa mafuta. Mafuta ya nyonyo huweza kusafishwa katikaa mitambo ya kisasa na kutumika kuendeshea mitambo kama dizeli ya mimea (biodiesel). Pia hutumika kutengenezea mafuta ya kulanisha mitambo. Kumbuka kuwa mafuta ya kulainisha mitambo aina ya Castrol hutengenezwa kutokana na mmea huu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-4881125762606274926?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/4881125762606274926/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=4881125762606274926&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/4881125762606274926'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/4881125762606274926'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/10/fahamu-mbeguza-mbarikanyonyo.html' title='FAHAMU MBEGU ZA NYONYO/MBARIKA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RyfGdq90Y0I/AAAAAAAAADY/8VkoJaJACE8/s72-c/S5000415.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-3491265161330846633</id><published>2007-09-26T13:14:00.000+03:00</published><updated>2007-09-26T14:56:34.132+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>MABADILIKO YA HALI YA HEWA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Mnamo tarehe 18 Septemba 2007, nilihudhuria semina kuhusu mabadiliko hasi ya hali ya hewa na madhara yake katika viumbehai na katika maisha ya mwanadamu kwa upekee. Semina hii ilifanyika katika jiji la Oslo, Norway na ilishirikisha wadau wa taaluma mbali mbali kama vile wanasosholojia, wahandisi, wasanifu, wanasiasa, wataalamu wa ardhi na maji na wataalamu wa mazingira, kwa kutaja wachache, kutoka mabara yote. Hakika ilikuwa ni semina nzuri sana, kwani kulikuwa na mijadala mikali sana hasa kuhusu namna ya kuyakabili masuala haya kwa undani na kwa mbinu zinazokubalika katika mazingira ya sasa. Tulipata wasaa wa kuangalia picha za video zilizopigwa nchini Kenya, Nepal, Norway na Uganda, na wahusika toka nchi hizi ndio walikuwa wazungumzaji wakuu kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa, kadri walivyoshuhudia toka katika nchi zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span class="fullpost"&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MADA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Mtoa mada Joseph Kones kutoka Kenya aliwasilisha ushuhuda wake wa mabadiliko ya hali ya hewa kutoka mahali alipozaliwa, eneo la Maasai Mara, lililo katika bonde la mto Mara. Ikumbukwe kuwa bonde hili limesambaa mpaka Tanzania, katika mbuga ya wanyama ya Serengeti. Akasema kwamba kati ya miaka ya hamsini na sabini kulikuwa na mvua za kutosha na zilikuja kwa msimu maalum. Kwamba, mvua za masika zilikuwa inanyesha kuanzia mwezi Machi hadi Mei na ndio msimu ambao wakulima walipanda mazao yao. Lakini kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ya hivi karibuni, hali imekuwa sio hiyo tena, kwani kwa sasa mvua za masika hazina msimu maalum kwa eneo hilo, ambalo kwa sasa linakabiliwa na ukame wa mara kwa mara. Pia mvua zinazonyesha katika eneo hilo kwa sasa hazina kiwango maalum kama zamani, kwamba zinaweza kuja nyingi na kusababisha mafuriko, ama zikaja chache na kutotosheleza mahitaji ya mimea, ama zisije kabisa katika msimu husika kiasi cha kusababisha ukame. Hali kadhalika, mtoa mada aliongelea suala la mbu waletao malaria, kwamba katika kipindi tajwa hapo juu kulikuwa hakuna mbu wa malaria katika eneo hilo, lakini kuanzia mwishoni mwa miaka ya themanini kumekuwa na malaria katika eneo hilo. Kutokana na ukame wa mara kwa mara, kumekuwa na baa la njaa ambalo husbabishwa na mazao kukauka kabla ya kukomaa, mifugo inakufa kutokana na kukosa malisho na kukauka kwa vyanzo vya maji kwa ujumla. Hali kadhalika, kumekuwa na ugomvi wa mara kwa mara kati ya jamii za wafugaji wa Kipsigi na Wamasai, kugombea malisho na maeneo ya kunyweshea mifugo yao. Kumekuwa pia na magonjwa yanayosambaa kwa njia ya maji, kama vile kichocho na homa za matumbo. Kumekuwa na uchafuzi wa mito na vyanzo vya maji, kutokana na wingi wa mifugo usioendana na uwezo wa vyanzo hivi kukidhi idadi hii ya mifugo. Akatoa wito kwa jumuiya za kimataifa pamoja na wadau wengine, kuangalia namna ya kuyaokoa maeneo haya kutokana na athari hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye mtoa mada Frank Turyatunga (mwakilishi wa UNEP) kutoka nchini Uganda alikuwa na yake ya kusimulia kutoka nchini mwake. Alisema kwamba kuna mto unaotenganisha nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda. Mto huu enzi za miaka ya sitini na sabini ulikuwa hauathiriwi sana na mafuriko ya mara kwa mara, lakini kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa sasa mto huo hufurika mara kwa mara na unamomonyoa kingo zake na kusababisha eneo kubwa la ardhi ya kumegwa na kusombwa na maji, na wakati mwingine mto huhama na kumega eneo la Uganda. Hali hii inasababisha Uganda kupoteza ardhi yake, kwani mto huu ni mpaka kati ya nchi hizi mbili, kwa maana hiyo kama mto unahama na kuelekea upande mwingine basi nchi nyingine hufaidi sehemu ya ardhi ambayo imehamwa na mto. Ikumbukwe kuwa eneo hili pa limegunduliwa kuwa na utajiri wa mafuta, kwa hiyo inaweza kuwa chanzo cha migogoro hapo baadaye. (Zingatia kuwa mto Songwe ulio kati ya nchi za Malawi na Tanzania una tabia ya namna hii, ya kuhama mkondo mara kwa mara kiasi cha kusababisha matatizo katika eno husika)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtoa mada Norbu Sherpa kutoka Nepal alikuwa na yake ya kuzungumza, hasa kutokana na athari za mafuriko ya mara kwa mara kutokana myeyuko wa barafu kutoka katika kilele cha milima ya Himalaya, unaochangiwa na ongezeko la joto duniani. Huyu alitoa ulinganifu wa athari kwa kufuata miaka, kama nilivyotaja hapo juu. Kwa ujumla mtoa mada huyu alilalamikia suala la kumegwa kwa ardhi kando ya kingo za mito, kiasi cha kuwalazimu wao kuhama maeneo hayo na kuelekea maeneo ambayo yana mwinuko zaidi, ili kujiepusha na athari za mafuriko hapo baadaye. Aliongelea suala la kusombwa kwa mazao, makazi na kupotea kwa maisha ya watu kutokana na mafuriko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MJADALA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Shuhuda zilizojadiliwa hapo juu ndio zimekuwa kilio cha nchi nyingi duniani na athari hizi hata nchini mwetu zinaonekana waziwazi. Vimbunga vya mara kwa mara (1995), mafuriko (kumbuka el nino 1997/1998), ongezeko la magonjwa, ukame wa mara kwa mara (1993/1994) , (2005/2006) na ongezeko la joto ni baadhi tu ya athari za mabadiliko tajwa ya hali hewa. Ukiachilia ushuhuda wa uzoefu kutoka kwa wazee wetu na wakaazi wa maeneo mbali mbali, kuna mbinu za kisayansi za kupima mabadiliko haya hasi ya hali ya hewa na athari zake. Mbinu hizi zipo nyingi sana, ila nitagusia chache tu kwa ufupi. Mbinu hizi ni kama zifuatazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ongezeko la Joto&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Ongezeko la joto (mean annual temperature) hupimwa kwa kutumia vipimajoto vya satelaiti pamoja na vile vilivyo ardhini katika vituo vya hali ya hewa na kufanyiwa ulinganifu wa kitaalamu (modelling) kutoka wakati mmoja na mwingine ama kutoka mwaka mmoja na mwingine. Mfano, vipimo vya vilivyochukuliwa miaka ya arobaini hadi miaka ya sitini hulinganishwa na vile vinavyochukuliwa sasa na kukokotoa tofauti yake. Mara nyingi athari za ongezeko hili la joto ni pamoja na kuongezeka kwa myeyuko wa barafu ambapo husababisha mafuriko, kusambaa kwa magonjwa kama vile malaria na kukauka kwa vyanzo vya maji. Si ajabu basi tukisikia kuwa maeneo kama Kitulo, Makete, Mufindi ama Marangu hayakuwa na mbu waletao malaria katika miaka ya sitini na sabini lakini sasa kuna malaria!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Kupungua kwa kasi ama Kupotea kwa jamii za Mimea&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kuna baadhi ya mimea ambayo huwa inaathirika sana kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Upotevu huu hupimwa kulingana na wakati na kufanyiwa ulinganifu. Kwamba kwa mfano, kama mwaka 1930 kulikuwa na mimea 20 ya aina fulani katika meta moja ya eneo, na kwa sasa kuna mimea 8 ya jamii hiyo katika eneo hilo hilo la meta moja ya eneo, basi tunaweza kujua kwamba upotevu wa mimea ni kiasi gani kwa kufanya ulinganifu sasa, tangu eneo hilo lilipowekwa kumbukumbu ya mimea hiyo. Kwa sababu mimea na wanyama hushirikiana katika ikolojia na mfumo lishe, athari kwa mimea pia huleta athari kwa wanyama. Iwapo mimea mingi inakuwa imeondolewa katika eneo fulani , maji hayawezi kutunzwa ardhini, kwani mimea husaidia kutunza maji kwa kuzuia mionzi ya jua kutua moja kwa moja ardhini. Zingatia kwamba eneo tajwa linalofayiwa utafiti niliotaja hapo juu ni lile ambalo halijaathiriwa na shughuli za moja kwa moja za binadamu kama kilimo, ukataji miti na upandikizaji wa mimea mipya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mtawanyiko wa Maji&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kila eneo la ardhi duniani lina mtawanyiko wake maalum wa maji (surface run-off) kwa kila kilometa ya eneo. Kadri athari za kimazingira zinavyoongezeka ndio mtawanyiko huu hupungua ama kuongezeka. Kwa ufafanuzi ni kwamba, joto likichanganyikana na upepo huongeza kasi ya upumuaji (evaporation) ya mito na maziwa, hivyo kupunguza uwingi wa maji. Iwapo ongezeko hili ni la kudumu, basi na upungufu huu huwa ni wa muda mrefu. Hali kadhalika kwa maeneo yenye barafu, iwapo kutakuwa na ongezeko la joto, basi myeyuko wa barafu huwa ni wa kiwango cha juu na huenda ukawa ni wa kudumu hivyo kuongeza uwingi wa maji wa eneo husika, hasa wakati wa joto. Vipimo vya maji vya eneo husika ndivyo hufanyiwa ulinganifu kutokana na wakati na kutathmini athari zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na athari hizi basi, kumekuwa na mwamko katika maeneo mbali mbali hapa duniani kuhusu namna bora ya kukabili athari za uharibifu wa mazingira na ongezeko la joto.&lt;br /&gt;Tufanye nini basi ili kukabiliana na athari hizi? Nini kifanyike ili vyanzo vya maji visikauke? Tufanye nini ili mvua zije kwa wakati na za kutosha? Jadili.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-3491265161330846633?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/3491265161330846633/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=3491265161330846633&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3491265161330846633'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3491265161330846633'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/09/mabadiliko-ya-hali-ya-hewa.html' title='MABADILIKO YA HALI YA HEWA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-8283859104407485933</id><published>2007-08-29T15:19:00.000+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:13.200+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Mawe ya Ilula'/><title type='text'>MAWE YA ILULA YAZUA MJADALA</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Ruj5qsWRmwI/AAAAAAAAADA/LVwgkuzzO6g/s1600-h/Ilula.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5109608289106238210" style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center;" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Ruj5qsWRmwI/AAAAAAAAADA/LVwgkuzzO6g/s400/Ilula.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;em&gt;Hii ni picha ya eneo la Ilula, mkoani Iringa. Uharibifu wa mazingira umesababisha kilele cha mlima huo kukosa miti. Picha ya Maggid Mjengwa.&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Karibu katika mjadala ndugu mwanablogu mwenzangu. Niweke wazi kwamba mjadala huu ni mwendelezo wa mada iliyoanzishwa katika blogu ya mwanakijiji Maggid Mjengwa kuhusu mawe yaliyopo katika eneo la Ilula. Mada yenyewe katika blogu hio inasema hivi, nanukuu &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;”&lt;/span&gt;&lt;em&gt;Kuna mwanakijiji mwenzetu aliyefikiri, kuwa Iringa "IMEBARIKIWA" kwa mawe. Lakini, mlima huo na mingine ya hapa Iringa ilifunikwa na misitu kabla. Kinachoonekana hapo n i uharibifu wa mazingira. Miti yote imekatwa. Kuna vijana wa Iringa wanaokumbuka, kuwa hadi mwaka 1977, waliweza kupanda milima hiyo iliyokuwa na miti mingi. Walikwenda huko na kuwinda ngedere wakiwa na mbwa wao. Binafsi nakumbuka utotoni. Miaka ile ya mwanzoni mwa 70's nikiwa na baba yangu tulisafiri kwa basi la KAMATA toka Igawa Mbeya hadi Iringa. Hapo tulikaa siku kadhaa kwa ndugu yetu mmoja aliyeitwa Merere. Ndugu huyu aliishi Gangilonga, ilijulikana pia kama "Uzunguni". Naikumbuka Iringa iliyokuwa na miti mingi. Mawe hayo ya mlimani sikumbuki kama niliyaona. Nakumbuka Gangilonga yenyewe ilikuwa imefunikwa na miti mingi.Nilipofika tena Iringa miaka ya 90 nikamwuliza mwenyeji wangu nikikumbuka Gangilonga ya utotoni; " Hivi Gangilonga ni wapi ? Niliuliza. " Hapa ulipo ndio Gangilonga!" Alinijibu. Naam. Tunakaribisha mawazo kutoka kwenu, juu ya namna gani tunaweza "kuikijanisha" tena Iringa na hatimaye kuyafunika tena mawe hayo yanayoonekana.&lt;/em&gt;&lt;em style="font-weight: bold;"&gt;”&lt;/em&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt; &lt;/span&gt;Mwisho wa kunukuu.&lt;br /&gt;Kiungo cha mada hio ni &lt;a href="http://mjengwa.blogspot.com/2007/08/baraka-au-laana.html"&gt;http://mjengwa.blogspot.com/2007/08/baraka-au-laana.html&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mtazamo ninaouandika hapa ni wangu, hivyo niko tayari kusahihishwa, kushauriwa ama kukosolewa. Karibuni!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5109610483834526482" style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center;" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Ruj7qcWRmxI/AAAAAAAAADI/qUD8Z5oqj6Y/s400/CIMG0659.JPG" border="0" /&gt;&lt;em&gt;Wanakijiji wanataka huo mlima wa Ilula ufinikwe na mimea kama inavyonyesha picha hii. Inawezekana, tutimize wajibu wetu!&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MJADALA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Utangulizi huo hapo juu ndio uliozua gumzo na majadala mkali miongoni mwa wachangiaji. Wengi wa wachangiaji walianza na hitimisho kwanza, kuwa ni lazima mimea ipandwe mahali pale ili pawe na ukijani kama ilivyokuwa hapo mwanzo, kama ilivyoshuhudiwa na mmoja wa wanakijiji aliyepita mahali hapo miaka hiyo ya ’70. Shida ilikuwa ni namna gani ya kuanza ’kupakijanisha’ mahali hapo. Na ukiangalia picha hio kwa umakini utaona kuwa kando ya hizo nyumba chini ya huo mlima kuna miti na inaonyesha kuwa ina afya njema tu. Sina uhakika kuwa miti hiyo ni ya kupandwa ama ya asili (nitatembelea hapo mahali na kutoa jibu), lakini kuna dalili zote kuwa hapo mahali miti inasitawi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HOJA&lt;br /&gt;1. PENDEKEZO LA KUGAWA MITI KWA WANANCHI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya wanakijiji walishauri kugawa miche ya miti kwa wakazi wa Iringa mjini, vyuoni na kwa wanafunzi wote, ili ikapandwe katika mlima wenye mawe pale Ilula. Wazo hili ni zuri, ila kuna wakati huwa halifanikiwi. Suala la kugawa miche ya miti na kuwalazimisha watu kuipanda sio mara zote linafanikiwa. Suala hili linategemea sana mazingira ya eneo husika, mwamko wa watu wa eneo hilo na uhusiano wa mamlaka inayogawa miche na wananchi wa eneo husika. Mfano, kati ya mwaka 1981 – 2000, mradi wa ‘&lt;em&gt;Soil Erosion Control and Agroforestry Project’ (SECAP)&lt;/em&gt; ulianzishwa na kuendeshwa katika milima ya Usambara, hususan wilayani Lushoto. Mradi huu ulikuwa la lengo la kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti na nyasi katika maeneo mbali mbali ya milima hii ya Usambara. Katika baadhi ya vijiji wanavijiji walipewa miche ya miti na mbegu za majani ya kulisha mifugo, baadhi yao walitupa miche na mbegu hizo na kufanya mradi kutokuwa endelevu. Vijiji ambavyo nilivipitia mwezi Juni mwaka 2005 na walikiri kufanya hivi, (pengine kwa kutojua faida za mti kwa wakati huo) ni Boheloi, Yamba, Mazashai (kata ya Gare) na vijiji vya Mambo, Makose na Mamboleo (kata ya Mtae). Vipara vilivyo katika maeneo haya vinasikitisha sana, hasa ukizingatia kuwa kulikuwa na mradi mkubwa wa utunzaji wa mazingira kwa miaka takribani ishirini. Huu sio uzushi, ila ni hali halisi, kama kuna mtu anatoka maeneo tajwa ama amepita maeneo hayo na kuongea na wenyeji, anaelewa nini ninaongelea hapa. Kuna miradi kadhaa inayofanana na huo wa SECAP ilifanyika katika wilaya ya Mbeya, ambayo ilifadhiliwa na iliyokuwa 'European Economic Community-EEC sasa inaitwa 'European Commission'-EC, ilifanikiwa. Nitatoa makala ya miradi hii siku za baadae kidogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;2. PENDEKEZO LA KUWA NA SIKU MAALUM YA KUPANDA MITI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuna wanakiji walipendekeza kuteuliwa kwa siku maalum ya kupanda miti. Tayari siku hii tunayo, kwani kila ufikapo tarehe mosi mwezi Januari kila mwaka kunakuwa na kampeni za kitaifa za kupanda miti. Ni miti mingi inapandwa katika siku hii na watu binafsi, mashirika, serikali na taasisi mbali mbali. Baada ya kupanda miti suala la ufuatiliaji kujua hali ya mimea hii huwa duni sana, kiasi kwamba mingi ya miti hii huwa inakauka kwa kukosa matunzo. Suala la kupanda miti halina ubaya wowote na ni wazo zuri sana. Lakini sasa, baada ya kupanda, ni nani anajipa shida ya kujua hali ya miti hii baada ya kampeni hizi? Mara nyingi tunapanda miti katika kampeni wakati wa mvua za masika, lakini ni nani anajipa shida ya kufuatilia miti hii mara baada ya mvua za masika kwisha? Nani anakuwa na uhakika kuwa mizizi ya miti hii inakuwa imeshika vyema na ina uwezo wa kufyonza maji sasawasawa wakati wa kiangazi? Ni miji michache sana ambayo hufanya ufuatiliaji wa miti hii mara baada ya kampeni hizi. Kiujumla inatakiwa kila mwananchi awe na mwamko wa kutunza mazingira ya eneo husika, badala ya kusubiri kampeni, ambazo aghalabu huwa ni za zimamoto ama za muda mfupi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;3. MJADALA WA UMILIKI WA ENEO HUSIKA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Niwe wazi kuwa sina uhakika kuwa ni nani anamiliki eneo la Ilula lililoachwa wazi bila mimea. Huenda ikawa ni eneo lililo chni ya mamlaka ya halmashauri ya manispaa, halmashauri ya kijiji ama serikali kuu. Tangu miaka ya nyuma hasa baada ya Azimio la Arusha la mwaka 1967, sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu ipo/ilikuwa katika miliki ya serikali kuu. Hii inajumuisha pamoja na mambo mengine vitu vyote vilivyomo katika ardhi hiyo, kama vile maji, madini, mimea na wanyama. Ni hivi majuzi tu ambapo maeneo haya yameanza kumilikishwa kwa serikali za mitaa, zikiwemo serikali za vijiji. Suala hili la ardhi kuwa chini ya serikali kuu lilifanya watu kuvamia maeneo haya na kufanya wanachokitaka ikiwa ni pamoja na kuchukua rasilimali zilizomo kama vile kuchimba madini, kurina asali, kuwinda, kukata miti kwa ajili ya kuchoma mkaa, kupasua mbao na mara nyingine kuichoma moto. Ilikuwa ni ‘Tragedy of the Commons’, kwamba mali ya umma haina hasara. Mara nyingi madhara ya vitendo hivi yametupata hata tusiohusika, kwa hiyo ndio sababu inayotufanya tunapiga kelele. Suala la kuacha kila kitu chini ya serikali kuu siliafiki sana. Tunasema kuwa “Serikali ina mkono Mrefu”, sawa lakini mkono huu una kikomo na kuna maeneo ambayo huwa mkono huu wa serikali kuu hauwezi kufika. Waliowahi kufanya kazi vijijini ambako hata baiskeli hakuna wanaelewa ninachoongelea hapa. Kuna baadhi ya vijiji Tanzania havifikiki kwa magari wala baiskeli, kwa hiyo kusema serikali kuu itafika maeneo hayo na kutekeleza yale wananchi wanayotaka sio kweli. Lazima mambo mengine yaliyo ndani ya uwezo wa serikali za vijiji yaachwe chini ya mamlaka ya serikali za vijiji. Kwa hiyo basi, maeneo kama haya yakipewa umiliki binafsi wa serikali za vijiji yatatunzwa na kuheshimiwa, kwani huku vijijini ndiko serikali inakoanzia na ni wanavijiji ambao ndio waathirika wa kwanza wa moja kwa moja wa athari chanya na hasi za vitendo nilivyoongelea hapo juu, na wengine tunafuata. Kuna wanakijiji wameponda sana suala hili, lakini kamwe hii hainizuii mimi kuendelea kusimamia hoja hii kwa miguu yote. Hatuwezi tu kukurupuka leo na kwenda kupanda miti katika eneo husika eti kwa sababu mvua za masika zinanyesha, bila kujua mmiliki wa eneo husika na bila kujua ana mpango gani na eneo hilo. Huku ni kukurupuka. Naunga mkono suala la kupanda miti, lakini lazima tujue tunapanda miti katika eneo la nani, isije kuwa tunatafuta kesi kwa kuvamia eneo la mtu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;4. MBINU SHIRIKISHI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba kumekuwa na mawazo mbadala kutoka kwa wanakijiji kuhusu hoja hii, lakini pia ina umuhimu wake kwa mazingira ya sasa. Watanzania wa leo huwa wanahoji kila suala, hata kama hawachukui hatua katika suala hilo, lazima wajue nini kinaendelea. Siafiki suala la kuwapita kando ‘by-pass’ wakaazi wa eneo husika. Watanzania wa leo ukiwalazimisha suala ambalo hawalitaki huwa wanasema hapo hapo! Wamebadilika! Kwa hiyo basi, iwapo tunataka kupanda miti eneo la Ilula lililothiriwa, lazima tuwashirikishe wananchi. Narudia kusema kuwa, waliokata miti kwa ajili ya kuni, mbao, ujenzi, uchomaji wa mkaa na kadhalika huenda hawakutoka mbali na hapo, kwa hiyo ni hao hao. Kwa hiyo basi, naunga mkono hoja ya wao kushirikishwa katika kuhuisha mimea ya eneo husika. Nilitoa mfano wa mradi wa “Communal Areas Management Programme For Indigenous Resources” (CAMPFIRE) ulio nchini Zimbabwe, kuwa walitumia mbini hii katika kutekeleza mradi huo na walifanikiwa, kwa nini na sisi tusitumie mbinu hii kama inawezekana? Soma zaidi hapa &lt;a href="http://www.resourceafrica.org/documents/1993/1993_campfire_bg.pdf"&gt;http://www.resourceafrica.org/documents/1993/1993_campfire_bg.pdf&lt;/a&gt; kuhusu mradi huu.&lt;br /&gt;Mfano mwingine wa mbinu shirikishi katika utunzaji wa mazingira unaweza kuusoma hapa, &lt;a href="http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/9/13/habari33.php"&gt;'http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/9/13/habari33.php'&lt;/a&gt;  Kitendo cha kufanya mambo ambayo yatawaathiri wananchi hapo baadaye bila kuwashirikisha ni dharau na kinaweza kuleta madhara. Hali kadhalika kitendo hiki kinawaweka wananchi nje ya mradi husika, hivyo wanakuwa hawana uchungu na mradi huo. Ndio hapa vurugu inapoanza, ni katika hatua hii uwindaji haramu hutokea, uchomaji wa mkaa kinyemela hufanyika, ukataji miti bila vibali hutokea na vitendo vingine vinavyofanana na hivyo. Ushirikishwaji wa jamii “Local Level Planning” haukwepeki kwa suala kama la Ilula, kwa hiyo hatuna budi kulipa nafasi yake katika mchakato huu mzima wa kuhuisha eneo husika. Tukidhani kuwa wao hajui mbinu bora za kuhuisha eneo hili tutakuwa tunawakosea haki. Sio vibaya kama tutakumbuka malalamiko ya wananchi wakati wa ‘Operesheni Vijiji/sogeza’ ya miaka ya sabini. Je miradi yote iliyoanzishwa na serikali katika operesheni hii bado inafanya kazi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;5. UREJESHWAJI WA MIMEA ASILIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa sababu wataalamu wa kwanza na wa kuaminika kwa mtazamo wangu ni wanakijiji wa eneo husika, naamini wao ndio wanaojua ni miti ama mimea ya namna gani ilikuwa inastawi katika eneo husika. Kwa hiyo basi, iwapo wazo ni kurejesha mimea katika eneo husika, sio vibaya kama ile mimea ya mwanzo (original indigeneous species) ikapewa kipaumbele,ndipo mimea mingine hamiaji (exotic species)ipewe nafasi. Inawezekana mimea ya mwanzo isikubali katika eneo husika kulingana na ukubwa wa athari, lakini pia mimea vamizi ina athari zake, na huenda isistawi vyema. Inabidi tuwe makini na hili, kwani tusije kurudi kule kule, leo tunapanda miti na baadaye kidogo tunaambiwa tukate kwa sababu inahatarisha vyanzo vya maji. Hii yote inatokana na kukurupuka. Nadhani tunakumbuka vyema habari ya mikaratusi, kwamba ilipandwa kwa lengo jema kabisa lakini ‘wataalamu’ sijui wa namna gani wakasema miti hii inaharibu vyanzo vya maji. Hoja hii niliipinga wakati fulani bloguni hapa. Nisingependa sana turejee huku miaka kadhaa ijayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HITIMISHO &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Hatima ya michango ya wanakijiji iwe ni kuhakikisha kuwa eneo tajwa linabadilika kutoka hali ya jangwa iliyopo sasa na kuwa mahali penye mimea. Lakini tisifanye suala hili kwa kukurupuka, kama ilivyo jadi ya Watanzania wengi, tutafeli. Narudia kusema kuwa kijiji (blogu) na wanakijiji kwa ujumla tuna lengo la kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili. Lakini utatuzi huu lazima uwe ‘credible’, vinginevyo tutakuwa tunatwanga maji katika kinu.&lt;br /&gt;Nawasilisha.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-8283859104407485933?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/8283859104407485933/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=8283859104407485933&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/8283859104407485933'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/8283859104407485933'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/09/mawe-ya-ilula-yazua-mjadala.html' title='MAWE YA ILULA YAZUA MJADALA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Ruj5qsWRmwI/AAAAAAAAADA/LVwgkuzzO6g/s72-c/Ilula.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-1225492547064517383</id><published>2007-07-31T22:43:00.000+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:14.013+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usambara'/><title type='text'>SAFU ZA MILIMA YA USAMBARA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Safu za milima ya Usambara ni sehemu tu ya safu za milima ya tao ya mashariki "eastern arc Mountains". Milima hii inaunganishwa na safu ya milima ya Udzungwa na Uluguru katika uhifadhi. Inasifika kwa kuwa na viumbe wengi wa namna ya pekee (endemic), kwa hiyo inapewa umuhimu mkubwa sana katika utunzaji wake na taasisi za kimataifa kama vile 'Critical Ecosystem Partneship Fund (CEPF), International Centre for Insect Physiology and Ecology (ICIPE) pamoja na 'Birdlife International'. Safu za milima hii zinaambaa ambaa toka Muheza, Korogwe hadi Lushoto katika mkoa wa Tanga.&lt;/div&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Rq-a-whblNI/AAAAAAAAABc/_04GChWlNso/s1600-h/S5000386.JPG"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5093460987015304434" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 417px; CURSOR: hand; HEIGHT: 321px; TEXT-ALIGN: center" height="229" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Rq-byAhblPI/AAAAAAAAABs/knMZUiUwyKE/s400/S5000388.JPG" width="375" border="0" /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5093461665620137218" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Rq-cZghblQI/AAAAAAAAAB0/RX6A9qffwGw/s400/S5000389.JPG" border="0" /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Picha:&lt;/strong&gt; Sehemu ya Msitu wa Kandelekampaa katika milima ya Usambara iliyoathiriwa kwa moto na kilimo, katika Kijiji cha Ndabwaa kata ya Malindi wilaya ya Lushoto &lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;UMUHIMU WAKE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Safu za milima hii ni chanzo cha mito mingi sana, kama vile mto Zigi, mto Pangani na mto Umba, lakini sehemu kubwa ya misitu ya safu hizi imeharibiwa sana, hasa maeneo ya Lushoto na Korogwe, kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu ambao kwa kiasi kikubwa hutegemea shughuli za kilimo na upasuaji wa mbao. Maeneo yaliyoathiriwa sana na shughuli hizi ni yale ya Usambara Magharibi, hasa wilayani Lushoto. Huku ndio sehemu kubwa sana ya misitu hii imefyekwa ama kuchomwa moto kabisa, hasa katika vijiji vya Ndabwa, Magamba na Lukozi. Kwa upande wa wilaya ya Muheza, angalau kuna matumaini, kwani misitu ya upande huu imetunzwa kwa kiasi cha kuridhisha. Ikumbukwe kuwa matunda na mboga mboga kutoka wilaya hizi hutoka katika mashamba ambayo ama yapo pembezoni mwa misitu hii ama yanapata maji yake toka katika misitu hii.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5093462434419283218" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Rq-dGQhblRI/AAAAAAAAAB8/yzRrt7BHV7A/s400/S5000387.JPG" border="0" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Picha Juu:&lt;/strong&gt; Mto mkuzu, ambao hutoka katika milima ya Usambara. Mto huu ni tegemeo sana kwa wakazi wa vijiji vingi vya Lushoto kwa umwagiliaji na matumizi ya nyumbani.&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5093463469506401570" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Rq-eCghblSI/AAAAAAAAACE/_c2kLMSIBaA/s400/S5000407.JPG" border="0" /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Pichani:&lt;/strong&gt; Kabichi ambazo hulimwa katika mashamba yaliyo katika safu za Milima ya Usambara&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;ELIMU YA MAZINGIRA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Kuna taasisi kadhaa ambazo zinajihusisha na kuelimisha jamii zilizo katika maeneo haya juu ya kutunza safu za milima hii, ikiwa ni pamoja na kuhamasisha utalii rafiki wa mazingira (eco-tourism). Taasisi hizi ni kama vile Friends of Usambara Society (FOU), West Usambara Women Education (WUWE), Lushoto Youth Development Network na kadhalika. Hata hivyo bado juhudi zaidi zinahitajika katika kupunguza athari hizi. &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-1225492547064517383?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/1225492547064517383/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=1225492547064517383&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1225492547064517383'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1225492547064517383'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/07/safu-za-milima-ya-usambara.html' title='SAFU ZA MILIMA YA USAMBARA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Rq-byAhblPI/AAAAAAAAABs/knMZUiUwyKE/s72-c/S5000388.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-4606106027826460563</id><published>2007-06-13T01:48:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:02:03.681+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Blogu'/><title type='text'>NAFASI ZA UONGOZI KATIKA JUMUIYA YA WANABLOGU WA TANZANIA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;OMBA NAFASI ZA UONGOZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ndugu msomaji wa blogu hii, kuna nafasi mbali mbali za uongozi zimetangazwa katika Jumuiya ya Wanablogu wa Watanzania. Unaruhusiwa kugombea nafasi yoyote, na si lazime uwe na blogu ili kupata nafasi hizo. Nafasi hizo zinazonadiwa ni za Mwenyekiti, Mhazini, Katibu na nyinginezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAMBO YA KUZINGATIA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Tuma picha yako ukiambatanisha na wasifu wako, pamoja na sababu zinazokutuma kugombea na nafasi unayogombea. Ueleze ni kitu gani unataka kuifanyia Jumuiya katika kuikuza. Tuma maelezo yako kwa &lt;a href="mailto:"&gt;'mijasayi@yahoo.com'&lt;/a&gt;.&lt;br /&gt;Kwa maelezo zaidi tafadhali tembelea blogu ya Jumuiya &lt;a href="http://blogutanzania.blogspot.com/"&gt;'http://blogutanzania.blogspot.com&lt;/a&gt;'&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-4606106027826460563?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/4606106027826460563/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=4606106027826460563&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/4606106027826460563'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/4606106027826460563'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/06/nafasi-za-uongozi-katika-jumuiya-ya.html' title='NAFASI ZA UONGOZI KATIKA JUMUIYA YA WANABLOGU WA TANZANIA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-5609741249733317782</id><published>2007-05-22T01:00:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:00:03.430+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Blogu'/><title type='text'>MWAKA MMOJA WA KUJADILI WATIMIA!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;TOVUTI YATIMIZA MWAKA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Leo tarehe 22/05/2007 tovuti hii inatimiza mwaka mmoja tangu izinduliwe rasmi mwaka jana 2006. Tarehe kama hii mwaka jana ndipo makala ya kwanza ilibandikwa mahali hapa. Nakumbuka jinsi ilivyokuwa vigumu kuamua cha kuandika, lakini hatimaye mambo yakaenda vyema na mpaka leo naendelea kusimama.&lt;br /&gt;Tangu izinduliwe rasmi mwaka jana, tuvuti hii imefanyiwa madiliko ya mwonekano mara tatu na bado itaendelea kuboreshwa kwa kuongeza mambo mapya ambayo kwa sasa yanaandaliwa.&lt;br /&gt;Kimsingi mawazo ya kuanzisha blogu hii yalitokana na ushawishi mkubwa wa Mzee wa "&lt;a href="http://mwaipopo.blogspot.com/"&gt;Baragumu&lt;/a&gt;", ambaye ni swahiba wangu wa siku nyingi sana, tangu tukiwa tunasoma shule moja ya sekondari mkoani Iringa. Huyu ndiye aliyenishawishi kwa kiasi kikubwa kuanzisha tovuti hii na baadaye akafuatiwa na mwanablogu nguli, Mzee wa "&lt;a href="http://jikomboe.com/"&gt;Jikomboe&lt;/a&gt;". Pamoja na hawa pia kuna kundi kubwa sana la wanablogu wenzangu ambao naweza kuujaza ukurasa huu kama nitaamua kuwataja mmoja baada ya mwingine ambao wamekuwa wakitoa michango yao mbali mbali ya mawazo katika kuiboresha tovuti hii, hawa nao nawapa shukrani za pekee.&lt;br /&gt;Nayathamini sana mawazo yenu na naomba tuendelee kushirikiana ili tuweze kusukuma gurudumu la maendeleo kwa kuboresha mazingira yetu.&lt;br /&gt;Naahidi kuendelea kuweka makala za kuzua mijadala ya kuboresha maisha yetu mahali hapa, na naomba tuendelee 'kujadili' kama kawaida yetu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-5609741249733317782?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/5609741249733317782/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=5609741249733317782&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/5609741249733317782'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/5609741249733317782'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/05/mwaka-mmoja-wa-kujadili-watimia.html' title='MWAKA MMOJA WA KUJADILI WATIMIA!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-1116166320535820074</id><published>2007-04-30T12:57:00.000+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:14.318+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>SAFISHA HAPA.....CHAFUA PALE!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni suala la kawaida kukuta barafu/theluji katika miinuko ya maeneo mbali mbali ya nchi zilizo katika Tropiki ya Kansa, yaani nyuzi 23.26' kaskazini mwa Ikweta, hasa wakati wa majira ya baridi. Barafu/theluji huongezeka zaidi kama unazidi kuelekea kaskazini katika mzingo wa Aktiki (nyuzi 66.33'). Kwa wenyeji wa maeneo haya, huu ni msimu wa michezo ya wakati wa baridi kama vile kuteleza katika theluji na kutembea katika maji yaliyoganda (barafu). Lakini kwa watumiaji wa vyombo vya usafiri kama baiskeli, magari, treni na ndege ni msimu usiopendeza sana. Kwa upande wa baiskeli, magari na ndege, ni msimu wa kubadilisha magurudumu. Magurudumu yanayotumika wakati wa kiangazi ni tofauti na yale yatumikayo wakati wa baridi. Tofauti yake ni kwamba magurudumu ya msimu wa baridi huwa na misumari midogo midogo katika uso wake, ili kuleta msuguano wa kutosha (friction) wakati chombo kinapopita katika barafu ama theluji. Bila magurudumu ya namna hii ni rahisi sana kwenda nje ya barabara kama kuna theluji, kwa sababu huwa inateleza sana. Theluji pia hujaa katika reli na kusababisha utelezi. Ni kawaida kwa maeneo haya kukuta vyombo vya kusafisha theluji barabarani kila asubuhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UONDOAJI WA THELUJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Theluji ikishafagiliwa, hukusanywa mahali na kisha kuzolewa katika magari makubwa na kwenda kutupwa. Shida yake huanzia hapa, kwamba mara nyingi katika nchi hizi theluji hutupwa katika bahari ama maeneo mengine ambayo ni oevu. Iwapo kunakuwa na joto theluji hii huyeyuka na kuwa maji. Wanamazingira hawapendezwi na suala hili la kutupa theluji na barafu katika maeneo haya. Madai yao ni kuwa, mara nyingi theluji inayokusanywa mitaani huwa na takataka sana, kwa hiyo unapoikusanya na kwenda kuimwaga baharini ama maeneo mengine unakuwa unasababisha uchafu mahali hapo. Ieleweke pia kuwa theluji hii huweza kuambatana na mafuta yanayotumika kulainishia ama kuendeshea mitambo, hivyo kama itatupwa katika maeno yenye unyevu basi itasababisha kufa kwa viumbe hai ambao hutegemea maji hayo kwa maisha yao kama vile samaki na vyura. Hali kadhalika mafuta huganda katika mbawa za ndege wavuvi, hivyo hushidwa kuruka kujitafutia riziki zao na hivyo hufa kwa njaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SULUHISHO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na malalamiko ya wanamazingira kuhusiana na uchafuzi huu, wazoaji wa theluji (hasa halmashauri za miji) wameamua kutupa theluji hii katika maeneo maalum yalitengwa kwa ajili hiyo (dump sites). Kwa hiyo maeneo hayo huwa ni maalum kwa ajili ya kumwaga theluji na barafu na uchafu unaoambatana navyo. Bado wanamazingira hawajaridhika na kitendo hiki, kwa sababu wanasema unatibu tatizo moja huku ukisababisha jingine la uchafuzi wa mazingira. imsingi barafu na theluji ni maji, na wanaomwaga wanajua kuwa wakati wa kiangazi huwa inayeyuka, suala linalogombaniwa hapa ni taka zinazoambatana na theluji ama barafu, kuwa ndizo zinazoleta madhara katika mazingira. Mpaka sasa bado kuna mgongano wa mawazo kuhusu nini kifanyike ili kutatua mvutano huu, tusubiri tuone matokeo yake.&lt;br /&gt;Kwa upande wa nchi za Kitropiki hakuna tatizo la barafu, katika miji, ila suala la utupaji ovyo wa taka lipo na limeshamiri sana.&lt;br /&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5059311352272326626" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RjZI3phLD-I/AAAAAAAAAA8/g087c_a_qjI/s320/CIMG0083.JPG" border="0" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;Barafu iliyokusanywa, ikisubiri kuzolewa na kwenda kutupwa! &lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-1116166320535820074?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/1116166320535820074/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=1116166320535820074&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1116166320535820074'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1116166320535820074'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/04/safisha-hapachafua-pale.html' title='SAFISHA HAPA.....CHAFUA PALE!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RjZI3phLD-I/AAAAAAAAAA8/g087c_a_qjI/s72-c/CIMG0083.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-2223347382682523871</id><published>2007-04-12T13:45:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:09:05.271+03:00</updated><title type='text'>FAHAMU MVUA ZA TINDIKALI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;MVUA ZA TINDIKALI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika makala zangu zilizopita, niliwahi kudokeza kidogo kuhusu mvua za tindikali, ama kwa Kiingereza ’Acid rains’. Leo nafafanua zaidi kuhusu mvua hizi, nikianzia na chanzo, madhara yake, namna ya kupima madhara yake na namna ya kupunguza mvua hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;CHANZO CHA MVUA ZA TINDIKALI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, mvua za tindikali husababishwa na chembe chembe nyevunyevu na zile kavu za baadhi ya gesi ambazo kwa pamoja huwa zinaelea angani. Chembe chembe hizi aghalabu ni tindikali ya salfuriki ama naitriki. Kuna vyanzo vikuu viwili vya tindikali hizi katika anga. Kwanza ni vyanzo vya asili ambavyo mwanadamu hana mamlaka navyo na hana namna ya kuvizuia, kama vile volkano na kuoza kwa mimea. Baadhi ya mimea inapooza huzalisha kiasi fulani cha tindikali, ambayo iwapo itakutana na maji basi huwa na madhara katika ardhi. Vivyo hivyo, kunapotokea mlipuko wa volkano, majivu pamoja na gesi kutoka katika volkano hizi huwa na chembe chembe za tindikali ambazo hupelekwa angani na kuelea. Kwa hiyo vitu hivi vikichanganyikana na maji au unyevu katika anga hufanya tindikali ambazo nimezitaja hapo juu.&lt;br /&gt;Pili, viwanda vingi hasa vinavyozalisha nishati kwa kutumia tungamotaka hasa makaa ya mawe, mkaa na kuni huzalisha hewa nyingi sana za oksaidi za salfa na naitrojeni (SO2) na (NOx). Sasa basi, iwapo hewa hizi zitachangayikana na unyevu ulio angani pamoja na kemikali nyingine zinazoelea angani basi tindikali tajwa hapo juu na nyingine nyingi hutokea. Kuna wakati gesi hizi huweza kusafirishwa mbali zaidi kwa njia ya upepo na kuleta madhara mahali mbali kabisa na chanzo chake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;2H2O + 2SO2 + O2 → 2H2SO4 (dhaifu)&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;Hii ni tindikali ya salfuriki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchanganyiko wa tindikali ya naitriki huwa kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;&lt;em&gt;NO2 + OH· → HNO3 (dhaifu)&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;CHEMBE CHEMBE NYEVU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kama nilivyodokeza katika aya za hapo juu, chembe chembe za hizi tindikali huweza kuwa nyevu ama kavu. Kwa upande wa chembe chembe nyevu, hizi huwa katika mfumo wa mvua, manyunyu, ukungu ama theluji. Sasa basi, iwapo upepo utapeperusha chembe chembe hizi mahali ambapo hali ya hewa ni ya unyevu, basi chembe chembe hizi hutua katika uso wa dunia kama mvua, ukungu, manyunyu ama theluji kulingana na hali ya hewa ya mahali husika. Sasa basi maji ya mvua ama ukungu ama manyunyu yaliyo na tindikali huwa na madhara kwa viumbe hai ambao wanatumia maji haya kwa namna moja ama nyingine. Makali ya athari ya tindikali hii hutegemena na kiasi cha tindikali kilicho katika maji haya, aina za udongo, wanyama na mimea inayotegema maji haya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;CHEMBE CHEMBE KAVU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika maeneo ambayo hali ya hewa ni kavu kabisa, kama ilivyo katika jangwa, chembe chembe za tindikali huweza kuchanganyika na vumbi ama moshi na kutua katika ardhi vikiwa katika hali ua ukavu hivyo hivyo. Vumbi ama moshi wenye tindikali hii huganda katika vitu mbali mbali kama vile mapaa ya nyumba, magari, madaraja, majengo na mimea. Sasa iwapo mvua kidogo tu itanyesha na kusafisha vitu hivi basi tindikali hii husambaa na kuleta madhara katika maeneo mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ATHARI ZA MVUA ZA TINDIKALI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mvua za tindikali huchangia sana kuongeza sumu katika maeneo mbali mbali kama vile mito, maziwa na wakati mwingine husababisha mimea kupukutika ama kufa kabisa, kwa sababu tindikali hii huunguza majani na mashina ya mimea hii. Mvua hizi husababisha kuoza kwa mapaa yanayoezekwa kwa bati ama chuma na pia huathiri sana rangi za majengo. Gesi za oksaidi za salfa na naitrojeni pia huathiri uwezo wa kuona pamoja na kupumua kwa mwanadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Athari Katika sehemu oevu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Sehemu oevu ni zile ambazo zina unyevu nyevu katika msimu wote wa mwaka kama vile mito, maziwa, madimbwi na ardhi oevu. Katika maeneo haya, mvua za tindikali huathiri wanyama na mimea ambavyo hutegema maji haya. Kwa kuwa maji haya yanakuwa na kiasi kikubwa cha tindikali kuliko uwezo wa viumbe hawa kuhimili, basi viumbe hawa hushidwa kuishi na hivyo hufa. Majani ya mimea katika maeneo haya hupukutika, kwa sababu tindikali hizi huunguza mimea hii na hivyo kuifanya kushindwa kusanisi chakula (photosynthesis).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Athari Katika Misitu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, jamii mbali mbali za mimea hutofautiana katika ustahimilivu wa madhara ya kimazingira. Mimea hutofautiana katika ustahimilivu wa ukame, baridi, joto kali, maji mengi (mafuriko), ukosefu wa mwanga na uharibifu mwingine. Hivyo basi, katika misitu ya namna mbali mbali, athari za tindikali hutofautiana. Ila athari za jumla za tindikali katika misitu ni kuchelewa kukua kwa mimea, kupukutika majani na kufa kabisa kwa mimea. Marekani, hasa katika misitu yake ya upande wa mashariki imeathirika sana na madhara haya ya kukauka kwa mimea, hasa maeneo yaliyo karibu na milima ya Appalachian. Hali kadhalika nchi kama Kanada, Urusi na nyingine za Ulaya ya Mashariki zimeathirika sana kutokana na mvua hizi za tindikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Athari Katika Rangi za Majengo, Magari na Metali&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Rangi hutengenezwa kutokana na mchanganyiko wa kemikali mbali mbali. Hivyo basi, iwapo mvua za tindikali zitatua katika maeneo yaliyopakwa rangi huweza kubabua rangi hizi na kusababisha kitu kilichopakwa rangi kupoteza hadhi yake. Mfano, kama rangi ya gari itapukutika kutokana na tindikali hizi bila kupakwa tena, basi kutu itavamia na kuozesha gari husika. Hali kadhalika, metali za namna mbali mbali hupakwa ramgi ili kuchelewesha kutu, hivyo kama tindikali itaondoa rangi hizi basi kutu uweza kuathiri metali hizi. Mfano wa metali hizi ni katika madaraja, nguzo za chuma, sanamu za vyuma na mihimili mbalimbali. Athari hizi huenda kwa namna hii hii katika majengo mbalimbali yaliyopakwa rangi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Athari za Uoni (visibility) kwa Mwandamu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Hapo juu nilidokeza kuwa gesi za oksaidi za salfa na naitrojeni husababisha madhara katika uwezo wa kutazama wa mwanadamu. Kunapokuwa na msongamano wa hewa hizi katika anga, mwanadamu hawezi kutazama mbali kwa sababu hewa hizi hufanya ukungu ambao huzuia kuona mbali. Athari za namna hii ni maarufu sana nchini China, hasa katika maeneo ambayo hutumia makaa ya mawe kuzalisha nishati kama vile katika jiji la Shanghai katika Jamhuri ya watu wa China.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Madhara mengine&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Madhara mengine kwa mwanadamu ni kuwa, iwapo atavuta hewa hizi zinazosababisha mvua za tindikali katika mfumo wake wa hewa, basi huweza kuathiri uwezo wa mapafu kufanya kazi, hivyo huweza kuata magonjwa kama pumu na kansa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UPIMAJI WA MVUA ZA TINDIKALI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Utambuzi wa mvua za tindikali hupimwa kwa kutumia skeli ya ‘pH’. Kipimo hiki pia hutumika kupima kiwango cha alkali ama besi katika ardhi na maji. Maji yaliyotakaswa (purified water) kwa kawaida huwa na kiwango cha 7.0 katika kipimo tajwa. Jinsi kipimo hiki kinavyofanya kazi ni kwamba, kuanzia katika kiwango cha 7 kushuka chini huashiria ongezeko la tindikali na kuanzia 7.5 hadi 14 huashiria ongezeko la alkali ama besi. Kwa hiyo kiwango cha 7 katika pH huchukuliwa kama ndio alama ya katikati kati ya alkali na tindikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;NAMNA YA KUPUNGUZA MVUA ZA TINDIKALI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa maneno rahisi mtu anaweza kufikiri kuwa namna rahisi ya kupunguza msongamano wa gesi zinazosababisha mvua za tindikali ni kupunguza moshi kutoka viwandani moja kwa moja. Hili si jambo rahisi sana namna hiyo kutokana na sababu mbalimbali. Nilieleza kuwa mojawapo wa vyanzo vya gesi hizo ni pamoja na nguvu za asili kama vile volkano na kuoza kwa mimea. Hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kuzuia volkano, sana sana ikitokea huwa tupewa maonyo ya kuiepuka kwa kukimbilia mahali salama. Hivyo basi, matukio kama haya yataendelea kusababisha mvua za tindikali. Hali kadhalika si rahisi sana kuzuia mimea isioze na kusababisha gesi hizi. Kuoza kwa mimea husaidia kuleta rutuba katika ardhi, kwa hiyo hili nalo hatuna mamlaka nalo sana. La muhimu hapa ni kupunguza matumizi ya makaa ya mawe, kwa kutumia vyanzo vingine safi vya nishati kama umeme wa jua na umeme wa nguvu ya maji. Suala hili lmekuwa gumu kutekelezeka kutokana na mgongano wa sera katika nchi mbali mbali. Lakini hata hivyo kuna matumaini katika kufanikiwa, kwa sababu sasa dunia imeamka na kuanza kuhangaikia kupunguza hewa zenye sumu katika anga. Mojawapo ya hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kutengeneza magari na mitambo mingine inayotumia mafuta yaliyochanganywa na mafuta ya mimea, (biodiesel).&lt;br /&gt;Hali kadhalika, kumeanzishwa sheria kuwa, anayechafua zaidi anga kwa moshi wenye sumu na alipe zaidi kadri ya anavyochafua. Angalau sheria hizi zinafanya wachafuzi washituke kidogo na kuona kuwa wanahusika na uchafuzi huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaweza kusoma zaidi kuhusu mvua za tindikali &lt;a href="http://pubs.usgs.gov/gip/acidrain/2.html"&gt;hapa&lt;/a&gt;, &lt;a href="http://www.lehigh.edu/~kaf3/books/reporting/acid.html"&gt;hapa&lt;/a&gt; ama &lt;a href="http://www.geocities.com/narilily/acidrain.html"&gt;hapa&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-2223347382682523871?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/2223347382682523871/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=2223347382682523871&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2223347382682523871'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/2223347382682523871'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/04/fahamu-mvua-za-tindikali.html' title='FAHAMU MVUA ZA TINDIKALI'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-6426894972428090097</id><published>2007-03-15T18:40:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:08:28.965+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>UNAIFAHAMU NADHARIA YA r &amp; k?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Dhana hii ya&lt;em&gt; r&lt;/em&gt; na&lt;em&gt; k&lt;/em&gt; inaelezea mifumo mbali mbali ya maisha ya viumbe hai ambapo mifumo hii hufanya uwepo ama upotevu wa viumbe hivyo. Wataalamu wa mwanzo kuja na nadharia hii katika ikolojia ni mabwana Robert McArthur na Wilson mnamo mwaka 1967. Wao walifanya uchunguzi na kugundua kuwa katika maisha ya viumbe hai (kwa upande wao walifanya utafiti kwa mimea) kuna mfumo fulani wa urithi wa maisha ambao hutofautiana kati ya vinasaba vya mimea fulani na mingine. Kwa ufafanuzi zaidi ni kwamba, mimea kama magugu na miti hutofautiana katika mfumo wa maisha yake. Kwamba, magugu na nyasi hutumia sehemu kubwa ya chakula chao kuzalisha viumbe wengi zaidi wa jamii yao, ambao hata hivyo hawadumu kwa muda mrefu, wakati mimea mikubwa kama miti hutumia sehemu kubwa ya chakula chao katika ulinzi na kuongeza umri wa mimea ya jamii hiyo, hivyo kufanya mimea hii kudumu kwa muda mrefu. Hali kadhalika, kwa jamii za nyasi na magugu, pamoja na mimea mingine ya jamii hizo, huzaliana mara moja tu katika kipindi cha uhai wao, tofauti na mimea jamii ya miti ambayo hutoa mbegu karibu kila mwaka.&lt;br /&gt;Kwa hiyo basi, kwa mujibu wa wasomi hawa, mimea ambayo inazaliana kwa wingi zaidi na haidumu sana inakuwa katika kundi la R, na ile inayozaliana kidogo kidogo na kudumu zaidi huwa katika kundi la K.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SIFA ZA VIUMBEHAI KATIKA KUNDI LA 'R'&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Viumbe katika kundi hili huwa katika mazingira ambayo si stahimilivu na uwepo wake na kudumu kwake hutegemea uwingi wake. Nishati (inayotokana na chakula) inayotumika katika maisha ya kila kiumbe ni kidogo sana. Vizalia wengi zaidi huzaliwa katika kundi hili. Hukomaa kwa muda mfupi zaidi na huwa na maisha mafupi kwa ujumla. Jamii za mimea za kundi hili huzalisha viumbe mara moja tu kwa kila kiumbe na baadaya hapo hufa. Viumbe wa kundi hili la 'R' si stahimilivu wa athari za kimazingira kama vile mafuriko, moto, ukame na mashambulio ya wadudu waharibifu kama vile kuvu, nzige na viwavi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SIFA ZA VIUMBEHAI KATIKA KUNDI NA 'K'&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Viumbe katika kundi hili huwa katika mazingira stahimilivu na huweza kuvumilia athari kama vile ukame (kwa kupukutisha majani), huweza kuvuilia moto (kwa kuwa na magamba magumu), huweza kuvumilia mafuriko (kwa mimea kuwa mirefu zaidi), na inaweza kuwa na sumu ili kuzuia kuliwa na wanyama. Jamii za viumbe wa kundi hili wana maumbo makubwa, kama vile miti. Nishati inayotumika katika kuufanya mmea huu uwepo kwa muda mrefu ni kubwa sana na huzalisha viumbe wachache ambao hudumu kwa muda mrefu. Viumbe wa kundi hili pia huchukua kuda mrefu sana kukomaa na kuanza kuzaliana, na huzaa kwa zaidi ya mara moja. Ukichukulia mfano wa miti, huchukua miaka mingi hadi kuanza kuzalisha mbegu, na ikishaanza kuzaa basi huishi muda mrefu, kama haujakutwa na majanga ama kukatwa. Ni mara nyingi viumbe wa kundi hili huishi maisha marefu sana, kwa mfano kuna baadhi ya miti kama mibuyu na mininga ambayo huweza kuishi kwa zaidi ya karne tatu.&lt;br /&gt;Lakini pamoja na kuwa na tabia zisizofanana, kuna wakati sifa za kundi moja huweza kukutwa katika kundi jingine pia. Kwa mfano, mimea jamii ya miti huishi kwa muda mrefu sana ukilinganisha na nyasi, na hivyo kuifanya iwe katika kundi K, lakini ni miti hiyo hiyo ambayo baadhi yake huzalisha mbegu nyingi sana na kuzisambaza mahali mbali mbali kwa ajili ya kuendeleza kizazi. Sifa hii ni ya kundi la R.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ULINGANIFU NA USHIRIKIANO WA KIMAZINGIRA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwa mimea tajwa hapo juu ipo katika makundi tofauti, huwa inafanya kazi moja ya kufanya uwepo wa mazingira bora kwa kila kundi. Kwa mfano, inapotokea janga kama volkano, huwa mimea na wanyama huathirika sana, kutegemeana na ukubwa wa tukio. Mara nyingi inapotokea maisha kuanza tena baada ya janga, mimea ya kundi R ndio huwa ya kwanza kuanza maisha, kwa kuzaliana upesi na kusambaa kwa haraka, na hivyo kutengeneza nafasi kwa ajili ya jamii nyingine za mimea katika kundi la K. Mfumo huu kwa kiingereza huitwa &lt;em&gt;'Ecological&lt;/em&gt; &lt;em&gt;Succession'&lt;/em&gt; na ni mfumo unaopatikana mahali pengi sana duniani, kutokana na uharibifu ambao umetokea katika maeneo mbali mbali. Mimea inayozaliwa baada ya ile ya kwanza kuondolewa huitwa uzao wa pili, ama kwa kiingereza &lt;em&gt;'Secondary regrowth'&lt;/em&gt;.&lt;br /&gt;Kwa hiyo basi, tunapoongelea suala zima la mazingira, ni lazima tuwe tunaangalia muingiliano kati ya kiumbe na kiumbe, kwa sababu mara nyingi huwa na uhusiano wa karibu. Kwa maana hiyo unapokata mti ambao kukua kwake hadi kukomaa huchukua si chini ya miaka 30, kama ilivyo kwa miti ya asili, ujue pia kuwa unaathiri na uwepo wa viumbe wengine ambao kwa namna moja hutegemea mti huo ama kwa kivuli, ama kwa kutunza maji au kwa namna nyingine yoyote ile. Fikiri kabla hujatenda!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-6426894972428090097?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/6426894972428090097/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=6426894972428090097&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/6426894972428090097'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/6426894972428090097'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/03/unaifahamu-nadharia-ya-r-k.html' title='UNAIFAHAMU NADHARIA YA r &amp; k?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-9200923851330466585</id><published>2007-03-09T03:54:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:06:39.436+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Blogu'/><title type='text'>TOVUTI INAFANYIWA MABADILIKO!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;KUHUSU MUONEKANO WA TOVUTI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ndugu msomaji wa makala zangu, kutokana na mahitaji ya wakati na kukua kwa teknohama, nimebadili muonekano wa tovuti hii, kwa hiyo kama unaivyoiona iko tofauti kimuonekano na ile ya mwanzo. Makala zake bado ni zile zile na nafikiri sasa nimepata uwanja mpana zaidi wa kuandika, tofauti na ile ya mwanzo ambayo ilikuwa na nafasi finyu sana, hata kuweka picha ilikuwa ni mizengwe. Muonekano wa tovuti hii umefanyiwa kazi na mimi mwenyewe, na bado kazi hiyo inaendelea, kwani ukiangalia viunganishi upande wa kulia wa tovuti bado havijapewa majina ya tovuti wakilishi. Kwa hiyo ndugu msomaji kama kutakuwa kuna mahali panaleta usumbufu ama viunganishi havikupeleki mahali unapotarajia, naomba weka maoni yako mwishoni mwa makala hii, na pia kama utataka maelezo zaidi kuhusu tovuti hii basi unaweza kuwasiliana nami kwa anuani pepe &lt;a href="mailto:mwalyoyo@yahoo.com"&gt;hii hapa.&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-9200923851330466585?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/9200923851330466585/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=9200923851330466585&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/9200923851330466585'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/9200923851330466585'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/04/tovuti-inafanyiwa-mabadaliko-makubwa.html' title='TOVUTI INAFANYIWA MABADILIKO!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-1148827348944082098</id><published>2007-02-05T23:16:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:08:05.210+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>TUTAENDELEA NA UBISHI HUU HADI LINI?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika kukabiliana na ukweli, wanasayansi wa mazingira pamoja na watafiti wengine wameungana na sehemu nyingine ya jamii katika kuthibitisha kuwa mabadiliko yasiyo ya kawaida ya hali ya hewa ikiwemo ongezeko la joto duniani husababishwa kwa asilimia tisini na kazi za binadamu katika kujitafutia riziki. Asilimia kumi inayobaki inatokana na mabadiliko ya kawaida ya mwenendo wa dunia kama vile matetemeko ya ardhi na volkano. Ripoti ya tafiti za wanasayansi hawa kutoka maeneo mbali mbali hapa duniani imetolewa mwezi huu wa pili 2007. Ni kwa mara ya kwanza katika historia ya utawala wake, mwaka huu ambapo rais wa Marekani alitaja suala la uchafuzi wa hali ya hewa, napo alitamka kwa sekunde chache sana suala hilo hata bila kugusia undani wa tatizo lenyewe na wala hakufafanua atakavyofanya kukabili kadhia hiyo.&lt;br /&gt;&lt;span class="fullpost"&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HALI HALISI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kitakwimu nchi zilizoendelea ndio zinaongoza kwa kuchafua hali ya hewa, kutokana na moshi toka viwandani, zikiongozwa na Marekani. Kwa mujibu wa kitengo cha nishati cha serikali ya Marekani, takwimu zinaonyesha kuwa, hadi mwaka 1999, Amerika ya kaskazini (Marekani na Kanada) ndio walikuwa vinara wa kuchafua anga kwa hewa ya kaboni, kwa kiwango cha meta za ujazo milioni 1,720.4! Waliofuatia kwa uchafuzi ni nchi za Ulaya Magharibi, kwa kiwango cha meta za ujazo milioni 988.9. Viwango vya uchafuzi kwa maeneo mengine katika mabano ni Ulaya Mashariki (851.8), China (821.8), Asia (ukiondoa China na Japan, 700.8), Japan (296.7), Amerika Kusini (234.7), Mashariki ya kati (252.1) na Afrika (213.8). Takwimu hizi ni hadi mwaka 1999, na kwa sasa inaonyesha kwamba Marekani ndio inaongoza kwa uchafuzi ikifuatiwa na China. Pamoja na ukweli huu, inasikitisha kuona kuwa Wachina na Wamarekani ni kati ya watu wa mwisho kujadili athari za ongezeko la joto duniani, kwa sababu kuu kwamba iwapo watatakiwa kupunguza hewa chafu angani, basi viwanda vyao vingi vitadhoofika na hatimaye uchumi wao utayumba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KILIO CHA DUNIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na mabadiliko haya ya hali ya hewa, kumekuwa na makongamano na mikutano kadhaa ya kimataifa katika kutafuta suluhu ya kudumu ya uchafuzi wa anga, kama nilivyowahi kuongelea katika makala zilizopita. Mojawapo ya mikutano hiyo ni ule uliofanyika katika mji wa Davos nchini Uswisi mwezi huu Februari. Mataifa makubwa yalikuwa yanajadili kuhusu biashara na suala la uchafuzi wa hali ya hewa likaibuka hapo. Katika mkutano huo pia, dunia ilimshangaa mkuu wa kampuni ya Nestle inayotengeneza vyakula, Bw Peter Brabeck-Letmathe aliposema kuwa suala la ongezeko la joto halina uzito wowote kwa sasa! Pia wakamshangaa mpinzani wa Bush kisiasa, Bw Al gore katika filamu yake ambapo anapinga suala la ongezeko la joto. Al Gore yeye anasema kuwa pesa zinazotumika sasa katika kukabiliana na ongezeko la joto duniani kupitia makubaliano ya Kyoto (ambapo Marekani haijatia saini) zingetumika katika kuboresha mindombinu ya maji pahala mbali mbali! huyu alikuwa mgombea uraisi ambaye alishindwa na Bush mnamo mwaka 2000.&lt;br /&gt;Sina uhakika kama hawa watu walimaanisha kile ambacho waliongea ama walikuwa wanatania, lakini kwa sababu ni wafanyabishara nadhani walimaanisha kuwa hawana mpango kabisa wa kukabili tatizo hili la ongezeko la joto. Sasa mimi ninauliza, ubishi huu tutaendelea nao hadi lini?&lt;br /&gt;Unaweza kusoma habari zaidi a mkutano huo &lt;a href="http://www.downtheavenue.com/2007/02/davos_on_global.html"&gt;hapa&lt;/a&gt;, &lt;a href="http://www.seedmagazine.com/news/2007/01/global_warming_bubbles_to_the.php"&gt;hapa&lt;/a&gt; na &lt;a href="http://money.cnn.com/blogs/davos/2007/01/climate-change-will-dominate-davos.html"&gt;hapa&lt;/a&gt;. &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-1148827348944082098?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/1148827348944082098/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=1148827348944082098&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1148827348944082098'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/1148827348944082098'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/02/tutaendelea-na-ubishi-huu-hadi-lini.html' title='TUTAENDELEA NA UBISHI HUU HADI LINI?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-3289363174950037690</id><published>2007-02-03T23:26:00.000+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:14.754+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Maisha Mbadala'/><title type='text'>GARI LA MIONZI YA JUA HILI HAPA!</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RcT3nSMsQbI/AAAAAAAAAAY/mTY4IHrmKmE/s1600-h/CIMG0027.JPG"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5027415338324345266" style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RcT3nSMsQbI/AAAAAAAAAAY/mTY4IHrmKmE/s320/CIMG0027.JPG" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Kumekuwa na usemi kwamba *Tembea uone*. Usemi huu una maana kubwa, kwamba ukiwa mtembezi basi utaona mengi. Pia kuna usemi unaoambatana na huo, kwamba Mtembea bure si mkaa bure, huenda akaokota! Basi katika pita pita yangu hapa na pale, &lt;nikaokota&gt;kwa maana ya kwamba nilikutana na habari njema kwa watu wanaojali matumizi endelevu ya nishati na upunguzaji wa hewa chafu duniani. Nilikuta gari moja zuri katika makumbusho, ambalo kwa mujibu wa watu niliowakuta hapo wanasema kuwa lilikuwa linaendeshwa kwa kutumia umeme wa mionzi ya jua. Sababu za kwa nini kwa sasa halitembei ni kwamba hali ya hewa si nzuri sana kuweza kuchaji betri za umeme wa mionzi ya jua kwa mahali hapo, huwa mionzi ya jua si ya kutosha kuchaji betri hadi kuwa na ujazo unaotakiwa.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;GARI LENYEWE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Katika boneti la mbele kwa juu kuna moduli kadhaa za kufyonza mionzi ya jua na kuihifadhi katika betri zake sita ambazo huwa zinafunikwa na boneti (sehemu ambayo huwa na radieta, kwa magari yanayotumia mafuta). Betri hizi zimeunganishwa pamoja na kutengeneza umeme mkubwa. Umeme huu hutumika kuendesha mota ambazo ndio husababisha nishati ya mwendo ili gari hili liweze kwenda. Kwa upande wa nyuma, katika buti pia kuna moduli kadhaa ambazo hufanya kazi kama zile za mbele. Gari hili huweza kuendeshwa muda wa masaa sita bila betri kupungua nguvu, kwa wastani wa mwendo wa kilometa arobaini mpaka sitini kwa saa, kwa mujibu wa maelezo ya wataalamu wa makumbusho hayo.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Binafsi nilifurahi sana kuweza kuona gari la ukubwa ule linaloendeshwa kwa kutumia mionzi ya jua, kwa sababu teknolojia hii ya kutumia mionzi ya jua kwa kuendesha mitambo si maarufu sana hapa duniani. Pia kuna magari madogo madogo mengi katika nchi zilizoendelea ambayo huendeshwa kwa kutumia betri za magari na mota, ambapo hayatumii mafuta, mara nyingi magari haya hutumiwa na walemavu wa miguu.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5027416034109047234" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RcT4PyMsQcI/AAAAAAAAAAg/fQZaApwpx8M/s320/CIMG0028.JPG" border="0" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;Katika ulimwengu huu kwa sasa ambapo tunajadili ongezeko la joto duniani, ni bora tukafikiri kutumia magari ya namna hii kwa safari ambazo ni fupi fupi, ili kupunguza kiwango cha hewa chafu ambayo husababishwa na uchomaji wa mafuta katika mitambo mbali mbali.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Tufikirie dunia mbadala.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-3289363174950037690?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/3289363174950037690/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=3289363174950037690&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3289363174950037690'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3289363174950037690'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/02/gari-la-mionzi-ya-jua-hili-hapa.html' title='GARI LA MIONZI YA JUA HILI HAPA!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RcT3nSMsQbI/AAAAAAAAAAY/mTY4IHrmKmE/s72-c/CIMG0027.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-3347092163670353071</id><published>2007-01-26T12:42:00.000+03:00</published><updated>2007-09-26T13:14:06.876+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>YA KALE NI DHAHABU: MGONGANO WA NADHARIA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na msemo kuwa 'Ya kale ni dhahabu', kwa maana ya kwamba mambo ya kale yana thamani na si mambo yote yanaweza kupitwa na wakati. Katika karne hii ya sayansi na teknolojia kumekuwa na mabadiliko sana katika maisha ya mwanadamu, kadri miaka inavyosonga. Teknolojia imetawala kila kitu, kiasi kwamba mambo mengi ya kale yanasahaulika. Maendeleo ya tekonojia yamesababisha uharibifu mkubwa wa mazingira, kwa sababu nyenzo nyingi tunazotumia kuyakabili mazingira yetu si rafiki wa mazingira. Katika tasnia hii ya sayansi ya mazingira kumekuwa na nadharia kadhaa ambazo zimekuwa zikielezea masuala mbali mbali. Katika mada hii, nitachambua mbinu za kienyeji za utunzaji a mazingira dhidi ya zile za kisasa, kwa kuangalia faida na hasara zake pamoja na namna ambavyo zinaweza kuunganishwa na kufanya kazi pamoja. Mbinu hizi zimejadiliwa na wataalamu anuwai, ingawa hakuna muafaka mpaka sasa, kwamba ni mbinu gani itumike.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MJADALA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MBINU ASILI ZA USTAWISHAJI MAZINGIRA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Miaka nenda rudi, watu mbali mbali wamekuwa wakitumia rasilimali katika mazingira yao kwa namna bora ambayo haimalizi rasilimali hizo ndani ya muda mfupi. Walitumia mbinu mbali mbali za asili kuhakikisha kuwa suala hili linafanikiwa, kama nitakavyoeleza hapa chini. Ni muda mchache sana uliopita ndipo wanasayansi wa kimagharibi wamegundua kuwa mbinu za kikale za utunzaji wa rasilimali zilikuwa na zimekuwa ni bora sana, kiasi kwamba kwa sasa wanafanya kila juhudi kuweza kiziweka katika mfumo wa kisayansi zaidi ama kuziunganisha na zile za kisasa. Mbinu hizi za kale ama za asili za utunzaji wa rasilimali hujulikana kwa Kiingereza kama “Traditional Environmental Knowledge Systems” ama TEKS kwa ufupi na zile za kisasa hujulikana kama “Modern Environmental Management Systems” ama kwa ufupi MEMS. Kwa sasa, kumekuwa na wataalamu mbali mbali ambao wanafanya utafiti katika maeneo ya asili kama vile vile barani Afrika, Amerika ya Kusini na Asia, kuona ni kwa namna gani wenyeji wa maeneo hayo wamekuwa wakitumia mbinu za kale katika kutunza rasilimali zao bila uharibifu mkubwa. Mimi binafsi nasema kwamba, watalaam wenzangu hawa wamefanya jambo zuri sana kuzitupia jicho mbinu hizi, ingawa wamechelewa sana. Nasema hivi kwa sababu tangu kuingia kwa ukoloni barani Afrika, Asia na Amerika Kusini karne ya kumi na tisa, mifumo mbali mbali ya jadi ilidharauliwa sana, na badala yake tukapandikiziwa mifumo tata na kandamizi ya kimagharibi ambayo aghalabu wazee wetu walikuwa hawaielewi sawasawa. Wazee wetu hawa ambao waliishi karne tajwa walikuwa na elimu ya mazingira wanayotoka, walijua kwa ukamilifu namna ya kuyakabili ingawa walikuwa na teknolojia duni kwa wakati huo. Kwa kiasi fulani, teknolojia hizi duni ndizo zilizosababisha wao wadumu na rasilimali hizi kwa muda wote huo, kwa sababu walikuwa hawawezi kuzimaliza kwa muda mfupi, kama ilivyo kwa misitu yetu sasa. Walijua aina za wanyama na mimea mbali mbali na uwingi wake, kasi yake ya kuzaliana na namna ya kuvitunza kwa vizazi vinavyofuata. Kwa hiyo basi, utafiti unaofanywa sasa na wataalamu mbali mbali duniani una lengo la kujua kwa undani hasa kwamba ni kwa namna gani hawa wazee wetu walifanikiwa kutunza rasilimali zao kwa wakati huo bila matatizo.&lt;br /&gt;Miongoni mwa watafiti wenyeji wa maeneo asilia ambayo watafiti wanafanya utafiti wao wanataka kushirikishwa kikamilifu kuhusu mijadala mbali mbali, kwa sababu wao ndio wanaoyafahamu sana maeneo yao, hivyo uhusika wao una maana kubwa sana katika utafiti huo. Utafiti shirikishi ndio mbinu ndio suluhisho halisi la mafanikio ya utafiti huu, kwa maana ya kwamba ushirikishwaji wa wenyeji utasaidia sana kupatikana kwa mafanikio katika utafiti huu. Watu wengine nje ya jamii hio pia wanaweza kushiriki katika utafiti, ila msaada wao ni wa kiufundi zaidi kama vile kuchangia ushauri, utawala ama vifaa. Ikumbukwe kuwa lengo la utafiti wa mbinu hizi ni kuunganisha sayansi ya sasa na ile ya asili katika kulinda rasilimali za dunia hii kwa vizazi vijavyo.&lt;br /&gt;Wenyeji asilia wa maeneo mbali mbali wana ujuzi wa jamii mbali mbali za wanyama na mimea katika eneo lao, hivyo wanajua kuwa ni mimea ipi inaliwa ama hailiwi na kwa sababu zipi, mimea ipi inatoa dawa za kumponya mwanadamu, mimea ipi ni sumu na ni sumu kali kiasi gani, mimea ipi inatoa mbao nzuri zaidi na kadhalika na pia kwa upande wa wanyama wanajua kuwa ni wanyama gani wa napaswa kuwindwa na wapi hawapaswi ama ni samaki wa aina ipi wanaliwa na wapi hawaliwi na kwa sababu zipi. Maarifa haya ndio hasa yaliyosababisha jamii hizi za wanyama na mimea vikawepo mpaka sasa, ingawa maendeleo ya sayansi na teknolojia yanasababisha upotevu wa rasilimali hizi.&lt;br /&gt;Msisitizo wa MEMS umekuwa wa kihisabati zaidi katika utafiti huu, wakati ule wa wenyeji umekuwa wa kidhahania. Sasa basi wanasayansi wa kisasa wanatumia mbinu hiyo ili kujenga nadharia mbali mbali kwa ajili ya kuthaminisha rasilimali hizi na mabadiliko yake kadri muda unavyozidi kusonga mbele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MIGONGANO YA NADHARIA HIZI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kama nilivyodondoa hapo juu, nadharia za kisayansi zinatilia mkazo sana katika uthaminishaji wa rasilimali hizi ili kujenga nadharia za kisayansi (modelling) kwa ajili ya kufuatilia kwa ukaribu maendeleo ya rasilimali hizo. Kwa upande mfumo wa asili, wao wanatumia zaidi uelewa wao wa rasilimali hizo na si mbinu za kihisabati. Wao hugundua mabadiliko katika mfumo wa rasilimali kwa kulinganisha uwepo wake dhidi ya nyakati, kwa hiyo mbinu hii si ya kisayansi zaidi, ila huangalia uhalisia wa rasilimali husika. Tofauti ya pili ya mbinu hizi ni kwamba, mbinu za kiasili hutumia maadili na ujadi kwa kushirikisha miungu wa jadi katika kulinda rasilimali hizi, kwa maana kwamba miungu ndio huamua matumizi ya rasilimali hizi na ili kuweza kuzivuna basi lazima kuomba ruhusa kwa miungu hao ama kwa wawakilishi wao ambao ni wazee wa jadi. Mfano wa mbinu hii hutumika kutunza eneo la msitu wa Nyumbanitu wilayani Njombe mkoani Iringa na Ziwa Ngozi wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Mbinu hizi ama zinazofanana na hizi zimekuwa zikitumika katika maeneo mbali mbali hasa barani Asia na Afrika kwa karne kadhaa. Waumini wa nadharia hii huamini kuwa dunia ni kitu kinachoishi na viumbe wote wana uhusiano wa ukaribu na miungu wao, sasa basi kufanya uharibifu ama kufuja rasilimali hizo ni kwenda kinyume na maadili. Dhana hii inapingana na nadharia za sayansi ya magharibi katika ufafanuzi wa matumizi ya rasilimali. Waumini wa sayansi ya kimagharibi wao hutumia mfumo wa kihisabati wa uainishaji wa mimea na wanyama katika makundi mbali mbali ili kuweza kupata uelewa kwa undani zaidi na baadaye kutengeneza nadharia mbali mbali ili kuweza kujua maendeleo ya rasilimali hizo dhidi ya nyakati. Mfumo huu wa uainishaji ulianzishwa ulianzishwa na bwana Carl Linnaeus, mwanasayansi wa Sweden aliyeishi kati ya mwaka 1707- 1778. Nitamuongelea mtu huyu katika makala zijazo. Mgongano mwingine unatokana na tafsiri zisizo sahihi za lugha za asili kwenda katika lugha za kigeni, ambazo aghalabu ndio hutumika katika kuandika vitabu na machapisho mengine. Suala hili nalo lina athari sana, kwa kuwa wenyeji mara nyingi hawapati nafasi ya kuhariri kile ambacho kimeandikwa katika machapisho kutoka kwao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UKALE DHIDI YA USASA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Karne zilizopita, ongezeko la watu halikuwa kubwa sana, hii ilitokana na sababu kadhaa. Kwanza, kulikuwa na magojnwa mengi ambayo yalikuwa yanaua sana watu na dawa zilikuwa haba ama hazikuwepo kabisa. Kwa hiyo basi ushindani katika rasilimali kaukuwa mkubwa kama sasa. Kutokana na kugundulika kwa dawa mbalimbali za kumtibu mwanadamu, ongezeko la watu limekuwa kubwa, hivyo ushindani katika matumizi ra rasilimali umekuwa mkubwa sana, kiasi kwamba mwanadamu amejikuta anavamia hifadhi za asili na maeneo mengine nyeti kwa kujitafutia chakula, dawa na makazi. Kuna mwanasayansi anaitwa Thomas Robert Malthus aliwahi kuiongelea nadharia hii, akihusisha ongezeko kubwa la watu lisiloendana na uzalishaji wa chakula, nitalitafutia suala hili makala ya pekee na kulifafanua. Pili matendo ya mwanadamu yamesababisha uharibifu wa mazingira, hasa ongezeko la joto na kupotea kwa baadhi ya mimea na wanyama. Sababu hizi na nyingine kadhaa ndizo zinawasukuma wanasayansi kwenda katika maeneo ya asili yasiyofikiwa kirahisi na teknolojia katika nchi zinazoendelea na kuongea na wenyeji. Lengo lao ni kujua kuwa, ni kwa namna gani maeneo hayo yamebaki hayajabughudhiwa pamoja na kukua kwa teknolojia? Madaktari hali kadhalika wanakutana na wataalamu wa asili katika kutafuta tiba za magonjwa mbali mbali, kwa kutumia mimea inayopatikana katika maeneo haya ambayo hayajaathirika na kazi za mikono ya wanadamu. Maeneo haya yamepewa uuhimu maalum, na yanalindwa na shirika la Umoja wa mataifa la elimu, utamaduni na sayansi (UNESCO). Kwa hiyo basi, elimu ya kale kuhusu mazingira si ya kudharauliwa hata kidogo, kiasi kwamba saa wataalamu wa utunzaji wa mazingira hawawezi kufanya kazi yao kwa mbinu za kisasa bila kushirikisha wenyeji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UMUHIMU WA KUUNGANISHA MBINU HIZI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kinachopiganiwa na wanasayansi wa kisasa ni kuunganisha mbinu za kikala na hizi za kisasa katika kutunza mazingira. Shida moja ni kwamba elimu hii ya asili haijaandikwa sana katika vitabu, inarithishwa tu toka kizazi kimoja hadi kingine na ndio udhaifu huu ambao wanasayansi wa kisasa wanatumia kuikandamiza elimu hii, wakidai kwamba wazee hawa wakifa basi wale wanaosalia wanapindisha ukweli. Pia, elimu ya kikale ya utunzaji wa mazingira haitumii kanuni na nadharia za kihisabati (mathematical proof and modelling) katika kutetea matunzo ya rasilimali hizi, hivyo wanakuwa hawana ushahidi wa kimaandishi kuthibitisha kile ambacho wanakitetea. Udhaifu huu nao pia umechangia sana sayansi hii mpya kudharau mbinu hizi za kale. Pamoja na udhaifu huu wa mbinu za kikale, wanasayansi wa kisasa wamegundua kuwa iwapo mbinu hizi za kikale zitarejewa na kuandikwa, basi kuna uwezekano mkubwa kuwa zikawa na manufaa kutunza rasilimali zetu, hasa ikizingatiwa kuwa maendeleo ya teknolojia ndio yanayosababisha kupotea kwa rasilimali tulizo nazo, pamoja na kubadili mifumo yake, kama vile kubadili mfumo wa kijenetiki wa rasilimali hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UUNGANISHAJI WA MBINU HIZI UKOJE?&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kwanza, katika mfumo wa uainishaji wa rasilimali hizi ambazo kwa kiasi kikubwa ni mimea na wanyama kwa kutumia majina mawili yaani “Genus and species” (nimeshindwa kupata tafsiri ya Kiswahili ya maneno hayo), wanatumia majina ya asili na wakati mwingine majina ya maeneo ambapo rasilimali hizo zinapatikana. Mfano, kuna mimea yenye majina “Uluguruensis, ocotea usambarensis, Phrynobatrachus rungwensis, pterocarpus angolensis, garcinia kingaensis,cisticola njombe na kadhalika, huonyesha maeneo ya asili ambapo rasilimali hizi zinapatikana. Pia ni njia mwafaka ya kuheshimu na kuyathamini maeneo husika na kuyaenzi kwa utunzaji huu. Mbinu ya pili ni kukusanya taarifa nyingi kadri itakavyowezekana na kujaribu kuziunganisha na tafiti za kisayansi na nadharia zake pamoja na kufanya uwiano na ufananisho. Taarifa hizi zinaweza kuwa hadithi, hifadhi za vitu yva kale, masalia ama madhara ya eneo fulani dhidi ya kazi za mwanadamu na kadhalika, huwa zinasaidia sana katika utafiti, hasa kunapokuwa na utata. Tatu, serikali mbali mbali zimetunga sheria ambazo zinaendana na mazingira halisi ya eneo husika, wakifuatisha zile za asili. Hili nalo linasaidia kuunganisha mbinu hizi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-3347092163670353071?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/3347092163670353071/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=3347092163670353071&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3347092163670353071'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/3347092163670353071'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/01/ya-kale-ni-dhahabu-mgongano-wa-nadharia.html' title='YA KALE NI DHAHABU: MGONGANO WA NADHARIA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-116794770260286517</id><published>2007-01-05T00:43:00.000+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:15.019+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Maisha Mbadala'/><title type='text'>MAISHA MBADALA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;U hali gani msomaji wa blogu yangu. Kwa leo nakuletea mambo mawili muhimu, hasa kuhusu suala zima la mazingira. Katika mapumziko ya Krismasi na mwaka mpya, nilifanikiwa kuzulu jiji la Copenhagen wao wanaita Kobenhavn, nchini Denmark, na kwa kweli nilifurahi sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MADA&lt;br /&gt;MIFUO YA UMEME WA NGUVU YA UPEPO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika ufukwe wa bahari kwanza kabisa nilipokewa na msururu wa mifuo ya umeme inayoendeshwa kwa nguvu ya upepo, kwa kweli inaonyesha ni kwa jinsi gani hawa wenzetu wanajali suala la kupunguza ongezeko la joto duniani. Mifuo hii ni mingi sana nchini humu, na kuna watu wanadai kuwa inawezekana kabisa kuwa nchi hii ndiyo inayoongoza kwa kuwa na mifuo mingi ya umeme huu wa nguvu ya upepo.&lt;br /&gt;Mitambo hii wao wameiweka katika ufukwe kwa sababu maalum, kwamba kandoni mwa bahari kuna upepo wenye nguvu sana kutokana na mawimbi ya bahari, kwa hiyo wakaona ni bora watumie nguvu hiyo katika kuzalisha umeme. Kwa upande wa kwetu sisi, bado tupo nyuma ya wakati kuhusu suala zima la kutumia nguvu ya upepo kuzalisha umeme. Tuna ufukwe mrefu sana katika bahari ya Hindi kuanzia Mtwara hadi Tanga, lakini bado hatujafanya matumizi sahihi ya ufukwe huu. Pia tuna maziwa makubwa matatu, nayo ni Tanganyika, Nyasa na Viktoria, ambapo pia ingewezekana kutumia fukwe zake kuzalisha umeme wa nguvu ya upepo, lakini hali si kama hivyo. Mpaka sasa bado sijajua kwa yakini sababu zinazotufanya tushindwe kutumia nguvu hii ya upepo kuzalisha umeme.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ADHA ZA MIFUO HII&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Pamoja na hatua hii nzuri ya kuweka mifuo ya umeme, kumezuka malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanamazingira. Malalamiko haya yanadai kuwa mifuo hii ya umeme huwa inaharibu mandhari asilia ya eneo husika, kwa maana ya kwamba iwapo mifuo hii itawekwa mahali basi sura ya mahali hapo inabadilika, kwa sababu mifuo hii ni mikubwa sana. Kuna mifuo mingine huwa na kimo cha hadi kufikia meta mia moja kwenda hewani na huchukua eneo kubwa sana, kwa hiyo wanamazingira hawa hawajapendezwa kwa kiasi fulani na suala hili. Sababu ya pili ni kwamba, katika maeneo haya na mengineyo ambayo yana mifuo hii huwa kunakuwa na viumbe hai wengine kama ndege ambao huishi katika maeneao hayo, kwa hiyo basi ndege ambao huruka karibu na maeneo haya hupata ajali kwa kugongana na pangaboi za mifuo hii inapozunguka, hasa kunapokuwa na ukungu ama giza wakati wa mchana. Na kama nilivyodokeza hapo juu, mifuo mingi ipo katika fukwe za bahari na kama tunavyojua kuwa katika bahari na pembezoni mwake kuna ndege wavuvi kama batamaji, heroe, furukombe wavuvi, bundi wavuvi na kadhalika, basi ndege hawa wavuvi ndio ninaoongelea katika makala hii, kuwa wanagongana na pangaboi za mifuo hii.&lt;br /&gt;Kwa hiyo pamoja na kwamba tunapata faida ya umeme kupitia mifuo hii, kuna hiyo tahadhari ambayo huwa tunapaswa kuizingatia, hasa tunapokuwa tunapanga mipango endelevu ya kuweka mifuo ya namna hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;BAISKELI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Suala lingine ambalo ningependa kuliongelea kwa leo ni uwingi wa baiskeli katika jiji la Copenhagen. Kuna baiskeli nyingi sana hapa mahali hadi zinakuwa kero kwa wakati fulani. Kwa upande mwingine, uwingi huu unamaanisha kuwa kiasi kikubwa cha watu huwa wanatumia baiskeli katika safari fupi fupi za mjini hapa. Niliwahi kuliongelea suala hili katika makala zangu zilizopita, kuwa njia moja wapo ya kupunguza msongamano wa vyombo vya moto katika majiji makubwa kama hili ni kutumia usafiri wa kupunguza baiskeli kwa safari ambazo hazilazimu kutumia gari. Suala hili la kutumia baiskeli pia linasaidia kupunguza hewa zenye sumu kutokana na moshi magari. Inawezekana basi ikawa ni mkakati wa serikali katika kupunguza msongamano wa vyombo vya usafiri, kwamba wakasisitiza kutumia baiskeli kwa kiwango kikubwa kama ilivyo mahali hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5019480806751114178" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RajHMwtKk8I/AAAAAAAAAAM/3RibrW-aI-8/s320/CIMG0031.JPG" border="0" /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TUFANYE NINI?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa kutumia mifano hii miwili inatakiwa tutoke na mtazamo mpya kuhusu suala zima la mazingira, kwa sababu kwa namna moja ama nyingine tusipojitahidi kuzuia ongezeko la joto duniani kuna hatari ya kupoteza asilimia kubwa ya viumbe wetu wa asili. Si suala geni kwa kusikia kwa walio wengi sababu kwa sasa tunasoma katika maandiko mbali mbali ya kumbukumbu za kihistoria kuwa hapo zamani kulikuwa na wanyama wanaitwa Dinosaurs na walitokomea kabisa katika uso wa dunia, kutokana na sababu anuwai, kwa hiyo na sisi kama hatutafanya juhudi za kuzuia hali hii basi kuna hatari kubwa sisi pamoja na viumbe wanaotuzunguka kutokomea kabisa katika uso huu wa dunia. Pamoja na kwamba kuna nguvu za asili kama matetemeko ya ardhi na volkano ambavyo huweza kubadili sura ya nchi na uoto wa asili, si vibaya kama nasi tutachukua hatua katika kudhibiti kile ambacho kipo ndani ya uwezo wetu kwa wakati huu. Mambo haya ni pamoja na kupunguza kiwango cha hewa chafu za viwandani, kupunguza kemikali katika maji ambayo huwa tunayamwaga katika bahari zetu, kupunguza kama si kuzuia kabisa utupaji ovyo wa masalia ya nishati nyuklia na la muhimi zaidi ni kupunguza matumizi ya madawa ya kilimo yenye sumu.&lt;br /&gt;Inawezekana kufanya mabadiliko, tutimize wajibu wetu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-116794770260286517?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/116794770260286517/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=116794770260286517&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116794770260286517'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116794770260286517'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2007/01/maisha-mbadala.html' title='MAISHA MBADALA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RajHMwtKk8I/AAAAAAAAAAM/3RibrW-aI-8/s72-c/CIMG0031.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-116610909766213796</id><published>2006-12-14T17:56:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:05:49.630+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>SUALA HILI LINATUFUNDISHA NINI?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/2124/3000/1600/246178/CIMG0043.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; WIDTH: 278px; CURSOR: hand; HEIGHT: 206px" height="217" alt="" src="http://photos1.blogger.com/x/blogger/2124/3000/320/682563/CIMG0043.jpg" width="302" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/2124/3000/1600/257776/CIMG0036.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; WIDTH: 270px; CURSOR: hand; HEIGHT: 191px" height="209" alt="" src="http://photos1.blogger.com/x/blogger/2124/3000/320/493765/CIMG0036.jpg" width="286" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Katika pitapita yangu katika nchi hizi za Ulaya ya Magharibi mara nyingi nimekuwa nikikutana na changamoto za namna mbalimbali pamoja na vioja kadhaa. Lakini suala kubwa sana ambalo limenishtua sana na kunikera kiasi fulani ni kukuta wanyama wa aina mbali mbali katika hifadhi maalum “zoo” jijini Copenhagen nchini Denmark ambao aghalabu hupatikana katika uwanda wa kitropiki pamoja na Ikweta. Matarajio yangu mimi yalikuwa ni kwenda pale katika hifadhi kuangalia wanyama ambao wanapatikana katika nchi za baridi kama dubu, “moose, seals, llama, walrus” na kadhalika ambao sikupata kuwaona wakati natembelea mbuga zetu kwa kuwa hawapatikani kwetu katika nchi za joto. Wanyama hawa ambao niliwakuta katika hifadhi ya jiji tajwa hapo juu ni kama vile swala wa aina mbali mbali, vifaru, twiga, nyumbu, kangaroo, simba, nyani, ngedere, sokwe na ndege wa aina mbalimbali kama vile korongo, heroe batamaji na kadhalika. Wanyama hao pichani, pamoja na wengine ambao sijachapisha picha zao hapo niliwakuta katika hifadhi tajwa. Sasa sijajua kama wanyama hawa wapo hapa kihalali ama wamebebwa kwa njia ambazo wao wenyewe wanazijua Kwa hiyo basi kwa miaka michache sana ijayo halitakuwa suala la ajabu sana kukuta sisi ambao tunatoka katika uwanda wa kitropiki tunakwendaUlaya na kutazama wanyama ambao kwa asili walikuwa kwetu, ila kutokana na sababu ambazo mimi binafsi sijazifahamu wamehamia katika nchi za baridi. Kusema kweli hiki ni kioja ingawa najua kuna baadhi ya watu hawaoni athari za suala hili kwa uchumi kama wa nchi zetu changa ambazo bado tunahitaji pesa za watalii kwa kiasi kikubwa. Naomba utazame picha hizo (ambazo nilizipiga Ulaya, sio Serengeti) na utoe mtazamo wako, kwamba iwapo simba, twiga, nyumbu, nyati na wanyama wengine wa Afrika na Asia wanapatika nchi za baridi za Ulaya, kuna haja gani ya watalii kwenda Afrika, Amerika ya Kusini na Asia kutazama wanyama hawa wakati wanapatikana kwao?&lt;br /&gt;Jadili!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-116610909766213796?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/116610909766213796/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=116610909766213796&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116610909766213796'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116610909766213796'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/12/suala-hili-linatufundisha-nini.html' title='SUALA HILI LINATUFUNDISHA NINI?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-116463699574725440</id><published>2006-11-27T17:14:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:03:30.377+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>EBPA- MFANO WA KUIGWA!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;EBPA ni ufupisho wa ’Environment- Based Poverty Alleviation’. Hii ni taasisi isiyo ya kiserikali ambayo kazi yake kuu ni ulinzi wa mazingira, lakini kwa namna ya pekee, kama ambavyo nitafafanua hapa chini. Taasisi hii ina makao yake makuu jijini Dar Es Salaam na inaongozwa na Bwana Charles Lugenga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MALENGO YA TAASISI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kwa mujibu wa Bwana Lugenga lengo kuu la taasisi hii ni kutunza mazingira kwa namna ya pekee, kwa kukusanya sehemu ya taka zilizotupwa na kutengeneza vitu vingine kwa matumizi mbali mbali. Taka ambazo hukusanywa kwa wingi ni kama makopo ya vinywaji baridi, makopo ya vinywaji vikali, chupa za maji pamoja na vizibo vyake, vitunza-takwimu (diskettes), kadi za simu zilizotumika, magurudumu machakavu ya magari, mifuko mikubwa ya nailoni (viroba) pamoja na nembo za bidhaa mbali mbali (labels) na kadhalika. Katika maelezo yake, Bwana Lugenga anasema kuwa pamoja na kwamba si rahisi kukusanya kila taka lakini angalau kwa kiasi fulani tunaweza kupunguza uchafuzi wa mazingira kwa kutumia tena, kupunguza ingi wa taka na kurejesha. Anasema kuwa katika taasisi yake wanatumia mfumo wa ‘R3’ yaani ‘Reduce, Reuse, Recycle’ kwa maana ya kupunguza ukubwa au uwingi wa taka, kutumia tena taka kwa matumizi tofauti na ya mwanzo na kurejesha. Anasema kwa mfumo huu, kiwango cha taka kinachotupwa katika mazingira yetu kinakuwa na athari kidogo sana, tofauti na iwapo kama taka hizo zingetupwa bila kupitia hatua hizo. Anafafanua kuwa, kwa mfano ukichukua makopo ya vinywaji ukayakata na kutengeneza mikoba ama vikapu hutumii sehemu zote za kopo ila sehemu ndogo tu. Sasa basi hapa umekuwa umepunguza ukubwa wa taka, kwa hiyo unakuwa umepunguza pia athari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;BIDHAA ZITOKANAZO NA TAKA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Kuna bidhaa mbali mbali ambazo EBPA wanatengeneza kutokana na taka. Bidhaa hizo ni mavazi kama makoti, mataji na kofia zilizotengenezwa kwa makopo ya vinywaji, nembo ama vitunza takwimu vilivyotumika na kadi za simu zilizotumika. Katika hali ya kushangaza Bwana Lugenga na taasisi yake wamejenga nyumba kwa magurudumu yaliyotumika katika jiji la Dar es Salaam katika eneo la Pugu. Kuhusu suala la nyumba hii ya magurudumu, anasema kuwa anafanya mawasiliano na watu wa Kitabu cha Kumbukumbu cha Guinness ili apate kuweka kumbukumbu ya nyumba hii kuwa ya kwanza ya aina yake kutengenezwa kwa magurudumu kuanzia chini mpaka katika paa. Pia ni kawaida kumkuta bwana Lugenga akiwa na ama mkoba au kikapu kilichotengenezwa kwa bidhaa tajwa hapo juu popote pale alipo, kwa hiyo hatengenezi bidhaa zake kwa maonyesho, ila kwa matumizi. Anasema kuwa, chupa za plastiki za maji ya kunywa huokotwa na kupelekwa katika kiwanda cha TIRDO kilichopo Msasani. Chupa hizi husagwa na kutumuka kutengenza bidhaa mbali mbali, na kuna wakati malighafi itokanayo na chupa hizi hupelekwa nje ya nchi ambako kuna soko zuri. Pia bidhaa kama madumu yaliyotumika hukusanywa na kupelekwa mahali hapo, husagwa na kurejeshwa viwAndani ambapo hutumika kwa kazi mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UREJESHAJI WA TAKA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Uwapo njiani kama unatokea Ubungo kwenda Mwenge kabla hujafika njiapanda ya kwenda Survey mkono wa kushoto, utakuta kundi la vijana wakiwa wamekusanya chupa za maji na bidhaa nyingine za plastiki. Licha ya mahali hapa, kuna maeneo mengine mengi tu ambapo vijana wamejiari katika ukusanyaji wa taka za namna hii. Bidhaa hizi hupelekwa katika Kiwanda cha kurejesha taka ambacho nimekitaja hapo juu. Nilitembelea kiwanda hiki mnamo mwezi Mei 2006 na kukuta bidhaa mbali mbali zikiwa katika hatua mbali mbali kuelekea katika urejeshwaji. Licha ya taka, bidhaa ambazo hazikutengezwa vizuri kutoka katika viwanda mbali mbali vinavyojihusisha na utengenezaji wa bidhaa za plastiki hupelekwa mahali pale ili kurejeshwa na kutengeneza bidhaa nyingine.&lt;br /&gt;Inawezekana pia kuwa kuna taasisi mbali mbali zinazofanya kazi kama taasisi hii ya EBPA mahali mbali mbali nchini mwetu, ni vizuri iwapo tutawaunga mkono kwa namna anuwai ili kuweza kujikwamua kiuchumi na kulinda mazingira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana, tutimize wajibu wetu&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-116463699574725440?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/116463699574725440/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=116463699574725440&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116463699574725440'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116463699574725440'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/11/ebpa-mfano-wa-kuigwa.html' title='EBPA- MFANO WA KUIGWA!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-116439024971752122</id><published>2006-11-24T20:42:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:05:19.792+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>USHAURI KUNTU KWA WAMILIKI WA MABASI!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;U hali gani msomaji wa safu hii. Katika makala zilizopita, niliwahi kugusia kidogo suala la uchafuzi wa mazingira hasa kwa mabasi makubwa ya masafa marefu, kuhusu utupaji wa taka kwa abiria wanaokuwa wakiabiri katika mabasi hayo. Leo nitafafanua kwa undani kidogo jinsi ya kufanya, ili kuweza kukabiliana na uchafuzi wa mazingira hasa kwa wenye mabasi. Ni ushauri tu, wana haki ya kuuchukua ama kuuacha, ni hiari yao lakini ni muhimu sana kama watauzingatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MADA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika makala niliyodondoa hapo juu katika utangulizi, nilisema kwamba ni kawaida kwa mtu yeyote anayesafiri kwa mabasi makubwa ya masafa marefu kukuta mifuko ya plastiki ikiwa imezagaa njiani, kando ya barabara hizi kubwa. Aghalabu mifuko hiyo hupatikana maeneo ambayo huwa hayana watu. Sasa huwa tunajiuliza nani huwa anatupa mifuko hiyo? Jibu ni 'Wasafiri' ama abiria. Ni jambo la kawaida sana kukuta katika kila basi kubwa la masafa marefu lina hifadhi ya mifuko ya plastiki ndani. Aghalabu mifuko hii hutumika kuwakinga baadhi ya abiria ambao hutapika njiani, labda kutokana na ugonjwa ama misukusuko ya gari wawapo njiani. Sasa basi, mara abiria wanapokuwa wamemaliza kutapika, hutupa mifuko hii nje ya basi kupitia madirishani. Vitendi hivi huchangia sana kuchafua mazingira, kwani mifiko hii ya plastiki ina athari sana kwa mazingira.&lt;br /&gt;Hali kadhalika, nilijadili kuwa dakika kumi ambazo wenye mabasi hutoa kwa abiria kwa ajili ya kula na kujisaidia huwa hazitoshi. Hii ni kwa sababu, abiria hutumia muda kama dakika tatu mpaka tano kutoka nje ya basi waendapo kula. Sasa basi abiria wa mwisho kutoka katika basi husika kwa maana hii atatumia dakika tano zilizobaki kujisaidia, kupanga msitari katika kuagiza chakula, kula na kama inawezekana kwenda katika duka kununua maji ya kunywa. Katika hali ya kawaida, utaona kuwa muda huu hautoshi hata kidogo. Kwa hiyo basi abiria walio wengi hulazimika kubeba chakula katika mifuko na kwenda kula ndani ya gari. Matokeo yake, masalia ya vyakula pamoja na mifuko hutupwa nje ya basi na kuhatarisha mazingira. Hali kadhalika, iwapo mtu mwenye ugonjwa wa kuambukiza kama kipindundupindu ama homa za matumbo atatapika katika gari na kutupa matapishi nje ya basi, kunakuwa na uwezekano mkubwa wa kusambaza ugonjwa huo katika maeneo ambapo matapishi hayo yanakuwa yametupwa. Hii ni hatari sana, ingawa sote tunaonekana kama tunafumbia macho tatizo hili. Nilitoa wito kuwa tuwaige watunza hifadhi wa mbuga ya wanyama ya Mikumi, mkoani Morogoro, huwa wanajitahidi sana kutoa elimu kwa abiria pamoja na kusafisha uchafu wote utupwao mbugani hapo. Kuna matangazo mengi sana mbugani hapo, yakisisitiza kutotupa taka ovyo katika mbuga hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;USHAURI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwanza,ni vyema kama katika kila basi kukawa na sehemu ya kutunzia taka, kwa maana ya kwamba taka zote katika basi husika zikusanywe na kuhifadhiwa katika buti ya basi. Mara wafikapo kituoni, watumishi wa basi husika inabidi watupe taka hizi katika ghuba za kutupia taka ama mahali pengine palipoandaliwa maalumu kwa ajili ya kuhifadhi taka. Si ustaarabu hata kidogo kutupa taka ovyo njiani. Pili, inabidi ila basi liweke matangazo kuwajulisha abiria kuwa ni marufuku kutupa taka nje ya basi. Matangazo haya yaende sambamba na msisitizo wa kuwa na sehemu ya kuhifadhi taka katika basi, kwani kama hakuna sehemu ya kuhifadhi taka katika basi, unakuwa vigumu kwa abiria kutekeleza amri hizo. Tatu, kuwe na matangazo katika vituo vya mabasi haya kila mkoa, yanayohusu usafi kwa abiria wanapokuwa wakisafiri na mabasi hayo. Katika makala hii nimesisitiza sana suala la mabasi makubwa kwa sababu ndio yenye kuchafua sana njia zetu pamoja na mzingira kwa ujumla. Nne, serikali itunge sheria kali za kuwabana wamiliki ma watumishi wa mabasi kutotupa taka ovyo njiani na kwamba wawe na sehemu maalumu ya kuhifadhi taka katika mabasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbona wenye ndege wameweza, kwa nini hawa wamiliki wa mabasi wanashindwa?&lt;br /&gt;Jadili&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-116439024971752122?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/116439024971752122/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=116439024971752122&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116439024971752122'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116439024971752122'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/11/ushauri-kuntu-kwa-wamiliki-wa-mabasi.html' title='USHAURI KUNTU KWA WAMILIKI WA MABASI!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-116435539975387955</id><published>2006-11-24T10:58:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:04:53.439+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Maisha Mbadala'/><title type='text'>MALENGO YA MAENDELEO YA MILENIA - 2: LENGO NAMBA SABA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika makala zilizopita niliongelea malengo ya milenia ambayo kwa ujumla wake yapo nane, pia niliahidi kujadili lengo namba saba kwa undani na wasaa huo ni sasa. Lengo hili kwa Kiingereza limeandikwa ‘Ensure Environmental Sustainability’. Kwa tafsiri yangu katika Kiswahili nasema ‘Kuzingatia Uendelevu wa mazingira’. Katika ufafanuzi wake, walioandika lengo hilo wanasema lazima tuingize suala la mazingira katika mfumo wetu wa maendeleo endelevu katika sera na mipango ya nchi zetu na kurejesha rasilmali katika mfumo wake wa asili. Hii ina maana ya kwamba katika suala zima la maendeleo, huwezi kukwepa suala la mazingira, ndio sababu likapewa umuhimu wa pekee katika muktadha wa malengo ya milenia. Kwa ujumla wake, mazingira ni vitu vyote vinavyomzunguka mwanadamu. Ni mara nyingi sana katika shughuli zetu za uzalishaji mali tumekuwa tukichukua rasilmali nyingi katika mazingira yetu bila kurejesha kwa kiasi Fulani kama ninavyofafanua hapa chini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;1. ARDHI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Ardhi ndio mama wa kila kitu kiasi kwamba wataalamu tukaamua kuiita ‘Mother nature’. Bila ardhi hakuna maisha. Tumekuwa tukichukua rasilmali nyingi sana katika ardhi, mara nyingine bila kuzingatia uendelevu wake. Tunachukua mimea, wanyama, maji na madini bila kuchukua tahadhari za kimazingira na kujali madhara yajayo baada ya hapo. Madini yaliyo mengi yanapatikana ardhini na namna pekee ya kuyapata ni kuyachimba toka humo ardhini yalimo. Lakini kwa utovu wetu wa nidhamu tunaacha kufukia mashimo na kurejesha sehemu ya mimea na wanyama walioondolewa mahali hapo kwa makusudi. Tunamkomoa nani? Kwa mtazamo wangu sidhani na sipendi kuamini kuwa tunakuwa hatufahamu tunachokifanya. Matokeo ya madhara haya tunayapata hapa hapa, kwani kumekuwa na upungufu wa maji maeneo mbali mbali duniani, kwani katika shughuli zetu tunaharibu mzunguko wa maji. Pia kumekuwa na upotevu wa viumbe hai sehemu nyingi tu. Kwa kawaida ardhi, mimea na maeneo yenye unyevu yapatapo joto na mwanga wa jua hupumua.Katika kupumua huku mvuke huo huenda angani na kuganda na kufanya mawingu ambayo baadaye hurudi ardhini kama mvua, theluji, barafu na mzunguko huendelea. Sasa basi iwapo sehemu fulani ya mzunguko huu itaathirika kwa namna moja au nyingine basi athari hizi zitasambaa hata katika sehemu nyinginezo za mzunguko huu. Hivi ndivyo mfumo mzima ulivyo. Suala la kilimo pia ni la kuangaliwa. Kumekuwa na matumizi makubwa sana ya mbolea za viwandani katika shughuli za kilimo, hasa katika nchi zinazoendelea. Mbolea hizi,kwa namna moja au nyingine zinachosha sana ardhi, kiasi kwamba baada ya muda fulani ardhu husika inakuwa haina uwezo tena wa kuzalisha mazao mengi kama mwanzo. Wao wenyewe wanaotengeza mbolea hizi wanazipiga vita kwa sasa, sasa sijajua wanamtengenezea nani. Wameshajua kuwa zina madhara, hivyo wanataka kutumia mbolea asilia tu mashambani kwao. Kwa hiyo basi na sisi inabidi tubadilike na kutumia mbolea zinazotengenezwa kiasili kama samadi na mboji ili kulinda ardhi yetu. Licha ya mbolea, suala la kulima milimani ni la kuangaliwa, kwani husababisha mmomonyoko wa ardhi iwapo mvua itanyesha katika maeneo haya. Kuna tovuti kadhaa zimeelezea kinagaubaga suala hili pamoja na lile la kuzidisha idadi ya mifugo katika eneo dogo na kuzidisha madhara katika eneo husika, vitendo ambavyo huchangia kwa kiasi kikubwa kuharibu ardhi na mazingira kwa ujumla. Kwa hiyo sitayaongelea kwa undani sana masuala haya. Inafaa tu kuyaachia majanga ya asili kama vile volkano na matetemeko ya ardhi yaharibu uasilia wa ardhi, na siyo sisi wanadamu kuiharibu kwa makusudi, kwani kwa kufanya hivyo tunajichimbia kaburi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;2. MAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na kauli mbiu kuwa ‘Maji ni Uhai’. Hakuna ubishi katika hili, bila maji hakuna uhai. Lakini je rasilmali hii tunaitumiaje? Sidhani kama tunafanya juhudi za kutosha katika kuhakikisha kuwa tuna matumizi endelevu ya rasilmali hii. Kwanza, katika kilimo huwa tunatumia mbolea za viwandani. Mbolea hizi si zote huchukuliwa na mimea kwa ajili ya utengenezaji wa chakula. Sehemu ya mbolea hupotelea ardhini na kuchafua hifadhi ya maji katika miamba ijulikanayo kama ’aquifers’. Kitendo hiki kwa lugha ya kitaalamu hufahamika kama ’Leaching’. Hatuwezi kuona kwa macho kwa sababu kitendo hiki hufanyika chini ya ardhi, kwa hiyo huhitaji vipimo vya kitaalamu kujua madhara yake katika maji na maisha ya wanadamu kwa ujumla. Katika kilimo hicho hicho, dawa za kuulia magugu na wadudu waharibifu wa mazao mashambani pia huchangia madhara katika maji kwani dawa hizi mara nyingi huenda katika maji iwapo mvua itanyesha katika mashamba yaliyowekwa dawa hizi. Pili, maji ya bahari ndio yamekithiri kwa uchafu, na ndio humo humo tunapata samaki kwa ajili ya kitoweo. Maji machafu ya miji yote ambayo iko kando ya bahari huishia baharini, maji taka ya viwanda ambavyo hupakana na bahari hali kadhalika huishia baharini. Taka za sumu toka viwandani humwagwa baharini. Hali hii pia iko katika maziwa na mito, ingawa si kwa kiasi kikubwa sana kama baharini. Inasemekana kuwa kwa nchi zinazoendelea kama yetu, baadhi ya wavuvi hutumia mabomu katika shughuli zao za uvuvi. Kitendo hiki si tu kwamba kinaua mazalia ya samaki, bali pia ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa maji. Baruti itengenezayo mabomu ni kemikali yenye sumu, sasa basi iwapo itachangayikana na maji, basi sumu hizi huturudia sisi wenyewe aidha kwa kula samaki waliovuliwa kwa mabomu au kwa kunywa moja kwa moja maji hayo. Lakini kwa tamaa zetu za kupata pesa za haraka, tunasahau madhara ya muda mrefu kama haya na kuishia kushibisha matumbo yetu kwa uvuvi wa mabomu. Tatu, kuna ujenzi na kilimo katika vyanzo vya maji. Kama tunayofahamu, vyanzo vya maji ni muhimu kwa maisha yetu, kwa hiyo iwapo tunachafua hatumkomoi mtu, ila ni sisi wenyewe. Nimeliongelea kwa urefu sana suala hili katika makala zilizopita. Katika hali ya kawaida, inatakiwa tuyasafishe maji yaliyotumika majumbani na viwandani ili yaweze kutumika tena kwa shughuli nyingine, lakini tulio wengi hatuna utaratibu huu. Laiti kama tungezingatia suala hili basi uhaba wa maji kwa maeneo mbali mbali ingekuwa ni hadithi tu. Pia hatuna utaratibu wa uvunaji wa maji ya mvua, kwa maeneo mengi ya nchi zinazoendelea. Maji yanayopotea wakati wa mvua ni mengi sana, iwapo tungeyavuna na kuyahifadhi basi tungetatua suala la uhaba wa maji ambalo ni kubwa sana sehemu mbali mbali duniani. Nne, kama itakumbukwa, hivi karibuni wakati nchi ya Israeli ikiwa katika mgogoro na Lebanon, ilipasua kwa makusudi bomba la mafuta kando ya bahari na mafuta yote yaliyokuwa yanasafirishwa katika bomba hilo yakasambaa baharini na kuua viumbe wengi sana wanaotegemea maji hayo ya bahari. Hali hii ilileta usumbufu pia kwa vyombo vinavyosafiri majini katika maeneo hayo. Kitendo hiki ni cha kulaaniwa sana na kila mtu ambaye anajali usafi wa bahari na mazingira kwa ujumla, lakini cha ajabu hakuna hatua za kinidhamu zinazochukuliwa kukomesha tabia hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;3. HEWA&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Madhara ya uchafuzi wa hewa ni rahisi sana kusambaa kwa muda mfupi katika dunia hii. Hii inatokana na sababu kuwa hewa husafiri haraka sana hasa pale inapopata joto. Si ajabu basi iwapo hewa itachafuliwa katika bara fulani na madhara yakajiri katika bara lingine kwa muda mfupi sana. Tumesikia na kuona madhara ya uchafuzi wa hewa, hasa kuharibika kwa hewa ya ’ozone’. Niliongelea kwa kirefu suala hili katika makala zilizopita. Ikumbukwe kuwa kuna makubaliano yalifanyika katika mji wa Kyoto nchini Japan hasa kwa nchi tajiri, kuhusu kupunguza kiwango cha hewa zenye sumu toka viwandani kwenda angani. Hizi ni nchi za G8 zenye viwanda vingi na vikubwa ambavo huchafua sana hali ya hewa, hivyo ilikuwa ni hatua muhimu sana katika suala ziama la kutunza mazingira. Kama kawaida, Wamarekani hawakusaini mkataba huu wa makubaliano, kwa madai kwamba kusaini mkataba huo ni kukubali kuua uchumi wao ambao hutegemea sana viwanda hivyo. Wakaitwa tena nchini Afrika Kusini, wakakataa kwa mara nyingine tena kusaini mkataba huu. Kwa mara nyingine mwaka huu 2006, mwezi wa kumi na moja wamekataa tena kusaini mkataba huo na kurudisha nyuma kabisa juhudi za kupunguza uchafuzi wa hewa. Nchi nyingine zenye viwanda vingi kama Japan, Sweden, China, Ujerumani, Urusi na Denmark wameshaanza kupunguza kwa kiwango cha kuridhisha, uchafuzi wa hewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MIKAKATI ENDELEVU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuna mambo kadhaa ambayo yanapaswa kuzingatiwa iwapo tunataka kupata matokeo mazuri ya ya kile tunachokipanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SIASA DHIDI UTAALAMU!&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, tupunguze kama si kuacha kabisa kutatua matatizo ya kiufundi kwa mbinu za kisiasa. Pamoja na kwamba siasa inatawala maisha yetu ya kila siku, lakini si matatizo yote yanaweza kutatuliwa kisiasa. Suala la uchafuzi wa hali ya hewa ni la kiufundi, sasa iwapo tunataka kutatua suala hili kwa mbinu za kisiasa ni makosa makubwa sana kwani masilahi ya kisiasa ni ya muda tu. Matatizo kama njaa, ukosefu wa umeme, ukimwi, ukosefu wa maji, uharibifu wa rasilmali na ukosefu wa maadili ni matatizo ya kiufundi, hayapaswi kutatuliwa kisiasa. Yatatuliwe kiufundi kwani naamini kuna wataamu wengi tu wa utatuzi wa matatizo haya, wapewe nafasi. Umbumbumbu (au ni ubabe?) wa Marekani kukataa kusaini mkataba wa Kyoto wa kupunguza uchafuzi wa hali ya hewa inatakiwa ukemewe na kila mtu anayependa maendeleo ya muda mrefu na si maslahi ya kisiasa. Nasisitiza tena kuwa siamini wala sifikiri kuwa Wamarekani hawajui wanachokifanya katika hili suala la Kyoto. Nina imani kuwa huenda suala hili likapewa umuhimu wa kipekee na wale waliochukua madaraka nchini humo hivi karibuni, tuvute subira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAZINGIRA KWANZA, PESA BAADAYE!&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Pili, ningependa kuongelea suala la mirahaba ya madini. Kumekuwa na maelezo mbali mbali kutoka kwa wadau wa madini kuwa tunalipwa mirahaba kutokana na madini yanayochimbwa nchini mwetu. Ni sawa kuwa tunapata mirahaba lakini vipi maslahi ya uhai wa hapo baadaye? Kama nilivyoongelea hapo juu, tusiangalie suala la pesa ambalo ni la muda mfupi ila tuangalie matokeo ya kuacha mahandaki katika machimbo ya madini. Nini kitatokea katika miongo kadhaa ijayo iwapo hali itaendelea kuwa kama hivi? Nani ataathirika? Wanaochimba madini sasa kwa teknolojia za kisasa zisizojali mazingira na uhai wetu watakuwa wameshaondoka na faida na kutuachia mashimo ambayo hayatakuwa na msaada wowote kwa wakati huo ambao vizazi vitakavyokuwepo (huenda hata sisi ) vitakuwa havina maji wala miti. Tuige mfano wa hatua zilizochukuliwa katika kuzuia uharibifu wa vyanzo vya maji na mazingira , kutokana na uchimbaji wa madini katika msitu wa Balangai wilayani Lushoto mkoani Tanga.&lt;br /&gt;Sipendi kuonekana naingilia masilahi ya baadhi watu katika jamii kwa kupinga uchimbaji wa madini, lakini naongelea suala hili katika muktadha wa kitaalamu zaidi. Watakaopenda kuongelea suala hili katika muktadha wa kiuchumi wanaruhusiwa pia. Unafikiri ni kwa nini hao wanaotaka kuchimba madini katika nchi yetu hawaendi nchi zingine zenye madini kama sisi? Suala ni kwamba nchi hizi wana sera na sheria endelevu sna kuhusu mazingira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTASHI WA KISIASA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kutatua matatizo yanayoikabili dunia kwa sasa kunahitaji utashi wa kisiasa na si utatuzi wa kisiasa. Katika kutekeleza malengo ya milenia, kinachotakiwa zaidi ni utashi huu ninaouongelea, kwani kwa utashi matatizo haya yanatatulika kabisa. Mpaka sasa inasemekana kuwa hazijaonekana juhudi za makusudi katika kutatua matatizo yaliyoanishwa katika malengo ya milenia, kiasi kwamba huo mwaka 2015 wa matazamio huenda mengi kati ya malengo hayo yasiwe yametimizwa. Wewe masomaji wa makala hii pamoja na mimi inapaswa tutimize wajibu wetu katika kuyafanikisha malengo haya, kwani inawezekana kabisa kuyafikia.&lt;br /&gt;Soma &lt;a href="http://www.ippmedia.com/ipp/observer/2006/11/26/79157.html"&gt;hapa&lt;/a&gt; kwa habari zaidi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-116435539975387955?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116435539975387955'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116435539975387955'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/11/malengo-ya-maendeleo-ya-milenia-lengo.html' title='MALENGO YA MAENDELEO YA MILENIA - 2: LENGO NAMBA SABA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-116160590633220157</id><published>2006-10-23T15:09:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:03:55.435+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Maisha Mbadala'/><title type='text'>NISHATI NA MAISHA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa dhana, nishati ni ule uwezo wa kufanya kazi au kitu fulani. Kuna nishati za aina mbalimbali kama vile joto, sauti, mwendo, mwanga na kadhalika. Kuna uwezekano mkubwa sana wa kubadilinishati hizi kutoka aina moja kwenda nyingine kwa kutumia mbinu na vifaa mbali mbali. Kwa mada hii nitaongelea kwa ufupi sana nishati za mwanga na joto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UMUHIMU WA NISHATI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa maelezo rahisi ni kwamba hakuna maisha bila nishati. Nishati ni chanzo cha uhai wetu, kwani nishati ya mwanga kama ule wa jua hutusaidia kuona na kufanya mambo mbali mbali, hutuletea vitamini D na pia nishati hii husaidia usanisi wa chakula cha mimea, ambayo nasi tunaitegemea kwa chakula chetu. Nishati ya mwendo hutusaidia kujongea kutoka mahali fulani hadi pengine kwa muda mfupi sana kwa teknolojia ya leo na nishati ya joto hutusaidia kwa mambo mbali mbali kama vile kuivisha chakula chetu, kukausha mazao, kurekebisha hali ya hewa majumbani na kadhalika.&lt;br /&gt;Kumekuwa na mwamko mahali mbalimbali hapa ulimwenguni kuhusu mustakabali wa dunia hasa katika suala nyeti la nishati. Mara nyingi dunia imekuwa ikitegemea mimea, madini (makaa ya mawe na nyuklia) na mafuta kama vyanzo vikuu vya nishati za namna mbalimbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KUNI NA MKAA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika mimea tunapata kuni na mkaa ambavyo kwa nchi kama Tanzania huchangia zaidi ya asilimia tisini ya mahitaji yote ya nishati kwa taifa. Hiki ni kiwango kikubwa sana, kwa hiyo juhudi za makusudi zinatakiwa ili kupunguza kiasi hiki. Kuni hutumika na mkaa kila mahali katika nchi zinazoendelea katika kufanyia kazi mbali mbali, kuanzia majumbani hadi viwandani. Kuni hutumika kuzalisha nishati ya joto katika viwanda vya chai na tumbaku, hutmika kupikia majumbani na matumizi mengine mengi tu. Kwa nchi zilizoendelea kuni hutumika kuchemshia maji, ambayo husambazwa majumbani kwa mabomba maalum kwa ajili ya kuzalisha joto wakati wa baridi. Ni nishati tegemeo sana kwa nchi hizi hasa wakati wa baridi, kwa kuwa kutumia mitambo ya umeme kuzalisha joto ni ghali kwa kiasi fulani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAKAA YA MAWE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Makaa ya mawe kwa miaka ya nyuma yalitumika moja kwa moja viwandani kuzalisha nishati za joto na mwendo kwa matumizi mbali mbali. Mpaka sasa kuna maeneo kadhaa hapa duniani ambapo makaa ya mawe hutumika kuzalisha nishati (kama vile mgodi wa makaa ya mawe kule Ilima/KiwiraMbeya). Makaa pia hutumika katika viwanda vya saruji katika kuzalisha joto la kuyeyushia mawe ili yasagwe na kuzalisha saruji. Lakini kutokana na uchafuzi wa hali ya hewa, ikaonekana kuwa makaa si nishati rafiki wa mazingira yetu, hivyo kukafanyika mabadiliko makubwa sana ya kuiacha nishati hii kwa maeneo mengi. Lakini bado kuna nchi nyingi tu ambazo hazijaiacha nishati hii, ikiwemo nchi ya China ambayo inakuja juu katika maendeleo ya viwanda duniani. Mwelekeo na mkazo vikawa katika mafuta ya jamii ya petroli ambayo kwa sasa yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha ya mwanadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAFUTA YA PETROLI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mafuta haya yanatumika kuendesha mitambo ya namna mbali mbali pamoja na ile izalishayo umeme, maarufu kama jenereta. Magari, ndege, meli, baadhi ya treni, huendeshwa kwa nishati hii pia. Kadri muda unavyosonga, nishati hii nayo imeonekana si rafiki wa mazingira kama inatumika katika mazingira ambayo si muafaka. Moshi unaotokana na mafuta haya yanapotumika katika mitambo huwa na athari sana katika mazingira, kwa kuwa huongeza kiasi kikubwa sana cha hewa ya kaboni dayoksaidi katika anga na kuharibu utando wa ozoni. Matokeo yake ni kuwa kunakuwa na ongezeko la joto katika uso wa dunia, na ongezeko hili limeleta athari nyingi sana katika sehemu mbali mbali hapa duniani (nilishaliongelea hili katika mada zilizopita). hio ni moja, lakini pili ni kuwa iwapo kunatokea ajali majini na chombo kinachosafirisha mafuta kikahusika, mafuta hutapakaa katika maji (na kawaida mafuta huelea majini) na kuathiri viumbe wanaoishi katika maji. Kwa viumbe kama samaki, hushidwa kupumua kwa kuwa mafuta huzuia hewa kutoka na kuingia katika maji. Kwa ndege wanaoshi kwa kutegemea uvuvi, mara wapakaapo mafuta haya katika shughuli zao za uvuvi hushidwa kuruka kwa kuwa mbawa zao hushikamana na kukakamaa hivyo kwa wakati fulani hufa. Kwa sasa kuna mikakati kwa nchi zilizoendelea, kuachana na utegemezi wa nishati hii, lakini itachukua muda sana, ingawa inawezekena (rejea makala iliyopita).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa miaka mingi nguvu ya maji imekuwa ikitumika kwa namna mbali mbali. Kwa upande wa nishati, maji yamekuwa yakitumika moja kwa moja kuendesha mitambo ya kusagia nafaka, na kwa upande wa Tanzania bado mifumo hii inafanya kazi mpaka sasa. Kwa mfano, katika kijiji cha Kisiwani wilayani Muheza Mkoani Tanga, kuna mtambo wa kusagia nafaka ambao kuendeshwa kwa nguvu ya maji. Kwa upande wa pili, kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, maji yanatumuka kuendeshea mitambo ya kuzalisha umeme, na kwa sasa dunia imekuwa tegemezi kwa nishati hii kwa kiasi kikubwa. Hli si shwari sana kwa upande wetu Tanzania, kutokana na maji kutokuwa ya kuaminika na kutokuwa na mfumo mzuri wa urejeshaji maji katika mabwawa mara baada ya kuyatumia. Pia hali ya hewa hasa suala la ukame limekuwa kikwazo kikubwa kwa uendelezaji wa nishati hii. Miradi mikubwa ya umeme wa nguvu ya maji si rafiki wa mazingira, kwa kuwa hutumia maeneo makubwa sana kuhifadhi maji, kwa hio kunakuwa na uhamishaji wa watu na wanyama na mara kadhaa husababisha mafuriko kwa watu waishio kando yake iwapo milango ya bwawa itafunguliwa kupisha matengenezo, kwa kuwa maji hufunguliwa kwa wingi sana. Pia miradi hii hutumia maji mengi sana, kwa hio viumbe wengine ambao hutegemea maji hayo mbele ya mabwawa hawapati maji kwa uhakika (kumbuka suala la vyura katika mradi wa umeme-Kihansi).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;NYUKLIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ni moja ya nishati mbadala katika kupunguza tatizo la nishati. Kwa sasa ni nchi zilizoendelea tu ndizo zina uwezo na mamlaka ya kutumia nishati hii, kwa kuwa ni ghali sana. Pia inadhibitiwa sana na shirika na nguvu za nishati la Umoja wa Mataifa liitwalo 'International Atomic Energy Agency' (IAEA), kwa kuwa ni nishati hii hii itumikayo kutengeneza silaha za maangamizi, kwa hio wanahofia kuwa iwapo inaachwa bila ya udhibiti basi inaweza kutumika kwa malengo mengine, na si uzalishaji wa nishati. Kwa sasa nchi kama Japan, Korea Kaskazini, India, Iran*, Marekani, Norway na Urusi zinatumia nyuklia kwa kuzalishia nishati. Nyuklia huhitaji uangalizi wa hali ya juu sana, kwa kuwa ikivuja ina madhara sana kwa mwanadamu na viumbe wengine. Ajali ya kuvuja kwa mitambo ya nyuklia ilishawahi kutokea katika mji wa Chernobyl nchini Urusi mnamo mwaka 1986 na kusababisha madhara makubwa!&lt;br /&gt;*(Vinu havijaanza kufanya kazi Iran)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UMEME WA MIONZI YA JUA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ni teknolojia mpya kwa kiasi fulani, na ni rafiki wa mazingira. Ni mfumo wa kuvuna mionzi ya jua na kuzalisha umeme kwa kutumia mitambo maalum ijulikanayo kama 'Photovoltaics'. Uzalishaji wa umeme huu hutegemea sana uwepo wa mwanga wa jua na vihifadhi vya umeme huo kama betri. Umeme huu unafaa sana kwa mazingira yaliyo mbali na umeme wa gridi. Ni teknolojia ghali kwa kiasi fulani ingawa ni nzuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa namna moja au nyingine tuendelee kujaribu kutafakari na kutafuta suluhisho la matatizo ya nishati yanayoikabili dunia, ili iwe mahali salama pa kuishi wanadamu.&lt;br /&gt;Nafasi yako ni ipi katika hili?&lt;br /&gt;Jadili!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-116160590633220157?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/116160590633220157/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=116160590633220157&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116160590633220157'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116160590633220157'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/10/nishati-na-maisha.html' title='NISHATI NA MAISHA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-116057810081006893</id><published>2006-10-11T17:47:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:02:58.239+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Maisha Mbadala'/><title type='text'>MAFUTA MBADALA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na kilio sehemu mbali mbali duniani kuhusu uchafuzi wa hewa pamoja na athari zake ambazo dunia imeanza kuonja makali yake. Kilio hiki kinatokana na kuongezeka kwa kiwango cha moshi wenye sumu katika anga, na kuharibu mfumo mzima wa hali ya hewa. Athari zaidi zinaonekana katika utando wa 'ozone', ambao umetobolewa na hewa hizi za sumu. Kazi ya utando huu ni kuzuia mionzi ya jua yenye athari kutufikia moja kwa moja na kutuathiri. Athari ambazo dunia inazipata kwa sasa ni pamoja na ongezeko la joto duniani na kupungua kwa kiwango cha barafu katika milima, kupotea kwa baadhi ya jamii za mimea na wanyama kutokana na ongezeko hili la joto, ongezeko la magonjwa kama kansa na magonjwa mengine ya ngozi. Pia kuna maeneo ambapo utando wa moshi wa viwanda na magari ni mkubwa na hivyo husababisha mvua za tindikali. Mvua hizi hutokana na kuongezeka kwa hewa ya salpha dayoksaidi katika anga. Hewa hii ikizidi angani na kuchanganyikana na maji au unyevu hutengeneza tindikali ya salfarasi 'sulphorous acid', na hii ina madhara sana kwa mimea na wanyama. Tindikali hii huunguza majani ya mimea na kwa wanyama husababisha magonjwa ya ngozi. Kwa nchi za Ulaya ya Magharibi wanafahamu sana madhara ya mvua hizi za tindikali, kwani zimeharibu sana uoto wa asili. Kutokana na sababu hizi basi, kumekuwa na hatua mbali mbali za kupunguza hewa chafu katika anga, na moja ya hatua hizo ni kutumia mafuta mbadala ya kuendeshea mitambo badala ya mafuta ya jamii ya petroli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAFUTA MBADALA NI YAPI?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Msisitizo wa kutumia mafuta yasiyo na madhara sana kwa mazingira umekuwa ukipata kasi kadri siku zinavyosonga. Nchi zilizoendelea zimekuwa msitari wa mbele katika kuhakikisha kwamba kunakuwa na uzalishaji mkubwa wa mafuta haya mbadala. Mafuta haya yanatokana na mimea kama mbono, miwa, michikichi, alizeti, maharage ya soya na mahindi. Kimsingi kila mmea una uwezo wa kutoa mafuta haya, kulingana na hali ya kiteknolojia iliyopo mahali husika. Mimea tajwa hapo juu, ukiacha miwa na mahindi, hutoa dizeli ambayo nchi zilizoendelea zinatumia kuendeshea mitambo ya namna mbalimbali. Miwa hutoa kimiminika kiitwacho &lt;em&gt;'ethanol'&lt;/em&gt; na hii kutumika sana kuendeshea mitambo pia. 'Ethanol' ni jamii ya pombe inayotengenezwa kwa njia ya mvukizo au mvuke. Kwa jina lingine rahisi hii ni&lt;em&gt; 'gongo'&lt;/em&gt; ya kiwandani. Ni nyepesi sana na inashika moto haraka, hivyo wataalamu wameona inafaa kwa mitambo. &lt;strong&gt;Kumbuka&lt;/strong&gt; kuwa karabai zinawashwa kwa mafuta ya jamii hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;WAZALISHAJI WA MAFUTA MBADALA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa 'ethanol', wazalishaji wakubwa kwa soko la dunia ni Brazili na Marekani na walianza karibu miaka ishirini iliyopita. Hawa wanazalisha bidhaa hii kutokana na makapi ya viwanda vya miwa. Pia nchi za umoja wa Ulaya ni wazalishaji wakubwa wa bidhaa hii. Kwa upande wa dizeli ya mimea, wazalishaji vinara ni Malaysia, China na Ujerumani. Malaysia ni mzalishaji wa kwanza wa mafuta ya mawese duniani, na dizeli wanayotengeneza inatokana na mawese. Wachina wanatengeneza 'ethanol' kutokana na mihogo na wanapata shehena kubwa ya mihogo hii kutoka Vietnam, Thailand na Indonesia.&lt;br /&gt;Kwa upande wa Brazili, kuna magari milioni tatu yanayotumia ethanol! Wakati huo huo kuna magari milioni moja na laki tatu yanayotumia mchanganyiko wa petroli na ethanol.&lt;br /&gt;&lt;em&gt;(Chanzo cha takwimu: UNIDO/Berkeley BC Aprili 2006)&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;FAIDA ZA MAFUTA MBADALA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mafuta haya hayatoi moshi wenye athari kwa anga, kwa kuwa hayana viambata vyenye sumu, kulinganisha na mafuta ya jamii ya petroli. Mafuta ya petroli huchanganywa na madini ya risasi &lt;em&gt;'lead'&lt;/em&gt; na hivyo yakitumika katika mitambo hutoa moshi wenye sumu katika anga.&lt;br /&gt;Kwa kuwa mafuta mbadala hutokana na mimea, huongeza kipato kwa wakulima wa mazao yatoayo mafuta haya. Utengenezaji wa dizeli mbadala hauhitaji teknolojia za hali ya juu sana, tofauti na mafuta ya jamii ya petroli, hivyo hata nchi zinazoendelea zinaweza kumiliki mitambo ya kuzalishia mafuta haya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TANZANIA NA MAFUTA MBADALA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na tafiti mbalimbali zinazofanywa na watu na taasisi anuwai nchini Tanzania, kuhakikisha kuwa kunakuwa na maendeleo katika uzalishaji wa dizeli ya mimea. Baadhi ya taasisi zilizofanya utafiti wa mafuta haya ni pamoja na shirika la Msaada wa Kiufundi la Ujerumani (&lt;a href="http://www.gtz.de/"&gt;GTZ&lt;/a&gt;), Kampuni ya Kukuza Teknolojia (KAKUTE) ya Arusha na Taasisi ya Kuendeleza Nishati Endelevu na Mazingira Tanzania (&lt;a href="http://www.tatedo.org/"&gt;TaTEDO&lt;/a&gt;). Kwa upande wa KAKUTE, wao wanafanya uzalishaji mdogo wa dizeli inayotokana na mbono, pamoja na kutengeneza sabuni zake.&lt;br /&gt;Iwapo kutakuwa na msisitizo kwa watu binafsi, mashirika na serikali katika kuzalisha mafuta haya, basi tutaondokana na umasikini, kwa sababu bidhaa hii kwa sasa ina malipo mazuri katika soko la dunia. Nasema hivi kwa sababu tayarai nchini Tanzania tuna viwanda kadhaa vya miwa ambavyo hutoa makapi mengi ya kuweza kuzalisha ethanol na wakati huo huo mimea ya mbono husitawi hata katika maeneo yenye ukame.&lt;br /&gt;Ni kitu kinachowezekana, ila inataka utashi!&lt;br /&gt;Nafasi yako katika hili unaitumia kikamilifu?&lt;br /&gt;Jadili!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-116057810081006893?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/116057810081006893/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=116057810081006893&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116057810081006893'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/116057810081006893'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/10/mafuta-mbadala.html' title='MAFUTA MBADALA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115876926777933699</id><published>2006-09-20T19:11:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:18:33.006+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Maisha Mbadala'/><title type='text'>YAJUE MALENGO YA MAENDELEO YA MILENIA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ni mara nyingi tumesikia, ama kuambiwa kuwa kuna malengo ya milenia, lakini huenda si wengi wetu tunaoyafahamu malengo hayo. Ni malengo yaliyoafikiwa mnamo Septemba 8 mwaka 2000, jijini New York Marekani na kuazimia kuwa ifikapo mwaka 2015, basi hayo maazimio waliyopanga yawe yametekelezwa kwa kiasi fulani cha kuridhisha, kama si kuyatekeleza kabisa.&lt;br /&gt;Kwa ujumla kuna malengo manane ambapo nitayaeleza yote kwa ufupi katika makala hii na kuelezea lengo namba saba katika makala yake ya kujitegemea. Nitafanya hivi kwa sababu si busara kuelezea lengo namba saba pekee wakati malengo mengine hayafahamiki. Vile vile ni kwamba kufanikiwa kwa lengo moja basi ni njia ya mafanikio ya kuyafikia malengo mengine pia. Malengo haya yamewekewa viashiria, kujua kama yanatekelezeka ama la! Tafsiri kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili ni yangu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;YAFUATAYO NI MALENGO YA MAENDELEO YA MILENIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;1. Kupunguza Umasikini Uliokithiri pamoja na Njaa&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ndani ya lengo hili kuna malengo madogo mawili. Kwanza ni kupunguza hadi kufikia nusu, kwa kwa idadi ya watu ambao wanaishi kwa chini ya kiwango cha dola moja kwa siku, kati ya mwaka 1990 na 2015. (Kwa wakati huu, dola moja ya Kimarekani ni karibu sawa na shilingi 1200 za Kitanzania). Pili, ni kupunguza kwa zaidi ya nusu kwa idadi ya watu wasio na chakula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;2. Elimu Ya Msingi Kwa Wote&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuhakikisha kuwa hadi mwaka 2015 mahali popote pale, watoto, kwa maana ya wasichana kwa wavulana wawe na uwezo wa kuhitimu elimu ya msingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;3. Kukuza Usawa wa Kijinsia na Kuwawezesha Wanawake&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Lengo ni kuondoa tofauti za kijinsia katika shule za msingi na sekondari hadi mwaka 2005 na katika nyanja zote kabla ya mwaka 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;4. Kupunguza Vifo Vya Watoto Wachanga&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Lengo ni kupunguza kwa theluthi mbili, idadi ya vifo vya watoto walio katika umri wa hadi miaka mitano, kati ya mwaka 1990 na 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;5. Kuboresha Afya za Akina Mama&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Lengo ni kupunguza kwa hadi robo tatu, idadi ya vifo vya wanawake wazazi, kati ya mwaka 1990 na 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;6. Kukabili Virusi Vya Ukimwi/Ukimwi na Magonjwa Mengine Makuu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Lengo la kwanza ni kupunguza na kuukabili Ukimwi na kubadili mwelekeo wake ifikapo mwaka 2015. Lengo la pili ni ni kukabili na kutokomeza malaria na magonjwa mengine makuu hadi kufikia mwaka 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;7. Kujihakikishia Uendelevu wa Mazingira&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Hapa kuna malengo matatu madogo. Lengo la kwanza hapa ni kuingiza misingi ya maendeleo andelevu katika sera na mipango ya mataifa mbali mbali na kubadili mwelekeo na upotevu wa rasilimali. Lengo la pili ni kupunguza hadi nusu kwa idadi ya watu wasio na maji safi ya kunywa na huduma za maji taka. Lengo la tatu ni kuboresha makazi ya watu angalau milioni mia moja hadi kufikia mwaka 2020.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;8. Kuanzisha Ushirikiano wa Kimaendeleo Duniani&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Hapa kuna malengo mawili madogo. Kwanza, ni kujenga misingi ya utawala wa sheria na inayotabirika na isiyo na ubaguzi katika mifumo ya biashara na fedha. (Hii inahusisha pia kujifunga na misingi ya utawala bora, maendeleo na kupunguza umasikini, kitaifa na kimataifa). Pili, ni kuyapa kipaumbele mahitaji ya nchi masikini sana duniani (hii inahusisha kuondoa vikwazo katika masoko huru na usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi. Pia kupunguza (ama kuondoa kabisa) madeni ya nchi hizi masikini na kutoa misaada kwa nchi ambazo zinaonyesha mwelekeo wa kuondoa umasikini).&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;a href="http://www.unicnairobi.org/Kiswahili_Docs/mdgs_swahili.doc"&gt;Unaweza Kuyasoma zaidi Malengo hayo Hapa&lt;/a&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo ndugu msomaji wa makal hii, haya ndio malengo ya milenia yaliyoazimiwa mwaka 2000.&lt;br /&gt;Katika makala ijayo, nitawaleteeni mjadala wa kiundani wa malengo kadhaa, tukianzia na lengo namba saba.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115876926777933699?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115876926777933699/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115876926777933699&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115876926777933699'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115876926777933699'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/09/yajue-malengo-ya-maendeleo-ya-milenia.html' title='YAJUE MALENGO YA MAENDELEO YA MILENIA'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115771527151642032</id><published>2006-09-08T13:49:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:17:56.508+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>KIJANI, NJANO NA MAZINGIRA!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ndugu wasomaji wa blogu hii, leo naleta kwenu wazo jipya ama mjadala mpya. Kama kawaida yetu, ni jadi kuwa mtu akitoa wazo basi nasi tunapata wasaa wa kuchangia mawazo yetu, aidha kwa kuboresha ama kukosoa. Kwa hiyo basi, kwa leo nitaongelea rangi za kijani na njano, ambazo kwa siasa za nchi yetu si rangi ngeni hata kidogo, lakini leo ni siasa za kijani na njano katika upande wa mazingira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MADA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa wakereketwa wa siasa za nchi yetu, kijani na njano ni rangi za bendera ya chama tawala na pia ni mbili kati ya rangi nne za bendera ya taifa letu. Kwa ujumla rangi hizi kwa bendera zote mbili huwakilisha utajiri wa maliasili vikiwemo mimea, wanyama na madini yapatikanayo nchini mwetu. Huo ndio ufafanuzi uliowekwa yakini na serikali na chama kwa bendera hizo. Kwangu mimi, rangi hizi ni zaidi ya hapo, na humaanisha mambo mengine pia. Kwa wanachama wa chama tawala, wao huadhimisha kuzaliwa kwa chama chao kila mwaka tarehe tano mwezi wa pili. Aghalabu sherehe hizi huwa na shamra shamra nyingi zikiambatana na upokezi wa wanachama wapya na uzinduzi wa matawi mapya ya chama. Kwa mujibu wa takwimu rasmi, chama tawala nchini mwetu kina idadi ya wanachama rasmi wasiopungua milioni tano, nje ya mashabiki. Si haba, kwa nchi ya vyama zaidi ya kumi vya siasa na watu milioni thelathini na tano.&lt;br /&gt;Kwa maana hiyo basi, nafikiri katika shamra shamra hizi wanachama hawa hupata wasaa wa kubadilishana mawazo na kuelimishana. Ni bora pia wakaelimishana maana ya rangi za bendera za chama chao kama hawajaelezwa, hasa kwa wanachama wapya. Pia, ni bora wakaelimishwa matumizi sahihi ya rangi hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;WAZO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Iwapo kila mwaka katika tarehe tajwa hapo juu wanachama wangekumbushwa (au kuelimishwa?) namna ya kutunza ukijani popote pale walipo, basi katika suala zima la mazingira tungekuwa mbali sana. Hebu chukua mfano, kila mwanachama kati ya hawa milioni tano (acha mashabiki) alazimike kupanda miti miwili tu mahali panapostahili, katika kumaanisha ukijani wa bendera ya chama chake, basi kwa mwaka tunakuwa na miti milioni kumi! Si suala dogo wala porojo, na hii ni kwa siku moja tu kwa mwaka mzima. Ukichanganya na miti tunayopanda kila Januari, basi tungekuwa tunasikia kwa mbali sana suala la ukame na kukauka kwa vyanzo vya maji.&lt;br /&gt;Lakini, hata si kwa kupanda miti, basi iwe ni kuokota taka na kuzihifadhi mahali panapostahili ili kutunza ukijani, nadhani bustani nyingi sana mijini zingekuwa kijani sana hadi sasa, badala ya kuzungushia uzio kila mahali penye bustani ili watu wasikanyage bustani zetu. Ni suala la elimu na utashi tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwani haiwezekani?&lt;br /&gt;Jadili&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115771527151642032?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115771527151642032/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115771527151642032&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115771527151642032'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115771527151642032'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/09/kijani-njano-na-mazingira.html' title='KIJANI, NJANO NA MAZINGIRA!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115702872639807909</id><published>2006-08-31T15:46:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:02:30.528+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>TUJIFUNZE TOKA KWAO</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mu hali gani wasomaji wa blogu hii?&lt;br /&gt;Kama nilivyodokeza siku zilizopita, nipo kaskazini mwa dunia yetu, hususan nchini Norway. Kwa ujumla muda huu ndio majira ya joto yanamalizika kwa huku, muda si mrefu tutakabiliana na baridi na barafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HALI YA HEWA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida, hapa mahali naambiwa na wenyeji kuwa mvua haina msimu maalum, inanyesha wakati wowote (nafikiri ni kwa sababu ya misitu mingi) na kuwa karibu na bahari. Kwa kawaida wakati wa baridi joto hushuka hadi nyuzi -28 hadi -32 kulingana na maeneo. Na kuna wakati fulani (kama sasa) jua linazama muda wa saa 2.30 hadi saa 3.30 usiku kwa saa za hapa. Na kuna maeneo ya kaskazini mwa nchi ambapo jua huwa halizami kabisa kwa baadhi ya miezi, kwa hiyo ni suala la kuangalia saa tu katika kufanya mambo yako. Kwa mfano, wakati nasafiri kwa ndege toka Uholanzi kwenda Oslo, ilikuwa saa 4 kasoro usiku na jua lilikuwa likiwaka!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTUNZAJI WA MAZINGIRA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Nchi hii ina watu milioni 5 tu na nadhani robo ya hawa ni wahamiaji, kwa hiyo maeneo mengi ni misitu na nyumba chache sana. Kwa maana hii basi, basi wengi hujazana katika miji mikubwa kama Oslo, Trondheim, Stavanger na Bergen, kwa hiyo uharibifu wa mazingira si kwa kiasi kikubwa. Hali kadhalika, nishati kubwa zitumikazo huku ni mafuta na umeme, ingawa kuni hutumika mara chache sana kwa ajili ya kuzalisha joto katika baadhi ya nyumba wakati wa majira ya baridi. Hata hivyo wengi hutumia mitambo ya kuzalisha joto itumiayo umeme. Ukataji miti upo, hasa miti ya kupandwa, kwa ajili ya kuzalisha mbao na bidhaa nyingine za namna hiyo, na ukiwa katika jiji hili utakutana na magari mengi tu ambayo yanapakia magogo kupeleka viwandani. Kwa ujumla, hawa watu wamedhibiti vumbi kwa kiasi kikubwa wakisaidiwa na hali ya hewa (mvua za mara kwa mara na misitu), tofauti na kwetu ambapo kuna vumbi kila karibu kila mahali. Kwa hapo Tanzania, naweza kufananisha mitaa ya huku na ile ya jiji la Dar es Salaam kama vile barabara ya Haile Selasie, Garden, Shaaban Robert na Magogoni, kwa maana ya kwamba njia zote zina lami, mpaka njia za waenda kwa miguu.&lt;br /&gt;Kuna udhibiti mkubwa wa vyombo vya majini, hasa kuhusu umwagaji wa mafuta na taka nyingine. Kwa watu niliowahoji, wanasema kuwa kuna adhabu kali sana iwapo mtu atakutwa anatupa taka majini, kwa kuwa kuna maeneo mengi sana hapa mahali ya kukusanyia taka. Hata hivyo taka hizi hutengwa kulingana na aina zake, kwa maana ya kwamba, kunakuwa na mapipa kama matatu katika eneo moja. Haya hukusanya taka za namna mbalimbali kila pipa peke yake, yaani kuna pipa la makopo ya maji na bia, pipa la masalia ya vyakula na pipa la taka ngumu kama za plastiki. Pamoja na udhibiti huo bado kuna wavunja sheria vile vile, ambao hutupa taka mahali popote watakapo na hawajali lolote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;USAFIRI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuna mpangilio mzuri sana wa njia za usafiri hapa mahali, na hakuna misururu kama ile ya jiji kubwa hapo nyumbani. Kwa mfano, nyakati za asubuhi kunakuwa na treni katika njia (reli) zaidi ya kumi katika stesheni kuu ambazo husafirisha abiria kwenda miji mbali mbali katika kazi na nyingi ya hizi hupita chini ya ardhi kwa baadhi ya maeneo. Kila baada ya dakika zisizozidi 7 treni hutoka stesheni kuu kwenda mahali fulani. Kwa mfano, mimi naishi Oslo na nafanya kazi mji wa Lysaker, inanichukua dakika kama kumi na tatu tu kufika kazini, umbali kama wa kilometa 30 hivi. Hali kadhalika kuna treni zinazopita katikati ya jiji katika mitaa mbali mbali, hizi zenyewe ni kwamba, reli zake zimepitishwa katikati ya lami, kwa hiyo magari na treni huchangia njia. Hizi ni nyingi kuliko nilizotaja hapo juu. Hali kadhalika kuna mabasi mengi sana makubwa katikati ya jiji, yanayosafirisha watu kutoka na kuingia jijini Oslo. Naweza kusema hizi ndio &lt;strong&gt;dala dala&lt;/strong&gt; za huku. Pamoja na uwingi huu, ukichanganya na magari binafsi hakuna misururu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KWA NINI HAKUNA MISURURU?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, mpangilio wa mji ni mzuri sana, kuna njia nyingi sana kwa hiyo haimlazimu mtu kupita njia moja na kuna njia nyingi ambazo hupita juu ya nyingine (fly overs) kama lilivyo daraja la Manzese, na kati ya hizi kuna nyingine ni ndefu kwa kilometa kadhaa. Hali kadhalika kuna barabara zipitazo katika mahandaki, nazo ni nyingi pia.&lt;br /&gt;Pili, jiji la Oslo ni kwa ajili hasa ya makazi na ofisi chache muhimu. Kwa maana hiyo basi, viwanda vingi vipo nje ya jiji hili, ambapo huwalazimu wafanyakazi kusafiri toka jijini hapa kwenda nje ya jiji kikazi, kwa hiyo basi huu ni mfumo wa kwenda na kurudi (two way), tofauti na nyumbani, ambapo asubuhi na jioni misururu huwa ya namna moja (mara nyingi) hasa wakati wa kwenda na kurudi kazini.&lt;br /&gt;Tatu, kuna kundi kubwa la watu ambao hutumia baiskeli kwenda kufanya kazi zao ndani na nje ya jiji. Na kusema kweli baiskeli ni nyingi mno hapa mahali (kama Tanga au Morogoro vile) hadi zinakuwa kero. Nafikiri ni nyingi kutokana na utambarare wa jiji na hali ya hewa ya baridi, kwa hiyo mtu hachoki sana. Hizi nazo husaidia sana kupunguza misururu barabarani (nilishawahi kuongelea suala hili katika baadhi ya makala zangu zilizopita).&lt;br /&gt;Kuna mengi sana ya kuongelea lakini kwa leo naishia hapa.&lt;br /&gt;Nitaendelea kutafiti mambo mengine zaidi na kuwajulisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wao wameweza wana nini? Na sisi tushindwe kwa nini? Kuna nini katikati hapa?&lt;br /&gt;Jadili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115702872639807909?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115702872639807909/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115702872639807909&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115702872639807909'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115702872639807909'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/08/tujifunze-toka-kwao.html' title='TUJIFUNZE TOKA KWAO'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115582718465712398</id><published>2006-08-17T18:01:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T13:01:25.055+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Blogu'/><title type='text'>NIKO UPANDE WA PILI WA KIJIJI CHETU</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/2124/3000/1600/329456/DSC01398.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="http://photos1.blogger.com/x/blogger/2124/3000/320/463860/DSC01398.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/x/blogger/2124/3000/1600/654641/DSC01395.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mu hali gani wana blogu wenzangu?&lt;br /&gt;Mimi mzima kabisa na kwa sasa nablogu tokea upande wa pili wa dunia, ambayo tunasema kuwa sasa ni kama kijiji. Sasa basi, mimi nipo upande wa kaskazini wa kijiji chetu (dunia). Nipo jijini Oslo nchini Norway. Nitaendelea kublogu tu hata huku, pamoja na kwamba majukumu ni mengi kazini. Nitawagawia kile nitakachojifunza huku bila choyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115582718465712398?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115582718465712398/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115582718465712398&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115582718465712398'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115582718465712398'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/08/niko-upande-wa-pili-wa-kijiji-chetu.html' title='NIKO UPANDE WA PILI WA KIJIJI CHETU'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115271142554957472</id><published>2006-07-12T16:35:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:14:30.251+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'></title><content type='html'>&lt;strong&gt;MFUMO IKOLOJIA NI NINI?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Utangulizi&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa maelezo rahisi&lt;strong&gt;,&lt;/strong&gt; mfumo ikolojia ni namna ya maisha katika eneo fulani ambapo viumbe wa aina mbali mbali ikiwa ni pamoja na wanyama na mimea hutegemeana, aidha kwa chakula ama hifadhi au vyote kwa pamoja. Mfumo huu wa maisha hushirikisha viumbe wote waliopo katika eneo husika, kuanzia wale wakubwa wanaoonekana kwa macho hadi wale tusioweza kuwaona kwa macho. Mmoja wa wanasayansi wanzilishi wa nadharia hii ni mwanasayansi wa Uingereza Bwana Arthur Tansley (1871- 1955). Yeye ni kati ya watu ambao walifanya kazi kubwa sana ya utaifi katika kuweka utambuzi wa mifumo ikolojia. Tuchukue mfano wa kitu kama dimbwi la maji. Katika dimbwi, kunaweza kuwa na viumbe hai wa namna mbali mbali waliopo pale kama vile vyura, viluwiluwi, mbu, utando wa mwani, bakteria na viumbe wanaofanana na hao. Katika mfumo kama huu, unaweza kukuta kuwa viluwiluwi hula mwani, na vyura hula mbu wanaotafuta maeneo ya kutagia mayai katika dimbwi husika. Mbu nao huhitaji hifadhi katika dimbwi kwa mazalio yao. Ni kwa namna hii basi tunaona kuwa kunakuwa na kutegemeana kwa viumbe hai hawa, ikiwa wote hutaji dimbwi hili kwa namna mbali mbali. Jitihada zozote za mwanadamu katika kuliharibu dimbwi hili, ni kuharibu mfumo mzina na mustakabali wa viumbe hai waliopo pale.&lt;br /&gt;Tupate mfano mwingine wa mfumo ikolojia. Tuchukue mfano wa msitu mdogo au kichaka. Katika kichaka kunaweza kuwa na viumbe kama panya, nyoka, bakteria, mimea mikubwa na midogo, mashimo, wadudu wa namna mbali mbali pamoja na minyoo. Katika mazingira kama haya, kwa namna moja au nyingine viumbe hai hawa watategemeana, aidha kwa hifadhi au chakula, au vyote. Kuondolewa kwa kiumbe kimoja katika mfumo huo no kuhatarisha mustakabali wa viumbe wengine ambao hutegemea kuendesha maisha yao kutokana na kiumbe huyo. Mfano, katika kichaka, kuondolewa kwa panya kunaweza kuwa na athari kwa nyoka ambao hutegemea panya kama chakula chao, Koundolewa kwa mimea kunaweza kuathiri wadudu ambao hutegemea mimea hio kwa hifadhi na lishe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;FAIDA ZA MFUMO IKOLOJIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kama tulivyoona katika mifano hiyo hapo juu, kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kiumbe na kiumbe. Kutoweka kwa kiumbe mmoja kunaweza kuwa na athari kwa viumbe waliosalia katika mfumo huo. Katika mfumo huu mwanadamu hajasahaulika, na ndio chanzo kikuu cha athari zilizo nyingi katika mifumo ikolojia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Faida&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Husaidia uwepo wa viumbe mahali mbali mbali. Mfano nyuki huchavusha maua katika kujitafutia chakula chake (chavua) na hivyo hufanya maua yasitawi vizuri. Maua haya huzaa matunda ambayo ni chakula cha viumbe wengine ambao ni pamoja na wanadamu. Kwa hivyo basi, bila nyuki na jamii nyingine za wadudu kama vipepeo,hatuwezi kuwa na uchavushaji. Mfano mwingine, mimea hupumua hewa ya oksijeni ambayo ni muhimu sana kwa maisha ya wanyama, na hali kadhalika wanyama hupumua hewa ya kaboni dayoksaidi ambayo husaidia uhai wa mimea. Kwa hivyo basi, bila mimea wanyama hawana maisha, na bila wanyama mimea haiwezi kuishi. Ni katika mazingira haya basi kuna utegemeano wa viumbe hai, kwa hiyo kutoweka kwa kiumbe hai kimoja kunaweza kuwa na athari kwa viumbe hai wengine ambao kwa namna moja au nyingine hutegemea uwepo wa kiumbe hicho. Kuna mifano mingi sana ya kutegemeana kwa viumbe hai, ambapo nafasi hii haitoshi kuelezea kila kitu, isipokuwa tu tuelewe kuwa viumbe hai wanategemeana sana kwa kila hali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;WAJIBU WETU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ni wajibu wetu kuhakikisha kuwa tunalinda viumbe hai kwa kila hali, ili tusiweze nasi kuathirika, kwani wao wakiathirika nasi twaathirika pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je unachukua hatua gani kuhakikisha viumbe hai wanaokutegemea wanaishi salama?&lt;br /&gt;Jadili...&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115271142554957472?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115271142554957472/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115271142554957472&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115271142554957472'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115271142554957472'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/07/mfumo-ikolojia-ni-nini-utangulizi-kwa.html' title=''/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115148604321471219</id><published>2006-06-28T12:05:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:13:55.496+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>UNAFAHAMU WALINZI HAI WA MAZINGIRA?</title><content type='html'>U hali gani msomaji wa blogu hii.&lt;br /&gt;Katika mada ya leo, nataka kukufahamisha kitu muhimu sana katika suala zima la athari za uharibifu wa mazingira, na mustakabali wake katika viumbe hai. Nataka kuongelea kitu kinachitwa &lt;em&gt;&lt;strong&gt;bioindicators.&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt; Mimi naita viashiria, (&lt;em&gt;nitashukuru kama nitapata tafsiri ya kiswahili sanifu ya jina hilo&lt;/em&gt;)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;br /&gt;&lt;em&gt;Hiki ni Kitu gani?&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Hizi ni jamii za mimea au wanyama (wanyama ni pamoja na wadudu) ambazo huashiria uharibifu mazingira ya sehemu fulani, katika uso wa dunia. Viumbe hawa, huwa katika mfumo-ikolojia wa eneo fulani. Iwapo kunakuwa na mabadiliko katika hali ya mazingira ya mahali walipo, ambayo si ya kawaida, basi viumbe hawa huonyesha mabadiliko fulani, aidha katika mfumo wao wa lishe, maumbo, kibiolojia au wa kitabia. Kila kiumbe kina aina yake ya tahadhari ya uharibifu huu wa mazingira, iwe ni mimea au wanyama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KAZI ZA VIUMBE HAO (BIOINDICATORS)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Viumbe hai hao wana kazi kubwa kadhaa katika suala zima la ulinzi wa mazingira. Kwanza, hutoa utambuzi wa uharibifu wa mazingira katika eneo fulani walipo. Pili, hutoa taarifa za uvamizi wa kitu ambacho si cha kawaida katika eneo husika kutokana na uharibifu ambao unatokea. Tatu, hutoa taarifa juu ya hali ya usafi wa mazingira wa eneo husika na nne, hutumika kufanya majaribio ya hali ya usafi wa maji, kama yamechafuliwa au la.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;VIASHIRIA-MIMEA (&lt;em&gt;PLANT INDICATORS&lt;/em&gt;)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika utafiti makini wa kisayansi, kuwepo au kutokuwepo kwa jamii fulani ya mimea katika maeneo fulani, huweza kutoa taarifa muhimu sana juu ya athari za kimazingira zinazotokea katika eneo hilo. Tuchukulie mfano wa mimea fulani midogo sana ya kijani "lichens", inayoota kama utando katika miamba na miti yenye unyevu nyevu . Hii mara nyingi hupatikana katika misitu. Mimea hii huweza kubadilika haraka sana iwapo kuna mabadiliko yasiyo ya kawaida katika msitu, kama vile mabadiliko ya hali ya hewa, ukame na mfumo wa hali ya hewa ya msitu husika. Kutokomea kwa mimea hii katika eneo husika inaweza kuwa ni kiashiria cha hali tete ya uharibifu wa kimazingira kama vile uwingi wa hewa ya naitrojeni, madini ya oksaidi ya salfa au vichafuzi vingine vya jamii ya salfa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;VIASHIRIA-WANYAMA (&lt;em&gt;ANIMAL INDICATORS&lt;/em&gt;)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Viumbe hai wadogo wadogo, wasioonekana kwa macho, huweza kuwa viashiria vya athari za mazingira, iwe ni katika maji au nchi kavu. Viumbe hawa wana uwezo wa kuzalisha protini mpya katika miili yao, ili kujikinga na athari mbaya za uharibifu wa mazingira, iwapo kunakuwa na vitu visivyo vya kawaida vinavyochafua mazingira yao. Protini hizi, huweza kuwa ni dalili za tahadhari, kuwa kuna uharibifu fulani katika mazingira walipo viumbe hao. Wanyama wengine hubadili matabaka ya miili yao, ili kujilinda na athari hizi. Hivyo basi, wataalamu wanapoona mabadiliko yasiyo ya kawaida katika maisha ya wanyama hawa, huweza kutambua uharibifu uliopo katika mazingira ya eneo husika na kuchukua hatua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MATUMIZI YA VIASHIRIA HIVI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kama tulivyoona hapo juu, viumbe hai viashiria hubadilika hali zao kunapokuwepo na mabadiliko katika mazingira walipo. Hata hivyo mabadiliko haya hutofautiana kati ya viumbe hawa. Mifumo hii ya kijenetiki, hutumika sana katika kutunza maliasili, kwa kujua mabadiliko katika hali za viumbe hai katika misitu. Ni rahisi kwa kiasi fulani kujua mabadiliko katika mifumo-ikolojia ya maeneo fulani kwa kutumia viumbe hawa. Uchafuzi wa maji pia huweza kugundulika kwa kutumia viumbe hai hawa, hasa kunapokuwa na madini kama &lt;em&gt;'cadmium&lt;/em&gt; au &lt;em&gt;benzene' &lt;/em&gt;katika maji. Iwapo kunakuwa na madini haya katika maji, miili ya viumbe hai viashiria huwa na mabadiliko yasiyo ya kawaida. Madini haya si salama kwa matumizi ya binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyura, pia ni kati ya viumbe hai ambao hutumika mara kwa mara na wanasayansi katika kugundua athari za uharibifu wa mazingira. (&lt;em&gt;kama una kumbukumbu nzuri, utakumbuka suala la vyura wa Kihansi Morogoro, walipoathirika kwa kukosa kiasi fulani cha maji ambacho ni muhimu kwa maisha yao, baada ya mradi wa umeme kutumia maji mengi kuliko kawaida&lt;/em&gt;). Kuna sababu kadhaa za mabadiliko ya maisha ya vyura, hasa kunapokuwa na uharibifu wa mazingira yao kwa namna fulani. Vyura hutaga mayai katika maji, hivyo muda wao mwingi huutumia katika maji. Hutaga mayai yaliyo wazi (nje) hivyo hutegemea maji kuyaangua. Wana ngozi ambayo kwa kiasi fulani hupitisha maji, hivyo huweza kuhisi mabadiliko mara moja. Ilishatokea pia katika Ziwa Manyara mkoani Manyara, kuwa kulikuwa na mabadiliko katika mtiririko wa maji. Mimea jamii ya mwani (algae) iliathirika, na ndege jamii ya korongo na heroe ambao hutegemea mimea hiyo kwa lishe yao pia waliathirika. Hii ni mifano michache tu, lakini kuna viumbe wa namna nyingi ambao hutumika kugundua athari za mazingira kwa maeneo mbali mbali hapa duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TUFANYE NINI?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Hatuna budi kuangalia kwa makini shughuli zetu, ambazo nyingi ya hizo si rafiki wa mazingira, kama vile uchomaji wa misitu, uchimbaji na usafishaji wa madini kwa kutumia kemikali zenye athari kwa mazingira. Ni vizuri tukazalisha, lakini pia ni vema kuangalia mustakabali wetu na viumbe wengine ili tusiwaathiri na tusijiathiri sisi wenyewe. Viumbe hai viashiria, ni watoa taarifa wazuri wa athari tunazofanya, hivyo tuangalaie upya namna nzuri ya kutumia rasilimali zetu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115148604321471219?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115148604321471219/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115148604321471219&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115148604321471219'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115148604321471219'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/06/unafahamu-walinzi-hai-wa-mazingira.html' title='UNAFAHAMU WALINZI HAI WA MAZINGIRA?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115037960704200384</id><published>2006-06-15T16:47:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:15:56.561+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>SERIKALI NA MIFUKO YA PLASTIKI "RAMBO"</title><content type='html'>&lt;em&gt;&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;Hivi karibuni, yaani tarehe 15 Juni 2006, waziri wa fedha mheshimiwa Zakhia Hamdani Meghji aliwasilisha bajeti ya matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2006/2007 katika kikao cha bajeti cha bunge la Tanzania. Kama ilivyo kawaida, wengi wetu tulihamishia usikivu wetu Dodoma kusikiliza yale tuliyoandaliwa kwa mwaka wa fedha ujao. Kwa mtazamo wa wengi ni kwamba bajeti hii ina afadhali ukilinganisha na iliyopita, kwa kuwa imekumbuka maeneo mengi muhimu, kama vile kupunguza kodi katika mafuta, kuongeza ruzuku kwa pembejeo za kilimo na kuongeza mishahara ya watumishi. Ni mengi yanavutia katika bajeti ya mwaka huu, lakini kama ilivyo ada watu tunatofautiana katika mawazo. Kuna wanaopinga kuwa bajeti haijafanya lolote katika kumuinua mtu wa kipato cha chini. Maneno haya tumeyasikia mahali pengi hasa kutoka kwa wanasiasa maarufu, lakini ni haki yao kusema hivyo, kwani katiba inamruhusu kila mtu kutoa maoni yake kadri anavyotaka.&lt;br /&gt;Kwa upande wangu, nilivutiwa na kipemgele cha kuongeza kodi katika mifuko laini ya plastiki, maarufu kama &lt;strong&gt;&lt;em&gt;'rambo'&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt; kutoka 15% hadi 120%, naunga mkono kodi hii, na ndio suala ambalo nimeliweka katika mjadala moto hapa mahali.&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;AINA ZA MIFUKO YA RAMBO&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mifuko ya rambo hutengenezwa kwa plastiki laini aina ya &lt;em&gt;Low Density Polyethylene (LDP)&lt;/em&gt;. Kuna mingine ambayo hutengenezwa kwa plastiki ngumu aina ya &lt;em&gt;High Density Polyethylene&lt;/em&gt; &lt;em&gt;(HDP),&lt;/em&gt; lakini hii si maarufu sana kama ile laini. Tofauti rahisi ya aina hizi za mifuko ni kwamba, mifuko laini haipigi kelele inapopapaswa na ile migumu hupiga kelele. Hii ndio tofauti rahisi na ya wazi ambayo mtu wa kawaida hutumia kutofautisha aina hizi. Lakini hata katika mfumo wa kikemikali, bidhaa zitumikazo kutengenezea aina hizi za mifuko hutofautiana. Tofauti hii ni kwamba, malighafi itumikayo kutengenezea mifuko laini haiwezi kurejeshwa katika hali yake ya awali kwa sababu wakati wa utengtenezaji wake, hufanyika badiliko la kikemia (chemical Change) badala ya badiliko la kiumbo (physical change) ambalo ni rahisi kugeuza na kutengeneza kitu kingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;MATUMIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;Ingawa kwa kiasi kikubwa matumizi hufanana, kuna tofauti ndogo ndogo. Mara nyingi mifuko laini ni midogo kwa muundo na myepesi, kwa hio haitumiki kubeba vitu vizito, tofauti na ile migumu ambayo hutumika kubebea vitu vizito. Kwa mfano, mara nyingi, watunza bustani za miti hutumia mifuko migumu katika kuotesha miti kwa kuwa hudumu kwa muda mrefu tofauti na ile laini ambayo huharibika ndani ya muda mfupi. Kuna matumizi ya aina mbali mbali ya mifuko hii kadri mtu atakavyotaka, na niliyotaja hapo juu ni baadhi tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;ADHA ZA MIFUKO HII&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mifuko ya rambo imekuwa ikipigiwa kelele sana sehemu mbali mbali kuwa inachafua mazingira, kutokana na utaratibu wetu mbovu wa utupaji wa taka. Mifuko hii hupatikana kwa bei rahisi sana, na wakati mwingine hutolewa bure kabisa baada ya mtu kununua bidhaa. Mara nyingi mifuko hii huzagaa mahali pengi kutokana na kutoitupa katika mahali stahili. Suala hili limekuwa sugu, kwa nafikiri ndio sababu imeamua kupandisha kodi yake kutoka asilimia 15 hadi 120! (rejea Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2006/07 ukurasa wa 45). Hali kadhalika, mifuko hii mara nyingi hutumika kubebea vyakula kwa hiyo huwa na masalia ya vyakula wakati fulani. Ndege wa jamii mbali mbali, hasa jamii ya kunguru huiokota na kuisambaza kila mahali, katika harakati zao za kujitafutia riziki, kiasi cha kuleta kero. Vivyo hivyo, wakati wa mvua mifuko hii hukusanyika pamoja na taka nyingine na kuziba mitaro ya kupitisha maji taka. Hali hii husababisha maji kutuamac na kuleta harufu mbaya. Maji haya ni mazalio mazuri ya mbu waletao malaria. Ni maji haya haya ambayo yanaleta kipindupindu kisichoisha katika baadhi ya miji yetu. Mifuko hii imesambaa sana katika barabara zote kuu na kuchafua maeneo ya kando ya barabara hizo, hasa ziendazo mikoani. Hii ni kutokana na baadhi ya mabasi yasafirishayo abiria kutokuwa na utaratibu wa ukusanyaji wa taka katika mabasi yao, ili ziweze kutupwa mahali stahili. Mifuko hii, haiozi kirahisi ifukiwapo, hivyo husababisha usumbufu mara eneo husika linapotumiwa kwa matumizi mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;UTATUZI WA ADHA HIZI&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuna namna nyingi sana endelevu za kuweza kukabiliana na suala zima la uchafuzi wa mazingira hasa suala la kutupa taka ovyo. Kwanza, inabidi tuwabane wasafirishaji wa abiria hasa wa masafa marefu, ambao kwa namna moja au nyingine hulazimika kusimama njiani ili kupata chakula. Hawa ndio chanzo kikuu cha kusambaa kwa mifuko laini njiani. Nasema hivi kwa sababu, muda wa dakika kumi hadi kumi na tano wanazotoa kwa ajili mapumziko na chakula hazitoshi, hivyo abiria hulazimika kunuua chakula na kula ndani ya gari na kutupa mifuko laini njiani, mara baada ya kumaliza kula. Tuwabane ili wawe na sehemu za kuhifadhia taka katika mabasi yao. Suala hili linawzekana, na linafanya kazi. Kama huamini, tembelea mbuga ya wanyama ya Mikumi, uone walivyo wakali kuhusu kutupa mifuko na na chupa za maji katika maeneo yao.&lt;br /&gt;Suala lingine, ni kutoa elimu ya uhifadhi wa mazingira, hasa kwa watu wa mijini kuhusu namna ya kutupa taka ngumu mahali panapotakiwa. Inashangaza sana kuona kuwa watu hutupa mifuko laini na taka nyingine ngumu chini au pembeni ya pipa la taka wakati pipa liko hapo hapo. Hawa wanahitaji kuelimishwa kama si kuadhibiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;MIFUKO MBADALA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;Pamoja na serikali kuchukua hatua katika kudhibiti usambaaji wa mifuko laini, kuna kundi kubwa la watu ambao wameona kuwa serikali haijawatendea haki kabisa. Baadhi yao ni wafanyabiashara waagizao mifuko hii toka nje ya nchi, na wasambazaji wao waliopo mahali mbali mbali hapa nchini. hata hivyo ningependa kutoa ushauri kwao, na kwa wengine. Ushauri huu ni kuwa, tuanze kutumia mifuko mbadala ambayo ni rafiki wa mazingira. Kwanza tutumie mapakacha. hii ni mifuko ya asili inayotengenezwa kwa makuti (majani ya minazi na michikichi). hufaa sana kubebea bidhaa za namna anuwai kama vile matunda, nazi viazi na kadhalika. ikifukiwa, mifuko hii huoza na kusababisha mbolea. Pili, tutumie bidhaa zinazotengenezwa kwa ukindu na mimea ya jamii yake. Hufaa saa kwa matumizi ya namna mbali mbali na tukiitumia tutakuwa tunakuza uchumi wa nchi kwa kuwaongezea kipato watengenezaji wake. tatu, tutumie mifuko ya karatasi za kawaida kama vile mifuko ya khaki. Mifuko ya namna hii huoza mara inapofukiwa (biodegradable), hivyo haiathiri mazingira. Pia kuna mifuko inayotengenezwa kwa nyuzi za &lt;em&gt;'Jute&lt;/em&gt;'. Jute ni malighafi itumikayo kutengeneza magunia. Mifuko hii ya jute ilikuwa maarufu sana siku za nyuma, kabla ya ujio wa rambo na ilikuwa na msaada mkubwa sana. Kwa sasa imeanza kurudi sokoni, kwa hiyo hatuna budi kuitumia kwa wingi. Kuna mifuko ya namna nyingi ambayo inaweza kutumika badala ya mifuko laini ya plastiki, ni suala la uamuzi na utashi tu.&lt;br /&gt;Inawezekana kufanya mabadiliko. Je uko tayari?&lt;br /&gt;Jadili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115037960704200384?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115037960704200384/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115037960704200384&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115037960704200384'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115037960704200384'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/06/serikali-na-mifuko-ya-plastiki-rambo.html' title='SERIKALI NA MIFUKO YA PLASTIKI &quot;RAMBO&quot;'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115019169663264837</id><published>2006-06-13T12:31:00.000+03:00</published><updated>2008-12-11T06:44:15.585+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>UNG'OAJI WA MIANZI MKOANI IRINGA: NI SAHIHI?</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RmVQ1bT4EPI/AAAAAAAAABE/gHChYyqqdyc/s1600-h/bamboo1.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5072549434097144050" style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; CURSOR: hand" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RmVQ1bT4EPI/AAAAAAAAABE/gHChYyqqdyc/s320/bamboo1.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ndugu wanablogu wenzangu, nimesoma &lt;a href="http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2006/06/07/67934.html"&gt;makala&lt;/a&gt; ya Bw Johnson Mbwambo ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za mazingira Tanzania, ambayo ilitoka katika gazeti la Nipashe tarehe saba mwezi Juni. Ilinivutia na kunishitua kidogo, lakini nikaona niisome na kutoa maoni yangu kuhusu utaratibu mzima wa Serikali ya Mkoa wa Iringa kuhusu mpango wa kung'oa mianzi katika vyanzo vya maji. Yeye Bw Mbwambo ameandika makala kutokana na mahojiano aliyofanya na viongozi wa Mkoa wa Iringa juu ya uamuzi wa serikali na NGO katika mkoa wa Iringa, wa kutaka mimea jamii ya mianzi iliyo katika vyanzo vya maji ing'olewe, kwa kuwa si rafiki wa mazingira, kwa maana ya kwamba inakausha vyanzo vya maji. Ningependa kuongelea masuala machache muhimu katika makala yake hiyo isemayo "Operesheni ya kung'oa mianzi yapamba moto mkoani Iringa" .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MIANZI NI NINI?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Hii ni jamii ya mimea ambayo wataalamu wa elimu-mimea wameiweka katika kundi la majani yanayotoa maua, na si miti. Hii inatokana na jamii nyingi za mianzi kuwa na sifa za majani zaidi kuliko miti. Mianzi hupatikana duniani kote, lakini hutofautina kutokana na tofauti ya hali ya hewa ya sehemu mbali mbali. Mianzi ya kitropiki ni tofauti na ile ya nchi za baridi, hivyo hivyo mianzi ya sehemu kame ni tofauti na mianzi ya sehemu zenye unyevu wa kutosha. Mimea hii hupatikana katika jamii ya &lt;em&gt;Bambuseae&lt;/em&gt;. kuna jamii 91 na aina zaidi ya elfu moja za mianzi kote duniani na kila aina ina sifa tofauti kulingana na mahali aina hiyo ilipo.Jamii za mianzi hutofautiana kwa urefu, kuna ile ambayo ikikua sana hufikia sentimeta chache hadi kukomaa, na ile ambayo hukua hadi kufikia urefu wa meta arobaini hadi kukomaa. Upana wa shina la muanzi hupishana sana kati ya jamii na jamii kutoka milimita moja hadi thelathini. Hata utoaji wa maua wa mianzi hutofautiana sana. Kuna jamii ambazo hutoa maua baada ya miaka 28 tu na ile ambayo hutoa maua baada ya miaka 120, (rejea Troup 1921) &lt;em&gt;Synchronous'Gregarious' Flowering Species Table&lt;/em&gt;. Kuna jamii nyingi za mianzi ambazo hukua kwa wastani wa sentimeta 30 kwa siku (futi moja!), na baadhi ya jamii nyingine zimewekwa katika rekodi kwa kukua kwa wastani wa sentimeta 100 (mita moja!)kwa siku.&lt;br /&gt;Kwa hapa Tanzania, mianzi hupatikana katika mikoa mingi sana,kama vile Tanga, Mbeya, Iringa, Ruvuma na Rukwa na kadhalika na matumizi yake pia hutofautiana kati ya mkoa na mkoa.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;MATUMIZI YA MIANZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Aina za matumizi hutofautiana kati ya sehemu na sehemu, na kati ya jamii moja na nyingine. Kwa wenzetu Wachina mianzi michanga huliwa na ile iliyokomaa hutumika kutengenezea karatasi, na vile vile hutumika katika matambiko yao kwa kuombea umri mrefu wa kuishi. Kwa Wahindi, mianzi ni alama ya urafiki wa heshima, kwa maana kwamba mtu kukirimiwa kwa bidhaa za mianzi (kama viti, vikombe nk) humaanisha urafiki. Mianzi hutumika kutengezea vyombo vya ndani, kama vile vikombe, nyungo, vikapu na matenga. Kwa Wanyakyusa na Wasafwa wa mkoani Mbeya, kuna vifaa vya kukamulia na kuhifadhia maziwa ambavyo huita 'kitana' au 'tana'.Mianzi hutumika kutengenezea viti, vitanda na meza, mianzi hutengeza madaraja, hujenga nyumba ambazo husilibwa kwa matope pamoja na vyoo. Mianzi hutumika kutengeneza mikongojo (fimbo za kutembelea) na bakora, hutumika kutengenezea mitumbwi pamoja na sakafu. Kuna jamii ambazo hutengeneza filimbi za mianzi (zipo katika mikoa ya Morogoro, Mbeya, Iringa na Rukwa). Mianzi hupandwa sehemu za makazi kama uzio.&lt;br /&gt;Kwa ujumla kuna matumizi mengi mno ya mianzi, ambayo si rahisi kuyaeleza yote hapa.&lt;br /&gt;Kibiolojia, mianzi ina faida yake pia. Husaidia kuzalisha hewa ya oksijeni, ambayo ni muhimu kwa maisha ya wanyama.&lt;br /&gt;&lt;a class="internal" title="Two bamboo chairs of a type commonly used in China" href="http://en.wikipedia.org/wiki/Image:BambooChairs.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;a class="internal" title="Two bamboo chairs of a type commonly used in China" href="http://en.wikipedia.org/wiki/Image:BambooChairs.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mkoani Iringa mianzi ina matumizi ya aina yake. Kwanza mianzi michanga hutumika kutengenezea pombe maarufu ya &lt;em&gt;'Ulanzi'&lt;/em&gt; ambayo husafirishwa hadi mikoa jirani ya Ruvuma na Mbeya. Mianzi hii michanga hukatwa inapofikia kimo cha kuanzia futi mbili hadi nne na hapo huwekwa kifaa maalum chenye uwazi kwa juu kilichotengezwa kwa mwanzi pia. Kifaa hiki hugema utomvu wote toka katika mwanzi mchanga na kuuhifadhi&gt; Utomvu huu baadaye huchachuka na kuwa pombe-ulanzi. Ni pombe maarufu sana makoani hapo. Pili, mkoa wa Iringa ni maarufu kwa ulimaji wa nyanya. Mianzi hutumika kutengenezea matenga ya kuhifadhia na kusafirishia nyanya kwenda sokoni.Tatu, mianzi hutumika kutengeneza mazizi ya mifugo, hasa maeneo ya vijijini, pia ni bidhaa muhimu sana ya ujenzi wa nyumba, hii ni sehemu zote, yaani mijini na vijijini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5072549777694527746" style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RmVRJbT4EQI/AAAAAAAAABM/oy8EUZHvMxc/s320/bamboo3.jpg" border="0" /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;strong&gt;MGONGANO WA MASLAHI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Amri ya serikali ya mkoa wa Iringa kwa upande fulani inaweza kuwa sahihi, hasa kama kuna ushahidi wa kutosha wa kuweza kutumika kuhalalisha uondoaji wa jamii hii ya mimea katika vyanzo vya maji. Sina uhakika kama amri hii inatekelezwa mkoani Iringa pekee au na maeneo mengine yenye mianzi katika vyanzo vya maji. Tukumbuke kuwa, miaka michache iliyopita kulikuwa na mjadala kuhusu miti jamii ya &lt;em&gt;eucalyptus&lt;/em&gt;, kwamba ukuaji wake huhitaji maji mengi, hivyo jamii hii ya mimea ilikuwa hatari kwa vyanzo vya maji. Uondoaji wa miti hii ulileta migingano katika maeneo mengi ya nchi, hasa ikizingatiwa kuwa ni miti tegemeo kwa sekta nyingi sana, hasa viwanda. Miti hii (eucalyptus)ni nishati kuu katika mashamba na viwanda vya chai vilivyopo nchini, na pia ni tegemeo kwa TANESCO kwa kuwa hutengeneza nguzo za kusambazia umeme kwa kutumia miti hii. Miti hii ni nishati tegemeo katika kukausha tumbaku. Ni kwa sababu hizi na nyingine, ambazo zilifanya amri kwa watu, ya kuondoa miti hii iwe na malalamiko kutoka kila upande.&lt;br /&gt;Ni ukweli kuwa mianzi mingi imepandwa katika sehemu zenye maji (ikiwa ni pamoja na vyanzo vya maji, kwa kuona kwangu mashamba mengi ya mianzi katika mikoa ya Iringa na Mbeya. Sijapata uhakika kama kweli mimea hii hukausha vyanzo vya maji, ndio sababu nasisitiza kuwa ni vizuri kukawa na ushahidi wa kutosha usio na mawaa kama vile machapisho ya kitaalamu, kabla ya 'kuisulubu' mimea hii muhimu. Kwa upande wa wadau ambao hutegemea sehemu ya mapato yao kutokana na mianzi(kama vile wagema na watengeneza matenga),inawezekana wakawa na mwitikio hasi, hasa kama hawajaelimishwa vya kutosha kuhusu athari za mianzi katika vyanzo vya maji. Hawa wataona moja kwa moja kuwa ajira yao inayoyoma.&lt;br /&gt;Kwa upande wa serikali, wao ni watekelezaji wa sera zilizotungwa na bunge, ambazo aghalabu huwa za manufaa kwa jamii kwa ujumla. Hivyo basi, si ajabu kwa serikali kutekeleza sera ambayo inaonekana kuwa ina manufaa kwa wananchi wake. Kwa mtazamo huo, kama serikali imeona kuwa mianzi haifai kuwa katika vyanzo vya maji, basi haina budi kuiondoa mimea hiyo katika maeneo ya vyanzo vya maji ili kuwanusuru wananchi wake na baa la ukame (kama lililotokea miezi michache iliyopita).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UPANDAJI MITI MBADALA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika makala ya Bw Mbwambo, serikali imetaja na kupendekeza aina kadhaa za miti ambazo zitapandwa katika maeneo ya vyanzo vya maji na sehemu nyingine ambazo mianzi itaondolewa.Miti hiyo ni migunga, mizambarau na mivinje. Kuna jamii nyingine za miti ya asili ambazo zipo mkoani Iringa na zinafaa kupandwa katika vyanzo vya maji. Jamii hizi ni mikuyu (sycamore/fig tree) "&lt;em&gt;ficus sycomorus&lt;/em&gt;", mivumo &lt;em&gt;"ficus sur"&lt;/em&gt; ,&lt;em&gt;albizia gummifera&lt;/em&gt;, mikoche "&lt;em&gt;hyphaene compressa&lt;/em&gt;" na mingine mingi. Hii inafaa sana katika ulinzi wa vyanzo vya maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MUHIMU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kama kweli serikali imepania kuondoa mianzi katika vyanzo vya maji, basi ni bora wananchi wakaelimishwa kuilinda miti mbadala, ili isije ikahujumiwa na wale walioondolewa mianzi yao, hili lipo na laweza kutokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu msomaji wa makala hii, ni nani yu sahihi katika suala hili? Ni serikali, au ni wananchi walioishi na mianzi hii kwa muda mrefu?&lt;br /&gt;Jadili&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115019169663264837?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115019169663264837/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115019169663264837&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115019169663264837'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115019169663264837'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/06/ungoaji-wa-mianzi-mkoani-iringa-ni.html' title='UNG&apos;OAJI WA MIANZI MKOANI IRINGA: NI SAHIHI?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/RmVQ1bT4EPI/AAAAAAAAABE/gHChYyqqdyc/s72-c/bamboo1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-115012343570120793</id><published>2006-06-12T17:33:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:12:37.523+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>ASILI, FAIDA NA ADHA ZA MAGUGU-MAJI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UTANGULIZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Magugumaji ni kati ya mimea inayosifika sana kwa kuzaliana hapa duniani, inayopatikana katika mazingira yenye maji kwa msimu wote, kama vile kwenye mito, ziwani,kwenye madimbwi, kwenye mitaro na miferejini.Unaweza kuvuna tani mia mbili za magugumaji kwa ekari moja tu! Ni mmea wa kijani ambao humea kwa kutambaa, hutoa maua ya rangi ya zambarau au hudhurungi na huweza kurefuka hadi kimo cha futi tatu. Mmea huu ni moja ya mimea ya jamii ya "Pickerelweed" au "pontederiaceae" (jamii ya magugu yanayostawi katika maji). Kwa jina la kitaalamu, mmea huu hufahamika kama &lt;em&gt;&lt;strong&gt;'eichhornia crassipes'&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt; na kwa Kiingereza hujulikana kama 'Water Hyacinth'.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ASILI YA MAGUGUMAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Takwimu za wataalamu wa elimu-mimea, zinaonyesha kuwa asili ya mmea huu ni katika nchi za kitropiki za Amerika ya Kusini, lakini kwa sasa mmea huu umesambaa katika mabara yote. Kwa nchi kama Marekani mmea huu ulisambaa kati ya mwaka 1884 na 1885 mjini Louisiana. Kuna mtu ambaye alikuwa katika mnada wa pamba katika nchi za Amerika ya kusini, akachukua mmea huu kama pambo la nyumba yake. Kwa kutojua, alitupa masalia ya mmea huo katika mto wa Mtakatifu Jones,baada ya kuzaliana sana kuliko alivyotarajia, na hatimaye mmea huo ukasambaa katika majimbo mengine ya Marekani. Kwa Afrika Mashariki, inasadikika kuwa mmea huu uliletwa enzi za ukoloni wa Waingereza, yaani kuanzia mwaka 1920, na hupatikana sana katika Ziwa Viktoria katika Mikoa ya Mara na Mwanza kwa upande wa Tanzania, na maeneo mengine yanayozunguka ziwa hili katika nchi za Kenya na Uganda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAZINGIRA YAKE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Magugumaji hustawi sana katika maji yaliyotuama, au yale yenye mwendo mdogo sana. Kama nilivyotaja hapo mwanzo, mmea huu hupatikana ziwani, mitoni, madimbwini, mitaroni na maeneo mengine oevu yanayofanana na hayo. Huweza kuota kwa kutawanya mbegu zake au kwa vikonyo vyake, na hutengeneza chakula chake moja kwa moja toka katika maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;FAIDA NA MATUMIZI YA MAGUGUMAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mmea huu una faida kadhaa, na huweza kutumika kwa shughuli mbali mbali za kiuchumi. Mmea huu, kama nilivyotaja hapo juu, hupata chakula chake kutokana katika maji, hivyo basi, hutumika kuchuja maji taka na kuwa maji masafi kwa matumizi ya kubinadamu yasiyo ya moja kwa moja, kama vile kilimo cha umwagiliaji na ujenzi. Mfano mzuri unapatikana katika madimbwi ya maji taka ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ambapo maji taka hukusanywa katika eneo moja na kuchujwa katika hatua mbali mbali kabla ya kusafishwa kwa matete na magugumaji, katika hatua za mwisho. Maji haya hutumika kumwagilia mpunga na mboga mboga, na pia hutumiwa na wanyama pori walio katika eneo hilo. Faida nyingine ya magugumaji ni katika kazi za sanaa za mikono. Nchini Kenya kwa mfano, kuna mradi ujulikanao kama 'Water Hyacinth Utilization Project' (WHUP), katika mwambao wa ziwa Viktoria, ambao hufanya matumizi endelevu ya magugu maji. Mradi huu hushughulika na utengenezaji wa vikapu, majamvi, kofia, meza, vivuli/viambaza, makaratasi, vitabu, karata, mikeka na vitu vingine muhimu kwa kutumia sehemu anuwai za mmea huu, kama vile maua, majani, shina na vikonyo. Kwa mfumo huu basi, mmea huu umesababisha ajira kwa watu wa maeneo hayo.&lt;br /&gt;Ajira nyingine ya namna yake, ni kwa wale walioajiriwa katika udhibiti wa usambaaji wa magugu haya. Hawa huajiriwa ili kudhibiti magugumaji kusambaa ndani zaidi ya ziwa, kama tutakavyoona hapa chini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ADHA ZA MAGUGUMAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Katika maeneo mengi duniani ambapo magugumaji hupatikana, mara nyingi huchukuliwa kama mmea usiotakiwa, ha hivyo kila juhudi hufanywa kuhakikisha kuwa mmea huu unaondoshwa. Shida kubwa ni kwamba, mmea huu huzaliana kwa kasi kubwa ya ajabu, kiasi kwamba juhudi kubwa pamoja na gharama huhitajika ili kudhibiti usambaaji huu wa kasi. Kama tulivyoona hapo mwanzo kuwa mmea huu hustawi katika mazingira yenye maji, basi mmea huu ni adha kwa shughuli zote ambazo hufanyika katika maji. Mmea huu huzuia shughuli za uvuvi, hunasa katika panga boi za vyombo vya majini,huzuia uzamiaji na upigaji mbizi, huziba mabomba ya kusafirishia maji ya kuzalishia umeme na shida nyingine nyingi. Magugumaji husababisha utando mkubwa mfano wa jamvi katika maji, na kuzuia mionzi ya jua na hewa ya oksijeni kupenya chini ya maji, hivyo huzuia upatikanaji wa viumbehai wengine katika eneo hilo, hasa jamii ya mimea. Mazingira haya ya ukosefu wa oksijeni katika maji, yakichangiwa na utando mkubwa wa magugumaji hufanya maji yasitembee na hivyo kuwa mazalio makuu ya mbu waletao malaria. Ni sababu hizi hufanya watu wengi wayachukue magugumaji na kuchukua hatua za kuyatokomeza. Kuna kukinzana kwa kiasi kikubwa kwa mawazo katika suala zima la magugumaji.&lt;br /&gt;Hapa ni kila mtu na mtazamo wake, watengenezaji wa samani huona yana faida, na watumiaji wengine wa maji huona kama ni bughudha tu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UDHIBITI NA UTATUZI WA ADHA ZA MAGUGUMAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuna taasisi kadhaa ambazo hushughulika na udhibti wa ueneaji wa magugumaji. Pia kuna watu binafsi ambao hukerwa na maimea hii, hivyo huamua kuondoa kwa mikono. Kwa upande wa ziwa Viktoria, nchi zote tatu za Afrika Mashariki zina mipango endelevu ya kudhibiti kuenea kwa magugumaji, na kwa Tanzania na mradi wa LVEMP (Lake Victoria Environmental Management Project), ambao pamoja na mambo mengine hushughulika na usafi na ulinzi wa mazngira wa ziwa tajwa. Katika nchi nyingine zenye magugumaji, kuna wadudu wajulikanao kwa kitaalamu kama &lt;em&gt;'neochetina'&lt;/em&gt; ambao 'hupandwa' makusudi ili kula magugumaji. Hata hivyo, kiwango kikubwa cha kuzaliana cha magugumaji huzidi uwezo wa wadudu hao wa kuyala. Inasemekana pia kuwa samaki aina ya sangara ambao hupatikana kwa wingi katika ziwa Viktoria walipandikizwa kwa ajili ya kula magugumaji, lakini kasi yao ya ulaji inazidiwa kwa mbali na kasi ya ukuaji wa magugumaji. Kuna dawa za viwandani za kuulia mmea huu, lakini haishauriwi sana kuzitumia kwa kuwa nyingi kati ya dawa hizo si rafiki wa mazingira, na huua viumbe wengine waishio majini.Badala yake, mitambo ya kusaga magugumaji hutumika zaidi, hasa katika ufukwe wa ziwa hili kwa upande wa Kenya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu msomaji wa makala hii, umeona faida na adha za magugumaji,japo kwa ufupi tu. Una mtazamo gani kuhusu mmea huu?&lt;br /&gt;Jadili&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-115012343570120793?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/115012343570120793/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=115012343570120793&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115012343570120793'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/115012343570120793'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/06/asili-faida-na-adha-za-magugu-maji.html' title='ASILI, FAIDA NA ADHA ZA MAGUGU-MAJI'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-114958866996743716</id><published>2006-06-06T13:03:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:11:47.446+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Bioanuwai'/><title type='text'>YAJUE MAENEO YA RAMSAR KATIKA TANZANIA (RAMSAR SITES)</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Utangulizi&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Maeneo ya Ramsar ni sehemu ya ardhi oevu duniani, (wetlands) ambayo yana umuhimu wa pekee duniani katika suala zima la uhifadhi wa mazingira. Ardhi oevu ni ile ardhi ambayo kwa msimu wote wa mwaka huwa na unyevunyevu. Jina hili &lt;strong&gt;"&lt;a href="http://www.ramsar.org/"&gt;Ramsar&lt;/a&gt;"&lt;/strong&gt; linatokana na mji wa Ramsar nchini Iran ambapo ndipo mkataba wa kutunza maeneo ya ardhi oevu duniani ulisainiwa, mnamo mwaka 1971. Kwa hiyo basi, mwaka 1971 ndipo yalipofanyika maamuzi ya kulinda maeneo ya ardhi oevu dhidi ya uharibifu, ili yaweze kutumika katika shughuli endelevu, kama vile vyanzo vya maji. Mpaka sasa, kuna mataifa 152 duniani yaliyotia sahihi mkataba huu wa kulinda ardhi oevu, ikiwemo Tanzania. Kuna maeneo tengefu 1608 ya Ramsar duniani yanayochukua ukubwa wa hekta milioni 140, kati ya haya Tanzania tuna maeneo manne tu, ambayo tutayaelezea hapa chini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Nini umuhimu wa Maeneo haya?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Maeneo ya Ramsar yana umuhimu wa kipekee katika jamii. Kwanza, yana bioanuwai adimu sana hapa duniani ambazo aghalabu hupatikana maeneo hayo tu. Pili, ni vyanzo vikuu vya maji katika maeneo mengi diniani, hivyo, kama yakiharibiwa kwa shughuli za kibinadamu basi uhai wa viumbe hao adimu utatokomea pia. Maeneo haya ni chanzo kukuu cha nishati ya umeme, ambapo kwa namna moja au nyingine, mito inayozalisha umeme hutiririka kutoka katika nyingi ya ardhi hizi oevu. Chukulia mfano wa bonde la mto Rufiji, bonde hili huanzia katika milima ya Uporoto mkoani Mbeya na kusambaa katika mikoa mingine ya Iringa na Morogoro, ambapo kuna bonde la mto Kilombero ambalo ni maarufu kwa kilimo cha mpunga na ni moja ya maeneo tengefu ya Ramsar. Kwa mfano huu mmoja, nadhani tunaweza kuelewa japo si kwa undani, juu ya maeneo haya muhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Maeneo Ya Ramsar Tanzania ni yapi?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Tanzania tuna maeneo manne tengefu, yaliyo chini ya mkataba wa Ramsar. Maeneo haya ni ardhi oevu ya Muyovozi katika mto Malagarasi-Kigoma (13/04/2000), ardhi oevu ya bonde la Ziwa Natron-Manyara (04/07/2001), bonde la mto Kilombero-Morogoro (25/04/2002) na bonde la Rufiji-Mafia hadi Kilwa-Pwani (29/10/2004). &lt;em&gt;Katika mabano ni tarehe ambazo maeneo hayo yaliingizwa katika orodha ya maeneo tengefu ya Ramsar&lt;/em&gt;. Kwa hiyo, maeneo haya yanalindwa na mikataba ya kimataifa, ambapo hairuhusiwi kufanya shughuli zozote za kiuchumi kama vile kilimo, ufugaji, uvuvi, uwindaji na ukataji miti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ni Sifa zipi zinatakiwa, ili Eneo liwe chini ya Mkataba wa Ramsar?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuna sifa kuu tisa zinazofanya eneo likubalike kuwa katika uhifadhi wa mkataba wa Ramsar. Sifa hizi zimegawanywa katika makundi manne tofauti, kwa hapa nitazichangaya zote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Inatakiwa eneo oevu husika liwe na umuhimu wa kimataifa kwa kuonesha bioanuwai ambazo ni wakilishi, za kipekee, zisizopatikana mahali pengine popote ila hapo tu, iwe ni mazingira ya asili au ambayo hayajaribiwa uasili wake na liwe eneo ambalo liko katika sehemu stahili ya kijografia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Eneo litahesabiwa kuwa na umuhimu wa kimataifa iwapo lina viumbe adimu ambao wapo katika hatari ya kutoweka kabisa toka katika uso wa dunia kutokana na muingiliano wa viumbe hai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Ili eneo husika lihesabike kuwa na umuhimu w kimataifa, inatakiwa liwe lina viumbe hai (mimea na wanyama) ambavyo ni muhimu kwa ajili ya kuendeleza uanuwai wa kibiolijia (uasili)wa eneo husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Eneo litahesabiwa kuwa na umuhimu w kimataifa iwapo linasaidia upotevu/uwepo wa mimea/wanyama katika mzunguko mzima wa maisha ya viumbe hao (life cyles), au eneo ambalo linatoa ulinzi hao dhidi ya uharibifu, katika mazingira mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Iwapo eneo linatunza jamii ya ndege 20,000 kwa kawaida kwa wakati mmoja, basi hili litahesabiwa kuwa katika orodha ya maeneo tengefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Iwapo eneo linahifadhi asilimia moja ya aina za ndege kutoka jamii mbalimbali za ndege hao, litahesabiwa kuwa katika orodha hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7. Iwapo eneo lina hifadhi kiasi kikubwa cha jamii ya samaki wa asili (si wa kupandwa kama sangara wa Ziwa Viktoria) historia ya maisha ya samaki hao, mwingiliano wa jamii za samaki hao, ambao ni wakilishi wa eneo hilo oevu na ambaohangia utajiri wa bioanuwai duniani, litaignizwa katika orodha ya maeneo ya Ramsar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;8. Iwapo eneo ni chanzo kikuu cha chakula walacho samaki, sehemu ya kutagia/kuzaliana samaki, sehemu ya kupita ya samaki kwa ajili ya kutafuta mazalio au chakula, ambapo samaki hupategemea kwa maisha yao, basi eneo hilo litaingizwa katika orodha tajwa hapo juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;9.Sifa hii inafanana sana na namba 6 hapo juu, lakini hii inahusika na wanyama kwa ujumla wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo, ili eneo liwe katika orodha ya Ramsar, halina budi kuwa na moja kati ya sifa zilizoainishwa hapo juu, ingawa inatokea mara nyingine eneo moja kuwa na sifa kadhaa kati ya hizo.&lt;br /&gt;Kwa sababu hizi basi, ilikuwa ni lazima kwa serikali kuwaondoa wafugaji katika ardhi oevu za Kilombero (Morogoro) na &lt;a href="http://www.onefish.org/cds_static/en/anzania_"&gt;Mbeya&lt;/a&gt;) kutokana si tu na umuhimu wa kitaifa, bali kimataifa pia. Wafugaji na wakulima hawana budi kuelimishwa juu ya umuhimu wa maeneo oevu kwa maisha ya binadamu, badala ya kuyaharibu kwa kulima na kufugia makundi makubwa ya wanyama katika maeneo haya nyeti. Ni kwa sababu hizi ambapo serikali iliamua&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-114958866996743716?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/114958866996743716/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=114958866996743716&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114958866996743716'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114958866996743716'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/06/yajue-maeneo-ya-ramsar-katika-tanzania.html' title='YAJUE MAENEO YA RAMSAR KATIKA TANZANIA (RAMSAR SITES)'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-114950823350063141</id><published>2006-06-05T14:32:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:16:25.773+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI...TUNAJIFUNZA NINI?</title><content type='html'>Kila mwaka, tarehe tano Juni ni siku ya mazingira duniani. Watu katika nchi mbali mbali hapa ulimwenguni huadhimisha siku hii kwa namna mbali mbali, wengi aghalabu hufanya shughuli mbali mbali za utunzaji wa mazingira. Kwa hapa kwetu nchini, sherehe hizi huambatana na kufanya kazi za utunzaji mazingira, kama vile uokotaji wa taka mahali mbali mbali, upandaji wa miti sehemu za wazi na kadhalika. Lakini kwa upande mwingine, hapa nchini kwetu upandaji wa ,miti kitaifa hufanyika kila mwaka siku ya Januari mosi, yaani siku ya mwaka mpya. Nadhani hii tarehe imewekwa makusudi kwa sababu kwa maeneo mengi (kama si yote) hapa nchini huwa ni msimu wa mvua. Kwa hio, ili miti iliyopandwa iote vizuri, ni lazima ipate maji ya kutosha, kutokana na mvua hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ni kwa nini basi tunaadhimisha siku hii?&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Nitaanza kwa kufafanua maana ya dhana hii ya&lt;strong&gt; "mazingira"&lt;/strong&gt; . Mazingira, kwa ujumla wake, ni vitu vyote ambavyo humzunguka mwanadamu. Vitu hivi ni kama maji, miti, milima, mabonde, miamba na kadhalika. Tunaadhimisha siku hii kwa sababu nyingi. Sababu kubwa ni kwamba, bila mazingira, mwanadamu hawezi kuishi. Kwa hiyo mwanadamu hana budi kuboresha mazingira yake ili aendelee kuishi. Mwanadamu akiharibu mazingira, basi anaharibu uhai wake mwenyewe.&lt;br /&gt;Kila mwaka kunakuwa na semina na makongamano sehemu anuwai hapa duniani, kwa ajili ya kujadili suala hili la mazingira kwa mapana yake, lengo kubwa ikiwa ni kuyaboresha. Mmoja wa mikutano hii maarufu ni ule uliofanyika katika mji wa Kyoto nchini Japan tarehe 11 Desemba mwaka 1997. Mkutano huu ulitengeneza mkataba wa kupunguza uchafuzi wa mazingirana ulianza kufanya kazi tarehe 16 Februari 2005, ambapo ulilenga kupunguza ongezeko la joto duniani, ambao ulifikia maamuzi magumu ya kupunguza uharibifu wa anga kwa kupunguza gesi zenye sumu kutoka viwandani. Mpango (mkataba) huu hufanya kazi kupitia chombo kijulikanacho kama "United Nations Framework Convention on Climate Change" (UNFCCC). &lt;strong&gt;Kumbuka &lt;/strong&gt;kuwa Marekani haikutia sahihi mkataba huu, kwa kuogopa kuua viwanda vyake, ambavyo huzalisha gesi nyingi sana za sumu duniani. Chombo hiki ndicho hutoa mwongozo wa kiwango cha gesi za sumu zinazotakiwa kutolewa kutoka viwandani ili kutoharibu "ozone" ambayo ni kiwambo cha gesi ambacho huzuia mionzi ya jua yenye madhara kutufikia moja kwa moja toka angani. Mpaka sasa, nchi 163 zimeweka sahihi katika mkataba huu.&lt;br /&gt;Mkutano huu wa Kyoto ulitanguliwa na ule wa tarehe 5 Juni mwaka 1992 katika mji wa Rio de Janeiro nchini Brazil, ambao nao malengo yake yalikuwa ni kupunguza uharibifu wa mazingira na kutunza bio anuwai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Hali ya mazingira ikoje hapa kwetu?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Hali ya mazingira yetu kwa ujumla ni mbaya, kwamba tunashindwa kuyatunza kwa kwa usahihi. Ni suala la kawaida kwa watu mbali mbali kulima na kujenga katika vyanzo vya maji, mbuga za wanyama na hifadhi za taifa. Ni kawaida kwa wenye viwanda kumwaga taka zenye sumu katika mito na vijito, na mifano hai ipo mingi tu. Ni kawaida kutupa ovyo chupa za maji tukishakunywa maji, na ni kawaida kujisaidia haja ndogo mahali palipoandikwa &lt;strong&gt;"USIKOJOE HAPA". &lt;/strong&gt;Ni kawaida kwa watu kutupa taka chini pamoja na kwamba mahali hapo pameandikwa &lt;strong&gt;'TUPA TAKA HAPA"&lt;/strong&gt;. Kwa nini? Kwa faida ya nani?Hatumkomoi mtu, ila ni sisi wenyewe tunajisababishia vifo vinavyoweza kuepukika kabisa. Tunapotiririsha maji ya sumu ya viwandani katika mito, ilhali tunavua samaki katika mito hiyo hiyo tunatarajia nini? Tunakatazwa kutumia zebaki katika kusafishia madini lakini hatuachi, kwa nini? Tunaharibu vyanzo vya maji na mito inakauka, tunakosa maji na umeme, hatuoni kuwa tunajinyima haki? Kwa nini? Ni viwanda vingapi vinachafua hali ya hewa kwa gesi za sumu? Hatuvifahamu viwanda hivi? Tumechukua hatua gani?&lt;br /&gt;Je tunachukua hatua madhubuti katika utunzaji na uhifadhi wa mazingira?&lt;br /&gt;Jadili&lt;br /&gt;Soma makala maalum ya siku ya mazingira &lt;a href="http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2006/06/07/67785.html"&gt;hapa&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-114950823350063141?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/114950823350063141/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=114950823350063141&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114950823350063141'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114950823350063141'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/06/siku-ya-mazingira-dunianitunajifunza.html' title='SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI...TUNAJIFUNZA NINI?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-114948921337016325</id><published>2006-06-05T08:14:00.000+03:00</published><updated>2007-09-13T12:17:17.294+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi wa Mazingira'/><title type='text'>HII INAWEZEKANA-TUWE NA UTASHI WA KISIASA!</title><content type='html'>Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na misururu mirefu ya msongamano wa magari hasa katika jiji la Makamba (Dar es Salaam). Hii inatokana na ongezeko kubwa la watu pamoja na magari, lisiloendana na rasilmali za kuweza kuhimili ongezeko hili. Kwa maana hii basi, uwezo wa barabara zetu (carrying capacity), wa kuhimili tatizo hili ni mdogo sana. Na aghalabu misururu hii ipo katikati ya jiji na katika barabara zote kubwa za jiji hili. Hali hii inasababisha usumbufu kwa wananchi, hasa suala la kuchelewa kazini, kwa kutumia muda mrefu kusafiri umbali mfupi. Wagonjwa wa dharura mara nyingine hufia njiani kwa sababu ya kucheleweshewa matibabu kutokana na misururu hii. Ni suala la kawaida kukuta mtu anatoka kwake muda wa saa 12 asubuhi na kufika kazini kama saa 2.30 hivi, uchelewevu wote huu ukisababishwa na msongamano wa magari. Kumekuwa na midahalo mbalimbali katika vyombo vya habari, vyombo vya usafiri na katika vijiwe sehemu kadha wa kadha kuhusu adha hii, lakini sina uhakika kama midahalo hii inawafikia warasimu, ambao wanatakiwa kutatua tatizo hili. Ni kero kubwa kwa jiji hili, ingawa hatujaona nia thabiti ya wakubwa wa nchi hii ya kulidhibiti tatizo hili. Kuna nadharia kadhaa, ambazo zikifanyiwa kazi na na kuwekwa katika vitendo na warasimu zinaweza kabisa kupunguza, kama si kumaliza tatizo hili katika nchi hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;1. Mipango Miji&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Suala la kujaza ofisi zote katikati ya jiji, kwa mtazamo wangu naona si sahihi sana. Kwa mfano, asilimia kubwa ya wizara zote zipo Dar es salaam, tena katikati ya jiji, ukiachilia mbali wizara ya Mifugo na Tawala za mikoa na serikali za mitaa, ambazo zipo Dodoma. Sasa basi, wananchi ambao huwa na shida anuwai, hulazimika kujazana katika wizara hizi ili kutatuliwa shida zao. Sasa katika hali kama hii unafikiri misururu katikati ya jiji itaepukikaje? Suala hili laweza kutatuliwa kwa kuwa na majengo mengi nje ya jiji. Majengo kama Ubungo Plaza na Millennium Towers pale Kijitonyama yalistahili kujengwa mengi na iwe ni nje ya jiji, maeneo kama Mbezi, Kibamba, Boko, Bunju na Tegeta ili kupunguza msongamanao wa watu na magari. Kwa maana hii basi, kungekuwa na kupishana, kwamba mtu anaishi Magomeni na anafanya kazi Bunju na mwingine anaishi Kariakoo na kufanya kazi Mbagala, hivyo misururu isiyo ya lazima isingekuwepo jijini. Lakini kwa sasa hali ni kinyume chake, maghorofa mengi marefu hujengwa katikati ya jiji. Suala hili huongeza idadi ya ofisi na na watu na kufanya katikati ya jiji kuwa na watu wengi. Tujaribu kutumia nadhari hiyo, inawezekana kabisa kupunguza tatizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;2. Uhamishaji wa miji mikuu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Suala hili liliwahi kufanyiwa kazi na Hayati Mwalimu Julius Nyerere, kwa kuanzisha mradi wa kuweka Makao makuu ya nchi pale mkoani Dodoma yaani Capital Development Authority (CDA). Sina uhakika na sababu zilizofanya mradi huu usiendelee kwa kasi, lakini kwa wataalam wa mipango miji wanajua ni nini Mwalimu alidhamiria kukifanya. Lengo la mradi kama huu, aghalabu huwa ni kupunguza msongamano usio wa lazima katika baadhi ya miji, kwa kusambaza huduma katka mikoa mbalimbali. Kuna baadhi ya nchi zimefanikiwa kutekeleza mipango kama hii. Nijeria ilihamisha makao makuu yake kutoka Lagos kwenda Abuja, Ivory Coast inahamishia makao yake makuu kutoka Abidjan kwenda Yamoussokrou na kadhalika. Hii inasaidia sana katika kupunguza misongamano isiyo ya lazima katika miji mikuu.&lt;br /&gt;Nafikiri ni kwa sababu hii ambapo Mahakama Kuu na Benki Kuu za hapa kwetu zina kanda kadhaa katika mikoa mbali mbali. Lengo ni kupunguza misongamano na safari zisizo za lazima jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;3. Upandaji wa Pikipiki na Basikeli&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kuna haja ya kuwa na mipango endelevu ya kupanda pikipiki na basikeli kwa wingi, ili kupunguza uwingi wa safari za magari. hili linawezekana kama wananchi tutaamua kwa moyo mmoja kupanda basikeli kwa sehemu ambazo makazi yetu hayapo mbali na ofisi zetu. Kwa mfano unakuta mtu anaishi Mwenge Dar, na anafanya kazi Makumbusho au pale Sayansi. Huyu nae analazimika kukaa katika msururu wa magari na kuchelewa kazini ilhali kama angekuwa na basikeli, ingemchukua muda mfupi sana kufika ofisini kwake. Kuna ulazima wa kuwa na fikira mbadala katika suala zima la kupunguza msongamano usio wa lazima. Suala hihi la pikipiki na basikeli liende sambamba na kutembea, kwa maana kwamba kama mtu anaona sehemu yake ya kujipatia riziki haiko mbali na makazi yake basi ni bora akatembea ili kuepuka adha ya msongamano. Inawezekana!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;4. Udhibiti wa Watu kukimbilia Mijini&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Suala hili kwa kiasi kikubwa husababishwa na watu waliopo vijijini kukuta hawana huduma muhimu za jamii, na hivyo hujikuta hukimbilia mijini kutafuta huduma hizi kwa namna yoyote. Utoro huu ni mkubwa sana hasa kwa vijana, ambao huamua kukimbilia mijini baada ya kuhitimu masomo yao, kwa hisia kuwa mjini kuna kila kitu, kwa hiyo 'hakiharibiki kitu'. Ni kwa mtazamo huu wa vijana wa vijijini ambapo hujikuta wamejazana mijini na kukosa ajira na kuongeza msongamano usio wa lazima. Hii hufanya tuanze kunyang'anyana rasilmali chache zilizopo mijini, ikiwemo usafiri na makazi.&lt;br /&gt;Utatuzi wa tatizo hili unawezekana iwapo tu warasimu watilia mkazo utekelezaji wa mahitaji muhimu ya watu wa vijijini kama vile shule bora, huduma za afya na maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla, adha zilizoainishwa hapo juu zinaweza kutatuliwa iwapo tu kutakuwa na utashi wa kisiasa wa wananchi na serikali kwa ujumla katika kuzivalia njuga adha hizo. Masual haya yanawezekana na rasilmali za utekelezaji wake tunazo, wakiwamo watu, suala ni utashi wa kisiasa tu. Inawezekana!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-114948921337016325?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/114948921337016325/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=114948921337016325&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114948921337016325'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114948921337016325'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/06/hii-inawezekana-tuwe-na-utashi-wa.html' title='HII INAWEZEKANA-TUWE NA UTASHI WA KISIASA!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-114862397967840564</id><published>2006-05-26T08:29:00.000+03:00</published><updated>2006-06-22T09:09:38.823+03:00</updated><title type='text'>JE UNAITHAMINI NA KUIPENDA TAALUMA YAKO?</title><content type='html'>U hali gani mpenzi msomaji wa blogu hii?&lt;br /&gt;Ningependa kuongelea suala muhimu sana katika maisha yetu ya uanazuoni. Mwaka jana Desemba 30, 2005 wakati rais wetu anahutubia bunge la Jamhuri ya Muungano (wa Tanzania?) kwa mara ya kwanza, aligusia kwa uchungu sana suala la wanataaluma kutotumia ipasavyo taaluma yao, lakini yeye aliita "Kutukanisha Taaluma" Katika mfano mmojawapo, aliwatuhumu Mabwana (nafikiri na Mabibi) ardhi kuwa wanauza maeneo ya wazi yaliyotengwa kwa ajili ya michezo, ili yatumike kwa shughuli za ujenzi, wakati taaluma yao hairuhusu kufanya hivyo.&lt;br /&gt;Ukiliangalia suala hili kwa undani, utaona ukweli wake, hasa ukifuatilia suala la migogoro ya ardhi katika Tanzania, wilaya ya Kinondoni ikiongoza. Inasemekana kuwa hakuna wilaya yenye migogoro mingi ya ardhi katika Jiji la Dar es salaam kama Kinondoni. &lt;strong&gt;Zingatia&lt;/strong&gt; kuwa karibu asilimia kubwa ya nyumba za bei mbaya kwa jiji hili ziko kinondoni ukianzia na Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Kinondoni nk. Hili la watu wa ardhi ni kundi moja la 'watukanisha taaluma'.&lt;br /&gt;Kundi jingine alilogusia Mheshimiwa Rais ni la wanasheria, ambao hujigamba kwa kujiita "Learned Brothers/Sisters". Hawa nao hawajambo kwa kusaini &lt;a href="http://pambazuko.blogspot.com/2006/04/ripoti-ya-transparency-international_21.html"&gt;mikataba&lt;/a&gt; ya ajabu ajabu ambayo ni wengi wetu tunaifahamu na inatukera. Ni hawa hawa waliosaidia kupitisha kwa kishindo sheria ya takrima, ambayo, kwa sasa wanataaluma wasiokubali kutukanisha taaluma yao wamesema kuwa haifai. Hebu tujiulize, iweje msomi wa shahada kadhaa za sheria akatia sahihi ya kuipitisha sheria ambayo anajua (au hajui?) kuwa inakiuka katiba ya nchi? Utajiitaje msomi ikiwa huthamini elimu na maadili ya taaluma yako?&lt;br /&gt;Kuna kundi jingine la wanataaluma wanaotukanisha taaluma yao. Hawa ni wale ambao waliruhusu ujenzi wa majengo marefu sana pale Jijini Dar, hasa Kariakoo bila majengo hayo kukidhi viwango vya kitaalamu vinavyotakiwa. Matokeo ya kutukanisha taaluma yao tunayaona sasa, ambapo majengo kadhaa yameamriwa kubomolewa, kwa kuwa hayakidhi viwango sahihi vya ujenzi. Ina maana kuwa kabla ya majengo haya kujengwa hayakukaguliwa kama yanakidhi viwango vinavyotakiwa? Hivi hawa nao wanaithamini taaluma yao?&lt;br /&gt;Hivi, ni viwanda vingapi hapa Tanzania ambavyo vinazingatia usalama wa mazingira kwa kushughulikia taka zizalishwazo na viwanda hivi? Wataalamu wa Tathmini za Athari za Mazingira (EIA) mpo? Mnatumia taaluma yenu kama ipaswavyo? Mmeona rangi ya maji ya mto Kizinga pale Mbagala Mission? Na rangi ya mto Kiwira pale Ilima Rungwe ikoje? Mmechukua hatua gani?&lt;br /&gt;Kuna mambo mengi sana ya kuongela kuhusu uhusika wetu katika taaluma zetu, lakini hasa tujiulize, ni kwa nini baadhi yetu 'tunatukanisha' taaluma zetu? Mpaka hapo, ni kwa nini vyeti vya elimu ya hawa watukanishaji taaluma isitiliwe mashaka? Je hayo ni matokeo ya "kudesa?" au kuzunguka mbuyu?&lt;br /&gt;Ni kwa kiasi gani tunathamini taaluma zetu?&lt;br /&gt;Jadili&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-114862397967840564?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/114862397967840564/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=114862397967840564&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114862397967840564'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114862397967840564'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/05/je-unaithamini-na-kuipenda-taaluma.html' title='JE UNAITHAMINI NA KUIPENDA TAALUMA YAKO?'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-28530683.post-114829857125126759</id><published>2006-05-22T12:56:00.001+03:00</published><updated>2007-09-13T13:00:50.599+03:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Blogu'/><title type='text'>UKO HURU KUNENA!</title><content type='html'>&lt;span style="font-family:verdana;"&gt;Karibu katika blogu hii. Hapa tutakuwa tukijadili mada mbali mbali pamoja na kutoa maoni katika mada husika. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:verdana;"&gt;&lt;strong&gt;Zingatia&lt;/strong&gt; kuwa Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (toleo la 1998) sura ya kwanza sehemu ta tatu, ukurasa wa 23 ibara ya (18) (1) kinachohusu uhuru wa mtu kutoa mawazo yake , kinatamka bayana kuwa 'bila kwenda kinyume cha sheria za nchi, kila mtu ana haki na uhuru wa kutoa mawazo/fikra zake, na kutafuta, kupokea na kusambaza taarifa au fikra kwa kutumia njia yeyote ile, bila kujali mipaka ya nchi na ana haki ya ya kutoingiliwa katika mawasiliano au mpashano huu wa habari'. (2) 'Kila raia ana haki ya kupashwa habari muda wote kuhusu matukio mbali mbali katika nchi na dunia kwa ujumla wake, ambayo ni muhimu kwa watu na maisha yao na muhimu kwa jamii nzima pia.'&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:Verdana;"&gt;Hivyo basi, ni kwa kutumia uhuru huu ambapo blogu hii inafanya kazi , na ndugu msomaji/mchangiaji upo huru kuchangia mawazo yako kwa mada tutakazokuwa tunaziweka hapa.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;YOUR HEALTH RESTS WITHIN YOUR CIVILIZED BEHAVIOUR!&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/28530683-114829857125126759?l=jadili.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://jadili.blogspot.com/feeds/114829857125126759/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=28530683&amp;postID=114829857125126759&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114829857125126759'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/28530683/posts/default/114829857125126759'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://jadili.blogspot.com/2006/05/uko-huru-kunena.html' title='UKO HURU KUNENA!'/><author><name>mwalyoyo</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02830849119300636415</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='25' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_7QC9EBG0cXU/Sx4Z5A9LyJI/AAAAAAAAAIQ/eFnKFNSTurQ/S220/Alexander.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry></feed>
