8/17/06

NIKO UPANDE WA PILI WA KIJIJI CHETU



Mu hali gani wana blogu wenzangu?
Mimi mzima kabisa na kwa sasa nablogu tokea upande wa pili wa dunia, ambayo tunasema kuwa sasa ni kama kijiji. Sasa basi, mimi nipo upande wa kaskazini wa kijiji chetu (dunia). Nipo jijini Oslo nchini Norway. Nitaendelea kublogu tu hata huku, pamoja na kwamba majukumu ni mengi kazini. Nitawagawia kile nitakachojifunza huku bila choyo.

No comments: